Lol! Wifi yangu una wivu sana,kha!
Sijasoma posts zingine, ila kwa upande wangu I suspect the least. I have a lot of male friends, I befriend their ladies wakiniruhusu (kuna mdada unajaribu reaching out unashindwa), lakini kupiga stori na kucheka tu is not good enough a reason to trigger an alarm for me. So kama ni kuibiwa, well, watakuwa wanajisevia,lol! And I don't dig out, I trust but he is guilty until proven innocent. Yes, I mean exactly that hahaha
Well well... Mkihitimisha huu mjadala msisahau kuwaombea wagonjwa. Wanahitaji maombi yenu zaidi na zaidi.
hahaha.... no uvumilivu eeeh? Hata hivo in most cases the guys would do that radher than the women....lol
What else can u do sisy....sema kwenye hii ishu wahanga ni kina nyie.....huwa nawaonea huruma tu...
VD, wahanga wanaume wapo aisee! Trust me, na inakuwa mbaya mara dufu! Unakuja na Kaizer home, wife kila siku anamuulizia. Akipika wali wa nazi anakuambia mpigie Kaizer apite ale..., akipika vitumbua ama maandazi anakuambia Kaizer anapenda kweli maandazi ya nazi, hivi yupo? Na mwisho utaskia gari ilinizimikia na shem Kaizer akaja kunisaidia. Halafu unakutana na Kaizer hakuambii chochote, mweh! Nyie ndo huwa mnaumia zaidi aisee!
Baelezeye Kaizer!oooh well well well
Mi naungana na NN kuwa at the end of the day, kwa sababu tunachoangalia hapa ni kwamba consequences za mahusiano ya hivyo ni watu 'kucheat', then lawama ni kwa mhusika per se.
kwa sababu, (na kama Mwali anavosema) inategemea mtu 'anahehsimu' vipi mahusiano yake.....na hili linaturudisha kule kule kwa mwanzo kabisa kwamba kwa nini upo na mpenzi wako wa sasa? Unempenda kweli, au upo naye kwa sababu nyingine, labda mali, fedha, umri, show off, kulipiza kisasi, au vyovyote?
for I know for sure kuwa kama uliyenaye unampenda basi utaheshimu mahusiano uliyopo na hutaonyesha such a 'high affinity' kwa rafiki wa mpenzi wako. Inawezekana kweli kusiwe na feelinngs za kimapenzi baina ya mtu 'na shemeji yake' lakini pia ikitokea, kuna something underlying that.
Na kwa sababu hiyo kabla hatujamlaumu 'shemeji' kwa kulitia maji, nadhani siye wa 'kustuka' tujistukie whats lacking kwenye relationship yetu hadi mwenza anakuwa anapenda kuwa muda mrefu na shemeji....whatever....
So mi siamini wale ambao 'hawataki kabisa urafiki na mashostito' for kama unajiamini, huwezi kuibiwa. Kuibiwa, unajiibia wewe mwenyewe.
"Bata kuchezea tope kapenda mwenyewe"
Sweetie, please tuendelee kutoka aout na Mwali, SL, Kongosho, and the like....hakuna noma kabisa...
usisahau my favourite wine,,lol)
... Great!! AND
That been said!!?
Nime note .. inaonekana kuchukua hatua kama hizo mapema ni kind of being over protective, luck of trust ...etc! Mimi siamini hivyo ... ! Kwa sababu ... They way watu wengi wanataka iachiwe un observed and not taken care ... Ni kwamba most of the time .. Inakuwa kwenye point of no return ..pale inapoonza kushughulikwa ... na wengi hata kama wanataka ..can not handle it in a right way ... to allow it to make them apart!! ... so ni bora kujilinda watu kuingia na kujikuta in that poor realtionship ... alafu kuanza processes ..ngumu ya kujirudi ..which always dot work out!!
Uwezo wa kuwa objective na ku overcome wrong emotions and feelings za mahusiano .... mhhh .. Bora partners wakasidiana not to let a parasite on their relation ..
Lol! Wifi yangu una wivu sana,kha!
Sijasoma posts zingine, ila kwa upande wangu I suspect the least. I have a lot of male friends, I befriend their ladies wakiniruhusu (kuna mdada unajaribu reaching out unashindwa), lakini kupiga stori na kucheka tu is not good enough a reason to trigger an alarm for me. So kama ni kuibiwa, well, watakuwa wanajisevia,lol! And I don't dig out, I trust but he is guilty until proven innocent. Yes, I mean exactly that hahaha
AshaDii aksante mamii kwa hiki kipande maana ni kweli yanatokea kabisa. Yalishanikuta isipokuwa kwangu kulikuwa na element moja ambayo iko opposite na yako. Wao walipretend kuwa maadui!! Kabisaa na hata mtu wangu alifikia hatua ya kunipiga marufuku mie kuwa karibu na huyo mdada ilhali huyu mdada naye kila akiniona na huyo chalii ananinunia hata salamu7 kuitikia inakuwa kazi na tunapokuwa na yeye tu heshinambia kuwa hamwamini huyo mkaka! phweee siku nilipowakuta nilishindwa hata kupumua, nikaishia kuwafungisha ndoa ya mkeka kimoyomoyo.
oooh well well well
Mi naungana na NN kuwa at the end of the day, kwa sababu tunachoangalia hapa ni kwamba consequences za mahusiano ya hivyo ni watu 'kucheat', then lawama ni kwa mhusika per se.
kwa sababu, (na kama Mwali anavosema) inategemea mtu 'anahehsimu' vipi mahusiano yake.....na hili linaturudisha kule kule kwa mwanzo kabisa kwamba kwa nini upo na mpenzi wako wa sasa? Unempenda kweli, au upo naye kwa sababu nyingine, labda mali, fedha, umri, show off, kulipiza kisasi, au vyovyote?
for I know for sure kuwa kama uliyenaye unampenda basi utaheshimu mahusiano uliyopo na hutaonyesha such a 'high affinity' kwa rafiki wa mpenzi wako. Inawezekana kweli kusiwe na feelinngs za kimapenzi baina ya mtu 'na shemeji yake' lakini pia ikitokea, kuna something underlying that.
Na kwa sababu hiyo kabla hatujamlaumu 'shemeji' kwa kulitia maji, nadhani siye wa 'kustuka' tujistukie whats lacking kwenye relationship yetu hadi mwenza anakuwa anapenda kuwa muda mrefu na shemeji....whatever....
So mi siamini wale ambao 'hawataki kabisa urafiki na mashostito' for kama unajiamini, huwezi kuibiwa. Kuibiwa, unajiibia wewe mwenyewe.
"Bata kuchezea tope kapenda mwenyewe"
Sweetie, please tuendelee kutoka aout na Mwali, SL, Kongosho, and the like....hakuna noma kabisa... (leo usisahau my favourite wine,,lol)
What else can u do sisy....sema kwenye hii ishu wahanga ni kina nyie.....huwa nawaonea huruma tu...
mara nyingi sana inatokea hii, na wahusika wanaweza kufa na tai shingoni
VD, wahanga wanaume wapo aisee! Trust me, na inakuwa mbaya mara dufu! Unakuja na Kaizer home, wife kila siku anamuulizia. Akipika wali wa nazi anakuambia mpigie Kaizer apite ale..., akipika vitumbua ama maandazi anakuambia Kaizer anapenda kweli maandazi ya nazi, hivi yupo? Na mwisho utaskia gari ilinizimikia na shem Kaizer akaja kunisaidia. Halafu unakutana na Kaizer hakuambii chochote, mweh! Nyie ndo huwa mnaumia zaidi aisee!