IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

Hapo in blue.... Umeongea kweli kabisa... Kikumbwa haitakiwi ikithiri na kuvuka Mpaka! Yatakiwa iwe nurtured na ni vitu ambavo katika relationships ni muhimu ku observe.... Napenda nitolee mfano wa mtoto mdogo. Tunapokua na mtoto mdogo nyumbani hua kila siku unaangalia kama there are any abnormal signs, kama kumshika joto lake, kuangalia choo anachotoa, kuangalia attitude yake je ni wafuraha lakini kapoa? na the like... Precautions za muhimu ili kuepusha anything major ambayo yaweza happen.

Pls you will hav to forgive if am off topic ... or we shouldn't do it here!! ... You know am obsessed with emotional and psychco thing eh? ...Lol

Have seen many times ... how you use term ..OBSERVATION ... au huwa uansema KU OBSERVE .... Just curious unamaanisha nini ...Lol ...
 
nadhani wanawake kama kuna kaugonjwa hv.wasichana wengi sana wanapenda sana wapenzi wa marafiki zao.sijui ni wivu sijui ni labda unavomuhadithia mazuri ya mpenzi wako na yeye anatamani kufaidi kiukweli i dont know why?
Mi mi personaly siku moja nilikuwa na rafiki yangu wa kiume ni class mate since o level hadi college ni rafiki yangu sana sana yupo na mwenzake wa kiume pia huyo mmoja tumezoeana zaidi na huwa ananiita mpenzi kiutani lakini basi huyo rafiki yangu anakaa urusi alikuwa amekuja holiday siku moja wkend akaanza kumsumbua mkaka amtoe out basi yule akanipitia kama kawa akaniambia na rafiki yako amesema tumpitie basi alikuwa na noah mi nilikuwa nimechoka nipo nyuma alivokuja paleyule mdada akamshika yule mkaka akaanza denda sijui mnaita kijana anajitaidi kumtoa cause si nilikuwa nyuma pale nawatch movie.............................. Nakuja

Haujatutendea haki . . . . . . .Honestly malizia hii story
 



"Habari zenu wana MMU"


Siku nyingi jamani... Hoping tu wazima wa afya na that the Holidays where Great!


Kawaida a couple hua watamaniana pendana na hatimae kujikuta ni wapenzi katika urafiki (yaani Gal friend/boy friend) ama ndoa kabisa. As time goes on Mwamaume/Mwanamke humtambulisha mpenzi wake kwa watu wake baadhi wa karibu kama rafiki/ndugu ama jamaa. However kuna ile tabia ya kusema kua mmoja wa hao marafiki/ndugu ama jamaa huwa karibu zaidi na Mpenzi wa mhusika kuliko wale woote aliowahi tambulishwa..... Which in most cases is convinient and neccessary.

LAKINI kuna wakati yule mtu ambae ndio wa karibu yenu as a couple (yaani rafiki ulie mtambulisha kwa Mpenzio) anakua karibu saana na Mpenzi wako huyo. Sometimes kupita kiwango ambacho yatakiwa iwe.... Yaani hao mtu na shemejie waweza dondokeana... either kwa kupenda ama tu bahati mbaya bila wao kujua ama wao kujua.....



The following ni baadhi ya viashiria ambavo wawez observe....



  • Mpenzi wako anamzungumzia rafiki/ndugu yako kila mara mnapokua woote? Iwe faragha.... iwe katika maongezi ama popote pale... Mara ooh "D" hivi mara oooh "D" vile... mara analisema hiki mara kile na the like...



  • Unagundua kua hua waonana mara kwa mara... mara for lunch, mara shopping, mara movie watching , mara kutembeleana... Yaani ili mradi it is convinient for them to meet; they do meet bila kujali kwa frequency ipi na wala kua haupo wewe mhusika mkuu...


  • Wapo more than comfortable wakiwa pamoja..... Yaani very relaxed together. Hii waweza zaidi wasoma wakiwa kwa mbali. Mfano labda mna outing, wewe kama mhusika nyanyuka kuenda washroom OR labda kuagiza vinywaji... Kwambali wawaangalia wapo so deep in conservation... oblvious of the exsting world and people around them... Waweza chelewa several minutes kurudi pale mezani but wasi notice (if they do baaada ya mda nayo out of guilt of their pleasure)


  • Huyo rafiki yako wa karibu (hata mpenzi wako) anataka kila mtokapo nae awepo kama third party... Tena hata siku moja haji na plus one wake (or anakua wakubaraguza tu kupoteza lengo). Kokote kule nae aambatane kana kwamba kwamuhusu kote. Kila Mpenzi wako anapokusisitiza tuende na rafiki yako – ukimtafuta yupo soo ready na ataacha lolote lile.... ili mradi tu nae aje na nyie as a couple.


