Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
100% perfect. Niambie mutoto ya kufungiwa ndaniKk mambooo
100% perfect. Niambie mutoto ya kufungiwa ndaniKk mambooo
Naomba unikumbushe,nakudai sh.ngapi vile? Maana haiwezekani uje humu kwa kuvizia siku ambazo sipo na bado unachungulia tu na kuondoka mbio mbio1:46
![]()
![]()

Shost, bado uko macho uje huku nikupe umbea wa Iceman 3D ila uwe na kifua....sitaki kesi mieMambo yangu mazuri jirani, upo kweli?
Kwanini tunapishana kiasi hicho

jje's na carbanininini sijui, hawajambo?Itakuwa ule ubusy Wa kitambo kile umenirudia nawe pia hivyo hivyo. Ila nafurahi kukuona jirani
Khee! Kumbe Demiss mfungwa siku hizi? Ndio maaana wanasema ndoa ni pingu za maisha......sasa nimeelewa100% perfect. Niambie mutoto ya kufungiwa ndani
Tungoje nini mbona masaa yanazidi kuyoyoma tu hatuoni kinachoendelea?Ngojeni kwanza
Kabla ya kuondoka naomba mashairi ya wimbo wa J Nature, 'Inaniuma sana'Usjaliii
we cant expect everyone to be here everyday.
Mi mwenyewe nazuga zuga tu humu
HeheheeeeShost, bado uko macho uje huku nikupe umbea wa Iceman 3D ila uwe na kifua....sitaki kesi mie![]()





Nashukuru kwa kunithibitishia kuwa huna kifua, nilikuwa nakutania tu....sina lolote mwanakwetuHeheheeee![]()
Salama ney,kwema.?Poa dear za Kwako?
Kulikoni hyo avatar umei albinismKhee! Kumbe Demiss mfungwa siku hizi? Ndio maaana wanasema ndoa ni pingu za maisha......sasa nimeelewa
Saint Ivuga hii vepeeee?Mbona mi niko nae mwaka wa pili huu mama. Na hapa nina ka Ivugajr kwa tumbo yangu
Akuu tushakua sie, tunaogopa tukilala tutazeeka bureMlale mkue

Wakwetuu usinifanyie hivyo mpenzi, nakuahidi sitofungua mdomo wangu. Niambie tuuNashukuru kwa kunithibitishia kuwa huna kifua, nilikuwa nakutania tu....sina lolote mwanakwetu
@jje's mzima Ila haka kaandunje carbamazepine sijajua kamejificha wapi nakatafutajje's na carbanininini sijui, hawajambo?
Umenifanya nicheke kwa nguvuKulikoni hyo avatar umei albinism
nataka muwe mnaniona vizuriHatutaki tukueMlale mkue
Msalimie sana, jje's@jje's mzima Ila haka kaandunje carbamazepine sijajua kamejificha wapi nakatafuta
Hata nikizima taa nakuona hata nikifumba macho nakuona ThadUmenifanya nicheke kwa nguvu![]()
![]()
nataka muwe mnaniona vizuri
