Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,353
- 6,969
- Thread starter
- #141
Blaza blaza kumpata mtu anaejielewa wa kumuoa ni kazi nimeaminiUsimuonee huruma mwanamke achana nae huyo ni mdangaji. Tafuta anayejielewa kama upo tayari kuoa muoe.
Blaza blaza kumpata mtu anaejielewa wa kumuoa ni kazi nimeaminiUsimuonee huruma mwanamke achana nae huyo ni mdangaji. Tafuta anayejielewa kama upo tayari kuoa muoe.
Hahahaaaaa sitokei hukoHahah.. kwa namna ambavyo nasome hii sms na wewe lazima unatoka lake zone bwashee.
Nimejaliwa kukaa na watu mbalimbali najua mambo mengi sanaa.
Ishu ni kukaa pamoja? Basi mjaribu mwambie unataka ukienda kujitambulisha utoe na mahari kabisa mmalize. Uone atasemaje.Noma sana aisee. Na yeye hataki mkae pamoja?
Hata mwaka mzee, miez 3 kiduchu mno ushaanza na kulalamika humu hilo ni balaa tayari. Lkn mwisho wa siku sikiliza moyo wako.Kwahyo kwa wastani inatakiwa nijipe mda gani? Umri wangu umesonga ni wakati sahihi wa kusettle sasa.
Amenisikitisha sana. Anataka kua independent wkt mpaka nauli ya kumpeleka kazini na kumrudisha anaomba. Kuna mda nahisi anapenda tu na yeye aonekane ana kazi anatoka asubuhi na kurudi jioni lkn sio kwa ajili ya maslahi.Yaani anataka kuwa independent alafu bado anakupiga mzinga wa hela ya chakula, nauli n.k!!!! Muulize anajua maana ya kuwa independent?
Piga chini
Kikosi cha mizinga hicho
Nipo ktk hatua za kumbwaga mdogo mdogo kakaPole ilaa huyo mwanamke hayupo serious...!! Anakula hela zakoo buree tuuu
Nashukuru blazaKwani text au kulia kwake ni sheria kwamba lazima umjibu? Piga chini uyo lasivyo utakuja kulia lia tena hapa. Kwanza hakuna mapenzi ya mbali

Basi yawezekana ana mwanaume wa ndoto zake ambae sio mimi. Huenda ananidanga tu. Nipo ktk harakati za kumpiga chini aisee.
Nimevuta picha hapo analia na kulalamika unamchezea....
Hapo hamna mke... ana kitu anaficha.
Mwanamke anayekupenda na analalamika maisha magumu ma unampa option ya kuja kukaa nawe na kutafuta njia ya kumtafutia mradi wa kufanya hawezi kataa ofa...
Huyo anakutumia wewe kujinufaisha yeye na ukitimiza hilo ombi lake atakupiga tukio...
kutokana na huo muda mfupi na anavyokataa kuishi nawe ni wazi ana kitu anaficha na haumjui kabisa...
Hahaha kwa kuwa umekuwa kuwa bwege mpangishie rum ili wahuni tuje tumle kirahisiVyote hivyo nimefanya lkn dogo ni king'ang'anizi hataki kuachika.
Ila anataka nimpangie chumba na furniture za uhakika..
Ko unaaka penzi la kiselaaaa?Anaekupenda bhna wengne tu hatupendi kuolewa kabsaa ila kupenda tuna fall kabsa shida inakuja pale unaponiambia uniweke ndani uwiiiiiiiiiiiii!!!!! Sitaki kbs






Anasema yupo tayari kwa ndoa lkn mpaka akiwa na kwake.Ushauri wangu.
1. Yeye kukataa kuja kuishi na wewe sio vibaya kila mtu na malengo yake.
2. Wewe kumwambia ahamie kwako pia ili akupunguzie gharama hujakosea.
Binti angekua anataka kuwa independent angepambana ajitegemee hata kwa vocha chakula na kodi hata kiasi kama hana uwezo wa kujimudu.
Kama kweli una malengo nae muulize kama yuko tayari kwa ndoa. Akihamia mji uliopo atakupunguzia hizo gharama unazosema.
Usifungue sana code blaza acha kwanza ibaki hvyo hvyoNina demu wangu mchaga yeye anafanya kazi kiwanda cha wahindi pia, malalamiko hayo uliyoandika ni kama ya kwake, sema Mimi huwa aombi hela, tumetoka nae mbali sana na huwa namcharaza miti vibaya mnoo. Ngoja nione mwisho wa hii saga.



Ulivyosema tu amesema nipangie furniture na kila kitu nikajua tu huyu ni mwizi






khaaaaahNashukuru kwa ushauri kaka. Nipo ktk hatua za kumbwaga taratibu taratibuOnyo
Usije ukamuoa mwanamke kwa kumuonea huruma maana utakuja lia siku moja.
Huyo anakutumia ili afanikishe mambo yake. Miaka 25 ni mwanamke mkubwa sana na ndiyo umri wa kuolewa. Siku zote weka misimamo yako kama mwanamke hataki kuifuta achana naye
Nimeshashtuka! I gotta run fast...Anakudanga
Hataki kuolewa mwenzio,. Wee tafuta anaetaka kuolewa, otherwise msubiri had atakapotaka yeyeHatupangi, tunaishi wote hapa kwangu. Nina nyumba ila naishi mwenyewe. Ninachohitaji ni kusettle na kua na familia. Nimeona yeye ni mtu sahihi kwangu na wala sina nia ya kumpoteza. A man needs to settle sometimes.






Wapare hawachunj hela shtuka alikuongopea kabila lake.Mabinti wa kichaga&kipare..hizi ndo pigo zao, japo sio wote.
Atakuchuna mpaka uzeeke, shtuka bro,
Boma la Utete.