JamiiForums Usiku wa manane
Onyo:Wale mnaoingia kwenye huu uzi kabla ya muda,sasa naongea kama Max.wa uzi huu hiyo tabia tuisitishe mara moja ili kuongeza ladha ya jukwaa narudia tena isitishwe kabla sijalipeleka kwa mods wa J.f usiku wa manane kulijadili iwapo litaendelea nitaitisha kikao cha dharula.Tukumbushane muda ni kuanzia saa 6usiku mpaka saa 11Alfajiri kama huwezi lala tuache mapopo na mabundi.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom