Sweetie, Katika mahusiano mengi ya sasa hivi... watu wengi wamekua ni matapeli wa Wapenzi ijapo to the people close to them. Tokana na ukweli huo wewe kama mhusika mmoja wapo wa kua na Mpenzi ambae you are still nurturing that trust... Nimuhimu saana kujua hayo ili kuepusha kitu ambacho maybe kiko wazi toka mwanzo. Kama ulivo sema mwenyewe hapo Sweetie kua kama Mpezi wako wampenda kweli, lazima utaheshimu hayo mahusiano na the bounderies with those ambao wako karibu.... But ni kweli wewe waweza penda kweli but how would you know kua mwenzio mapenzi ni genuine... It takes time for sababu wengi wapo na wapanzi wao sababu ya vitu kama, labda mali, fedha, umri, show off, kulipiza kisasi, au vyovyote (as per your say); Thatis when such facts have to be applied...
Na umegusia ya muhimu saana... Kwamba kama Mpenzi wako is seeking for constant ukaribu na rafiki/nduguyo inabidi ujiangalie mhusika kwanza..... Sasa hio statement yako hapo kua unataka tuzidi toka na akina Mwali et al... Does it mean tayari tuna tatizo na huoni raha mpaka na wao wawepo?
Kwenye mabano... Delivered!