Itachukua miongo mingi sana kuipata tena hotuba hii iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan

Itachukua miongo mingi sana kuipata tena hotuba hii iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan

Siku hizi hawasomi kwenye Makaratasi ...... Teleprompter!!

Angetoa kichwani asingesahau zile Nywi nywi nywi ......!!
Ya kusoma kwenye teleprompter inajulikana,kuna wakati alisoma lakini kuna muda alitoa nondo hadi wazee wa Dar wakasimama.
Hata yeye amefurahi kwa ile applause ambayo ilikuja naturally
 
Kwa kiwango hiki cha maneno mazito, nahisi umefuzu kuwa msemaji wa kila jambo_kuanzia hali ya hewa hadi harusi za ukoo..
 
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.
Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole,Ukweli na dhamira njema.
Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.
Hotuba hii imetambulisha adui ni nani,akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.
Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.

Hakika ubaya utapeperushwa


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Unaiba Kura unakuja na propaganda za uzalendo.
 
Nchi italindwa kwa gharama yoyote dhidi ya mtu yoyote anaetaka kuleta machafuko ikibidi hata nyumbu laki 5 wanaoleta fujo wauwawe ili million 60+ wabaki salama.

Hakuna huruma kwa wahalifu.
 
Kuna mwaka kura hazijaibiwa ?Kuna nchi haina malalamiko ya kuibwa kwa kura?
achana na "what aboutism". Kama raia wanalalamika, watu wanaumia, unataka kuwapangia namna ya kuomboleza??. Kuiba kura kunakupa legitimacy??
 
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.

Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.

Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.

Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.

Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.

Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.

Hakika ubaya utapeperushwa

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Aisee! Sasa kwa hotuba hii, ile kamati ya uchunguzi ina kazi gani!? Inaenda kuchunguza nini, na itakuja na majibu tofauti na haya!? 🤔
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongea na wazee wa Dar Es Salaam.

Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.

Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.

Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.

Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.

Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.

Hakika ubaya utapeperushwa

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Hiki cha leo, HIYO TUME INAENDA KUCHUNGUZA NINI!? Itakua na majibu gani tofauti na haya, kama alie wateua amejiweka na kujianika hadharani kiasi hiki!?
 
Ya kusoma kwenye teleprompter inajulikana,kuna wakati alisoma lakini kuna muda alitoa nondo hadi wazee wa Dar wakasimama.
Hata yeye amefurahi kwa ile applause ambayo ilikuja naturally

Hao Wazee waliyoomba posho pale bila aibu? Au hukumsikua Mwenyekiti wao akiomba waongezewe posho. Was that platform meant for that?
 
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongea na wazee wa Dar Es Salaam.

Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.

Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.

Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.

Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.

Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.

Hakika ubaya utapeperushwa

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Ilikuwa hotuba ya kipumbavu kuwahi kutolewa na mkuu wa nchi, amejaa upepo anabwabwaja tu kama amekunywa maji ya chooni. Huyu kweli ile Div. IV ya O level alipata kwa haki kabisa ni zero brain haswa.
 
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongea na wazee wa Dar Es Salaam.

Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.

Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.

Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.

Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.

Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.

Hakika ubaya utapeperushwa

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Yani yeye na genge lake wameuza rasimali za nchi wanachezea pesa leo anakuja leta porojo kuwa tunaonewa wivu anasahau upigaji umekithiri ndio kilio cha watu wakikemea upigaji watu wanatekwa mnataka tuishi kama mazombi siyo fresh tu
 
Kweli hotuba matata sana inaongelea namna ya kugombania mwanamke mzuri na namna ya kumnyima uchi mume kama ameondaka amekosea! Kibibi na umri wote hule bado kinawaza mambo ya chupichupi katikati ya kipindi kizito cha mtafaruku wa nchi! Walaih hotuba mulua kabisa hii.
 
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongea na wazee wa Dar Es Salaam.

Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.

Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.

Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.

Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.

Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.

Hakika ubaya utapeperushwa

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Kwamba uchaguzi ulikuww huru na haki. Siku ya kupiga kura kulikuwa na maandamano na baadhi ya vituo na kura kuchomwa moto yet ushindi umekuwa wakishindo... Naxlchokaa mini
 
Hakika Uongozi huwekwa na Mungu.
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongea na wazee wa Dar Es Salaam.

Hii ni Hotuba nzito sana iliyoonesha Upole, Ukweli na dhamira njema.

Hotuba hii imeonesha kuwa Rais yupo well informed.

Hotuba hii imetambulisha adui ni nani, akawaita wananchi kumkabili adui kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.

Hotuba hii imekumbusha juu ya uhuru kuwa na mipaka na hakuna atakayeweza kuwa juu ya dola kamwe.

Hotuba hii imekumbushia dunia kuwa Tanzania ana mrengo wa "NAM" na bado ataendelea hivyo.

Hakika ubaya utapeperushwa

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Eeh Mungu tazama hIzi kejeli
 
Back
Top Bottom