Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,552
- 21,678
Hii mvua vipi?
Mkuu mimi sio mwenyeji sana humu But hua napita mara moja moja tu,ila ni kweli pamepoa sana humu siku hizi!!Wazee wa kukesha wameisha humu siku hizi
Karibu.Mkuu mimi sio mwenyeji sana humu But hua napita mara moja moja tu,ila ni kweli pamepoa sana humu siku hizi!!
Poa mkuu.Karibu.
Ayaaaa..... Kumbe kumekuchaaRafikiiii
Unafanana mwandiko na The listPoa mkuu.
VipAyaaaa..... Kumbe kumekuchaa
Shem lakeeee
Nambie uzi umedorolaaaShem lakeeee
Usijaribu ndugu yangu watu siku hizi bora uwachukulie pesa lakini sio vyao.Nambie uzi umedorolaaa View attachment 745878