Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Hivi mvua sio nzuri kwa afya,watu wanakumbatiwa balaa.Nakwambiaa ..afu huku sikuhz hapafai popo wako busy na mikumbatio
Hivi mvua sio nzuri kwa afya,watu wanakumbatiwa balaa.Nakwambiaa ..afu huku sikuhz hapafai popo wako busy na mikumbatio
Hivi mvua sio nzuri kwa afya,watu wanakumbatiwa balaa.
Sijui nani,sio zamu yangu nimeingia tu kama wageni wengine Leo...Nani kafungua lango leo?
MekumithiiiMmegoma??


WHDaku time
Uswaz vigoma vimetiamsha karibuni tule daku
WH
Za sku nyingi

SafiSafi ,poa, njema murua kabisa na wewe je za siku nyingi![]()
Hahahanipo sana utanionaje na wewe umezibwa
Hahaha
Nimezibwa wap WH
Sjawahi kukuona hata mara moja
Just ulipotea

haya mkuu basi yaishe. Tufanye umeshindaSafi
Ulijificha wap?
Huwa unakuja mara moja kwa mwezi?haya mkuu basi yaishe. Tufanye umeshinda
Bro
Hahahahaa
Nlijua wasio julikana wamekuteka
Nipo mkuu.Nimekua napita chap chap ndio maana ...
I hope all is good with you.