Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,353
- 6,969
- Thread starter
- #181
Kitambo sana nimeshashtuka.
Kitambo sana nimeshashtuka.
Kwani akilalamika kuna shida gani? Muache alalamike Mpe Option Mbili achague 1.Sasa kinachonisikitisha ninapompa taarifa za kuvunja uhusiano analalamika na kunilaumu nimemchezea na kumpotezea mda. Wkt in reality yeye ndio naona anataka kunipotezea mda sasa...
Thats a stupid advice, mwanamke akimfanyia hayo unayomshauri atazidi kumuona stupid
anataka awe huru kugegedwa na wahuni wengine,Huyu mwanamke nilikutana nae miezi mitatu iliyopita nikiwa katika harakati zangu za kikazi mkoa flani. Alinivutia muonekano wake na tabia (napenda wanawake wapole). Tukaanza mahusiano baada ya wiki mbili za kufahamiana. Mkoa aliopo anaishi kwa ndugu.
Umri ana miaka 25. Anafanya kazi kiwanda cha wahindi. Hawamlipi vizuri kutokana na maelezo yake na kazi anafanya siku sita za wiki, masaa 12 kwa siku. Hua anapewa siku moja tu ya kupumzika. Kwahyo ili tuwe tunaonana inalazimika mimi ndio niwe nasafiri kila napopata nafasi kwa vile tunaishi mikoa tofauti ni umbali wa masaa matatu kati yetu.
Tatizo binti shida hazimkauki. Binti anaomba sana ela. Kuanzia pesa ya nauli ya kwenda na kurudi kazini. Vocha. Kula. Mahitaji yake yote lazima aombe kubustiwa. Nimepiga hesabu kwa wiki pesa ndogo akiomba ni elfu 80, hua haipungui hapo. Sasa hivi ameomba nimpangie chumba nimnunulie na furniture ili tuwe tunakutana kwa uhuru tofauti na hivi tunavyokutana lodge kila nikija.
Kwahiyo nilimkalisha chini. Mshahara wangu haujui lakini ni zaidi ya mara tisa ya ule anaopokea yeye. Nikampa wazo anipe utaratibu nikajitambulishe kwao wanijue. Then aje tuishi wote huku tukitafta project iwe ya biashara au chochote ambacho ataweza kufanya akiwa huu mkoa niliopo mimi kuliko kuendelea kufanya kazi ambayo haimlipi huku akizidi kuniingizia unnecessary costs. Mipango ya ndoa then iendelee.
Amegoma katakata. Anadai kwa sasa kuishi na mwanaume ni mapema mno. Anataka kua independent awe na chumba chake, afanye kazi zake na maisha mengine. Nimemuambia kama haiwezekani basi kila mtu aendelee na maisha yake kuliko kupotezeana mda. Analia. Analalamika nimemchezea. Eti simpendi na simjali na nimebadilika! Binafsi nimeshindwa kumuelewa!
Kama analia sana, nenda ukale mbususu yake kwa mara ya mwisho na block kabisa baada ya hapoHii safari naikatisha mwamba.. Tatizo binti analia lia saaaana
Mwanamke anayeambiwa hayo ndio kwanza ana miaka 21





hapo sasa kazi ipoooo, lol. Sawa kama ni mtu sahihi...au hiyo sahihi umeitumia bahati mbayaHatupangi, tunaishi wote hapa kwangu. Nina nyumba ila naishi mwenyewe. Ninachohitaji ni kusettle na kua na familia. Nimeona yeye ni mtu sahihi kwangu na wala sina nia ya kumpoteza. A man needs to settle sometimes.
Acha kumfundisha mwenzio roho mbaya. Hii dunia mnayoijaza sumu ndipo vizazi vyenu vitakapokuja kuishi.Kama analia sana, nenda ukale mbususu yake kwa mara ya mwisho na block kabisa baada ya hapo
Dada naomba kujua unasali wapiAnaekupenda bhna wengne tu hatupendi kuolewa kabsaa ila kupenda tuna fall kabsa shida inakuja pale unaponiambia uniweke ndani uwiiiiiiiiiiiii!!!!! Sitaki kbs
Mtumie meseji au mpigie simu, mwambie ana option mbili tu, na uamuzi ni wa kwake.Analalamika nimempotezea mda na kumchezea
Its simple, mkalishe chini umueleze nia yako kwake. Na mwambie kama hayuko tayari basi aendelee na maisha yake then atakapokuwa tayari ndipo atakapompata anayemtaka.Nimejaribu kupiga chini, anatuma sana text za kulalamika na kulia lia.
Yes ni mchaga. Umejuaje?


..




Tazama huyu kaka!Ila ni pisi flani hivi ikikaa mjengoni raha tupu
Mgeni wa mapenzi wewe?mkuu huyu mtoto ni pisi na nusu na kuna vigezo vyangu (kimuonekano na tabia kidogo) amevikamilisha. Nilikua nataka nijitambulishe kwao ili nisije kumkosa. Lakini amenikatisha tamaa kabisa.
Ndyo maana tumeuliza unasali ,unamwamini Mungu ukinijibu hapa Sina la ziada la kukuuliza.Kwan kuolewa ni lazima bhana kwangu mm ni un necessary