RIZIKI ALLYS MUHUNZI
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 637
- 779
Habari za kuamka maana ndio kumekucha kwetu
Aaaaaaah team no usingiziPoooopoz
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hahahahaa
Utapata hata ukuu wa wilaya
Hapa muda ni kuanzia 00:00 A.M hadi 6:00 ndio uko ruksa tuvinjari.shukrani sana mkuu
as long as nishapajua nitajitahidi niwe napitisha jicho kila niki access jf
Naam mbuyane...
Ndugu yangu nipo sema harakati za hapa na pale. Habari yako bossKichwa kichafu haonekani mpaka leo ? Mwifwa nielekeze kuhusu kumpata kichwa kichafu
Huko upo wewe blaza na mtoto mkali inbobo kumejaa makopa kopa tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yuko kwenye magroup ya watsapp
Kamba ya katani mkuuAtakuja vuta subira kidogo ngoja mimi nivute kamba.
Mbona mapema kiongoziNifunge mageti?
Njema kabisa mkuuHabari za kuamka maana ndio kumekucha kwetu
Ushindi wa Madrid, roho yako kwatuuuHahah
Miller ni braza wangu kwa hiyo si mbaya
Hivi unatoaga wapi hizi picha?Geti lipo waziiiiii wale mliokuwa mnafanya hii michezo mkujeee mtuambieeView attachment 734639