  • Rafiki yako yupo weird... Hapendi kabisa aongelee mambo ya mpenzi wako, OR kila saa anataka aongelee mambo ya mpenzi wako huyo. Yaaani hachoki, sifa kibao! Mara anafaa... mara wa ukweli... mara mara haziishi yaani! Ni kweli kuna ile wamsifia Mpenzi wa rafiki yako... But I do believe there are some limits to it. Hio yaweza hata kua pande zoote mbili; kwa mpenzi wako na rafiki yako pia.. Mpaka you start wondering hivi nisipokuwepo na mimi natajwa hivi hivi? Lol On top of that unakua unapokua na Mpenzi wako ama huyo rafiki yako ana details za Mpenzi/rafiki yako hata wewe hujawahi sikia kabisa!

An addition... Courtesy ya Mwanajamii1




Kama nilivosema hapo juu... Hizo ni baadhi ya viashiria... kama wewe unaepita hapa iko hivo... SHTUKA!! Kama kawa naomba ushirikiano wenu katika mada hii tuweze ongezea, punguza na rekebisha pia.



Pamoja Saana...:grouphug:



AshaDii.

Hii ni kwa wale wanaokutana mara ya kwanza, vp kwa wale walikuwa pamoja before?
Yaan mtu una mpenzi mwingine, lakin huwez kuacha kuwasiliana na ma-Ex wako? Ukiuliza kuna kitu gan mnaongea mpaka kuchekeshana hivyo, unajiibiwa "Ni kaka/dada tu, tunaongea ya kawaida tu"

Hivi ni kweli ukaka/udada unawezekana kwa ma-Ex?
 
Pls you will hav to forgive if am off topic ... or we shouldn't do it here!! ... You know am obsessed with emotional and psychco thing eh? ...Lol

Have seen many times ... how you use term ..OBSERVATION ... au huwa uansema KU OBSERVE .... Just curious unamaanisha nini ...Lol ...



Observation huzaliwa na ile hali ya kuona.... "something is no right!" then waanza kuangalia dalili....

Kufuatilia fuatilia hua out of ile tu need ya kuchokoa mambo ambapo hata hayapo...lol.. Yaani hii mara nyingi huwa from a person with wivu wa kijinga wala usiokua na msingi...

And AJ.... You are not off the topic bana! lol
 
Hii ni kwa wale wanaokutana mara ya kwanza, vp kwa wale walikuwa pamoja before?
Yaan mtu una mpenzi mwingine, lakin huwez kuacha kuwasiliana na ma-Ex wako? Ukiuliza kuna kitu gan mnaongea mpaka kuchekeshana hivyo, unajiibiwa "Ni kaka/dada tu, tunaongea ya kawaida tu"

Hivi ni kweli ukaka/udada unawezekana kwa ma-Ex?



Hio hapo juu naigomea mpaka kesho! Mtu ambae mshawahi fanya tendo la ndoa, mimi naelewa kua kama bado mnamazoea ya karibu mno mpaka kuchekeshana... Ni hatari kwa afya ya penzi lako jipya.... Ni ngumu kwa kweli! Labda uniambie wewe CPU, Unaichukulia vipi?
 
siku hizi hakuna marafiki wa kweli, rafiki yako mkubwa awe mumeo/mkeo na bf/gf wako. mashoga, washkaji tuachane nao, hawana maana. AShadii haya yako kwa wanaume pia kushobokea ma gf wa rafiki zao, yameshanikuta sana mimi. kutwa unaitwa shemeji kumbe ana lake jambo. tumepuke kua na marafiki tunapokua na wenza wetu, hii ndio dawa ya wezi wa mapenzi.
 
Hio hapo juu naigomea mpaka kesho! Mtu ambae mshawahi fanya tendo la ndoa, mimi naelewa kua kama bado mnamazoea ya karibu mno mpaka kuchekeshana... Ni hatari kwa afya ya penzi lako jipya.... Ni ngumu kwa kweli! Labda uniambie wewe CPU, Unaichukulia vipi?

Mi kwa mtazamo wangu, mtu akiwa anaendelea kuwasiliana na ma-Ex wake nakuwa frustuated sana. Hata kama ni normal talk. Yaani haikupaswa awe hata na namba zake za sim. Mi nilikutana na mtu ananiambia eti "nataka akinipigia nimgundue kama ni yeye".
Kwa sababu kuendelea kuwa karibu kwa namna yoyote na maEx wako ni wazi kuwa bado wanaugusa moyo wako . . . .
 
siku hizi hakuna marafiki wa kweli, rafiki yako mkubwa awe mumeo/mkeo na bf/gf wako. mashoga, washkaji tuachane nao, hawana maana. AShadii haya yako kwa wanaume pia kushobokea ma gf wa rafiki zao, yameshanikuta sana mimi. kutwa unaitwa shemeji kumbe ana lake jambo. tumepuke kua na marafiki tunapokua na wenza wetu, hii ndio dawa ya wezi wa mapenzi.


Sal Thank you for sharing.... Na nafurahi kua umeona at first hand jinsi gani marafiki wengine walivo waharibufu katika Mapenzi ya wahusika wasipokua makini. Na kama ulivoongea.. ni kweli siku hizi hakuna marafiki wa kweli, watu geresha zimekua nyingi, na mtu ataka awe rafiki yako tokana na kitu gani aweza pata kwako, or the status you have rather than kigezo cha having the same things in common thou wapo wachache!.
 
Mi kwa mtazamo wangu, mtu akiwa anaendelea kuwasiliana na ma-Ex wake nakuwa frustuated sana. Hata kama ni normal talk. Yaani haikupaswa awe hata na namba zake za sim. Mi nilikutana na mtu ananiambia eti "nataka akinipigia nimgundue kama ni yeye".
Kwa sababu kuendelea kuwa karibu kwa namna yoyote na maEx wako ni wazi kuwa bado wanaugusa moyo wako . . . .



We are on the same page CPU.... Nakubaliana nawewe kabisa! Hio hali ya hapo juu, isha wahi kukuta?
 
We are on the same page CPU.... Nakubaliana nawewe kabisa! Hio hali ya hapo juu, isha wahi kukuta?
mi ma x wangu wananitongoza tu , ni kweli si vizuri kuwasiliana nao hamna business ya kuongea nao tena.thats why i hate them
 
mi ma x wangu wananitongoza tu , ni kweli si vizuri kuwasiliana nao hamna business ya kuongea nao tena.thats why i hate them


Kid sis... Umemsoma CPU hapo juu? anaomba umalizie ile story....lol... Nakubaliana na wewe mdogo wangu... Ex ni Ex!
 
I am up to nothing broda' lol.... Si mwanzo mzuri huonekana mapema Ndahani? Tell me do you like the content? na please say something....
I like the content AD. Isipokuwa ibilisi wa mtu ni mtu mwenyewe....hakuna suala la kuibiwa. Kwanza mtu anaanza kujenga interest halafu baadae ile biashara nyingine ndo inafuatia. Mi msimamo wangu uko wazi...kuna wakati bwana inabidi unakaa mbali kabisa na hao marafiki ili kuepusha shari!! Shit happens sometimes!!
 
Observation huzaliwa na ile hali ya kuona.... "something is no right!" then waanza kuangalia dalili....

Kufuatilia fuatilia hua out of ile tu need ya kuchokoa mambo ambapo hata hayapo...lol.. Yaani hii mara nyingi huwa from a person with wivu wa kijinga wala usiokua na msingi...

And AJ.... You are not off the topic bana! lol

A surprise may be ..!!?

To observe as you put it si uwezo kila mtu anao ...utashangaa since kwako ina flow naturally utafikiri nikwa kila mtu

... I know in US an Europe .. some people pays a lot of money ..to be taught how to observe successfully and objective... Lolz!! Yes unaweza ku Google "OBSERVATION EXERCISES" n your free time hope you will see smthing ..not important though ...LOL!

Observation when done with good intention goes with lots of Love and Passion ...kama ..ulivyosema ..a good mom ...naturally do that for her kid ... its very naturing ... make a real bond mother to child ... make all goes well ..

From a careless Mom ..hiyo hayapo ... ndio maana kuna hata shule ya kujenga na kukuza kipaji cha .. KU OBSERVE ... !!

