Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

Ishu ni kukaa pamoja? Basi mjaribu mwambie unataka ukienda kujitambulisha utoe na mahari kabisa mmalize. Uone atasemaje.
Ila kwa uzoefu mdogo tu, hapo kaka huyo mwanamke hakupendi yupo kwako kimsalahi tu, kuna mtu mwingine ambae ndo anampenda na wana future pamoja.
Ishu za kujitambulisha anasema tusubiri kwanza mpaka akishapata chumba na furniture..
 
Wanawake wa siku hizi mostly ni Omba Omba hata kama angekua na kazi ya uhakika nakwambia ungeumbwa tu.

Naona huna shida kwenye kutoa pesaa shida unaiona kwa manzi kugoma kuishi na wewe.

Yani usizunguke sana Mzee,Hamna mwanamke hapo kakupendea vi cent vyako.

Mpangie chumba uone utamgonga mara 1 tu kwenye hicho chumba baada ya hapo atamleta mdogo ake (hata wa kufake) kufika kwake ndio sahau tena.

Mtaendelea kukutana mnapokutania siku zingine.. Jiongeze acha ulofa Wanawake wote hawa na wewe!
 
Mkuu kama kweli unampenda demu wake we fanya tu kile anachokwambia, jitundulize umpangie chumba mixer kumnunulia funiture na vitu vingine vya ndani ili aweze kujinafasi coz hio itanogesha penzi lenu maana itakuwa rahisi kwa nyie kuonana.

Usiogope bana, Si unajua Hawa wanawake ukitaka kuwa nao lazima ujiandae kugharamia, everything is all about risk taking.
Naona unamkoki muhun ajichanganye kama shabani Kaoneka acha hizo buanaa
 
Ishu za kujitambulisha anasema tusubiri kwanza mpaka akishapata chumba na furniture..
Piga chini brother, narudia tena, PIGA CHINI.
Huyo demu hakupendi, ana msela wake wa malengo wewe anakupa papuchi kisela huku aki enjoy pesa zako. Utakuja pigwa na kitu kizito kichwani mzee baba. Labda kama kugonga uendelee kugonga kisela tuu.
 
Wanawake wa siku hizi mostly ni Omba Omba hata kama angekua na kazi ya uhakika nakwambia ungeumbwa tu.

Naona huna shida kwenye kutoa pesaa shida unaiona kwa manzi kugoma kuishi na wewe.

Yani usizunguke sana Mzee,Hamna mwanamke hapo kakupendea vi cent vyako.

Mpangie chumba uone utamgonga mara 1 tu kwenye hicho chumba baada ya hapo atamleta mdogo ake (hata wa kufake) kufika kwake ndio sahau tena.

Mtaendelea kukutana mnapokutania siku zingine.. Jiongeze acha ulofa Wanawake wote hawa na wewe!
Ishi humu mzee. Mwamba kamaliza kila kitu.
 
Huruma itakuponza. Sehemu za kutumia akili, usitumie hisia.

Mawazo yako ndio sahihi, kama wote mnania ya dhati ya kuwa pamoja.

Kama hataki uende kwao kujitambulisha, basi atulie.

Ila mkuu,demu umejuana nae miezi mitatu tu, tayari ushataka kwenda kujulikana kwao? Mbona kama unajivika bomu?
Kuna wakuu ni majasiri sanaaa.miezi mitatu tuuuu
 
Wanawake wa siku hizi mostly ni Omba Omba hata kama angekua na kazi ya uhakika nakwambia ungeumbwa tu.

Naona huna shida kwenye kutoa pesaa shida unaiona kwa manzi kugoma kuishi na wewe.

Yani usizunguke sana Mzee,Hamna mwanamke hapo kakupendea vi cent vyako.

Mpangie chumba uone utamgonga mara 1 tu kwenye hicho chumba baada ya hapo atamleta mdogo ake (hata wa kufake) kufika kwake ndio sahau tena.

Mtaendelea kukutana mnapokutania siku zingine.. Jiongeze acha ulofa Wanawake wote hawa na wewe!
Sasa kinachonisikitisha ninapompa taarifa za kuvunja uhusiano analalamika na kunilaumu nimemchezea na kumpotezea mda. Wkt in reality yeye ndio naona anataka kunipotezea mda sasa...
 
Piga chini brother, narudia tena, PIGA CHINI.
Huyo demu hakupendi, ana msela wake wa malengo wewe anakupa papuchi kisela huku aki enjoy pesa zako. Utakuja pigwa na kitu kizito kichwani mzee baba. Labda kama kugonga uendelee kugonga kisela tuu.
Analalamika nimempotezea mda na kumchezea
 
Back
Top Bottom