Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,252
- 90,446
Rudi chumbaniPopo mnalala sanaa sikuhz
Rudi chumbaniPopo mnalala sanaa sikuhz
Njoo ufunge getiMmmhh
Nipo chumbn mbonaRudi chumbani
Cha asubuhi sasaNipo chumbn mbona
Toa uchawi wako humuHabari.
Haya wote kusanyikeni niwafanyie maombi.
Nitavunja nguvu zote za shetani, za kukosa ajira, za kukesha kwenye mitandao ya ngono, za kutoolewa, za kutokuoa, za kutofanikiwa.
Mawazo ya ngono muda wote,
Matusi hayashi mdomoni.
Pesa ukiishika haikai.
Ma mengine mengi.
Uzuri huduma hii ni bure na hakuna kutoa sadaka.
Uki like maana yake umeingia kwenye list
Hahahaha
Kwaresma hiyooo bdo siku mojaHahahaha
Na makucha yakeKumekucha.Asubuhi njema
Ndio tuiwahi sasaKwaresma hiyooo bdo siku moja
Yaani wewe hata siku like. Watu mmetoka zenu huko kwenye mapolitiki kuja kutuharibia. Hayo maombi na yawageukie. Mshindwe na siyo tu mlegee, bali mpotee kabisa na Mungu wetu wa usiku awafanye mkija huku uzi huu msiuone!Habari.
Haya wote kusanyikeni niwafanyie maombi.
Nitavunja nguvu zote za shetani, za kukosa ajira, za kukesha kwenye mitandao ya ngono, za kutoolewa, za kutokuoa, za kutofanikiwa.
Mawazo ya ngono muda wote,
Matusi hayashi mdomoni.
Pesa ukiishika haikai.
Ma mengine mengi.
Uzuri huduma hii ni bure na hakuna kutoa sadaka.
Uki like maana yake umeingia kwenye list
Yaani wewe hata siku like. Watu mmetoka zenu huko kwenye mapolitiki kuja kutuharibia. Hayo maombi na yawageukie. Mshindwe na siyo tu mlegee, bali mpotee kabisa na Mungu wetu wa usiku awafanye mkija huku uzi huu msiuone!

Gate la wapi chief...Popozz na Bundizzz.
Gate is opennnnn
Yako wapi?Na makucha yake