Jaji Mutungi, Msajili wa vyama vya Siasa, ulipo huoni Aibu wee Mzee? Tazama CCM wanavyokuumbua , umegeuka kua Muhuni katika Tanzania ya Wasomi!!

Jaji Mutungi, Msajili wa vyama vya Siasa, ulipo huoni Aibu wee Mzee? Tazama CCM wanavyokuumbua , umegeuka kua Muhuni katika Tanzania ya Wasomi!!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Ni kupitia Ofisi yako na Kesi za Uchwara Uchwara ,umeizuia CHADEMA kufanya Shughuli zake za Kisiasa Kwa sababu za kijinga kabisa.

Lakini CCM wenyewe ,Kwa Sasa wamewaonyesha Watanzania kua, sio tu kukiuka Katiba yao ya Chama, wamekiuka Katiba ya TAIFA.

Mzee Butiku kasema CCM wamekiuka, Mzee Warioba kasema hivohivo, Polepole kasema hivohivo wewe upo umetulia kama huoni .

Unajua Athari ya unachokifanya wewe mzee?? Huoni unatengeneza Matabaka na kuchochea Uhasama wa Kisiasa??.

Unasuburi mpaka CCM yenyewe waamue kurudia Upya Mchakato wao, Ndio ujitokeze kujifanya unawataka kurudia Mchakato??.
 
1753353642370.png
 
Namba yake ya simu naomba!!!Nataka kumtumia ujumbe huu Moja kwa Moja kwenye simu yake
 
Tanzania Inaitaji reforms sehemu nyingi sana Vyombo vya Ulinzi na Usalama mkubali tupate reforms kila mwananchi afaidike na Tanzania kuliko kikundi kidogo kufaidika Wengine milioni 60 wako hoi Nchi zote zilioendelea Viongozi wamekubali kula na Wananchi ndo maana maendeleo yapo sisi huku Viongozi wanataka wale peke yao
 
Kuna mtu anaitwa nyahonza pale kwa msajili. Alikuwepo mpaka kwenye mkutano wa uchaguzi wa cdm. Huyo ndiyo mjinga kupitiliza sasa. Alishawahi kupeleka barua chadema kwa usafir wa boda ili lisu azuiwe kushiriki kampeni 2020
 
Wabongo wa sisiemu tulishapoteza haya so hatunaga aibu tena, huo mshipa husika ulishaatrophy so unaishia soon kwenye milli yetu! Ukitaka kujua uliza historia ya wasire
 
Ni kupitia Ofisi yako na Kesi za Uchwara Uchwara ,umeizuia CHADEMA kufanya Shughuli zake za Kisiasa Kwa sababu za kijinga kabisa.

Lakini CCM wenyewe ,Kwa Sasa wamewaonyesha Watanzania kua, sio tu kukiuka Katiba yao ya Chama, wamekiuka Katiba ya TAIFA.

Mzee Butiku kasema CCM wamekiuka, Mzee Warioba kasema hivohivo, Polepole kasema hivohivo wewe upo umetulia kama huoni .

Unajua Athari ya unachokifanya wewe mzee?? Huoni unatengeneza Matabaka na kuchochea Uhasama wa Kisiasa??.

Unasuburi mpaka CCM yenyewe waamue kurudia Upya Mchakato wao, Ndio ujitokeze kujifanya unawataka kurudia Mchakato??.
Tuanze kuweka list ya watu wa Hague! huyu asikosekane kwa kuanzisha partiality kwenye sheria za vyama!!
Hivi Mutungi na uzee wote na umri wa kuajiriwa umekosa ugali wa kula hadi unganganie dhulma ??????
 
Back
Top Bottom