On the same context ..do you real kweli kwa a full grown husband material ..does not need that A CLOSE OBSERVATIONS ..?

What do you think people will interpret if a very good wife ... a real carering wife naturally ... will be naturally out of love and passion ... be doing the observation thing to her lovely husband?

Will be seen as too much ... tooo protective ... jealous .... to hubby?

What am saying before we do that judgment ..we should first just try to understand ... the real meaning of OBSERVATIONS!!

Believe me that observation thing ... is the passion ... is the real love .... it is very constructive ... !! Its the positive force in all real relationships...
... UPO!!!?
 
yaan, inakera sana sha tongozwa zana na mashemeji watu wadada na kadhalika kisa eti wanaona ninavoponda raha na wife. Nimekimbia sana na kuwadanganya wengine wananichukia mpaka basi, dunia hii haiishi viroja, yote ni bure!!!!!!! uki do 2 utaomboleza maisha!!!
 
I like the content AD. Isipokuwa ibilisi wa mtu ni mtu mwenyewe....hakuna suala la kuibiwa. Kwanza mtu anaanza kujenga interest halafu baadae ile biashara nyingine ndo inafuatia. Mi msimamo wangu uko wazi...kuna wakati bwana inabidi unakaa mbali kabisa na hao marafiki ili kuepusha shari!! Shit happens sometimes!!



I agree with you.... Shit happens.. thou in this case it would be more of Shit will inevitably happen if not careful....
 
A surprise may be ..!!?

To observe as you put it si uwezo kila mtu anao ...utashangaa since kwako ina flow naturally utafikiri nikwa kila mtu

... I know in US an Europe .. some people pays a lot of money ..to be taught how to observe successfully and objective... Lolz!! Yes unaweza ku Google "OBSERVATION EXERCISES" n your free time hope you will see smthing ..not important though ...LOL!

Observation when done with good intention goes with lots of Love and Passion ...kama ..ulivyosema ..a good mom ...naturally do that for her kid ... its very naturing ... make a real bond mother to child ... make all goes well ..

From a careless Mom ..hiyo hayapo ... ndio maana kuna hata shule ya kujenga na kukuza kipaji cha .. KU OBSERVE ... !!

On the same context ..do you real kweli kwa a full grown husband material ..does not need that A CLOSE OBSERVATIONS ..?

What do you think people will interpret if a very good wife ... a real carering wife naturally ... will be naturally out of love and passion ... be doing the observation thing to her lovely husband?

Will be seen as too much ... tooo protective ... jealous .... to hubby?

What am saying before we do that judgment ..we should first just try to understand ... the real meaning of OBSERVATIONS!!

Believe me that observation thing ... is the passion ... is the real love .... it is very constructive ... !! Its the positive force in all real relationships...
... UPO!!!?


Nimependa hapo ni blue....

Ila nimecheka saana the way umeeleza kua wenzetu wana darasa la observation na that they pay loads of money... Typical of the wazungu... they have classes in everythings...lol... Go figure!

On a serious note; I have to admit kua I am kind of protective of my hubby, my kids na hata the people I love... Regardless if we are related or not...lol.. Hivo kama observation is passion then it is easy for me... For I am very very passionate in my doings... in everthing and I mean everything!
 
yaan, inakera sana sha tongozwa zana na mashemeji watu wadada na kadhalika kisa eti wanaona ninavoponda raha na wife. Nimekimbia sana na kuwadanganya wengine wananichukia mpaka basi, dunia hii haiishi viroja, yote ni bure!!!!!!! uki do 2 utaomboleza maisha!!!


Ni kheri wewe wakerekwa... Wanaume wengie hufurahia and take advantage... which is really really bad.
 
Nimependa hapo ni blue....

Ila nimecheka saana the way umeeleza kua wenzetu wana darasa la observation na that they pay loads of money... Typical of the wazungu... they have classes in everythings...lol... Go figure!

On a serious note; I have to admit kua I am kind of protective of my hubby, my kids na hata the people I love... Regardless if we are related or not...lol.. Hivo kama observation is passion then it is easy for me... For I am very very passionate in my doings... in everthing and I mean everything!

I am very happy umecheka sana ... !! BUT on the very serious note .. Tell me the truth ..have you ever been in those classes ... madarasa ya obserations ... ? Lol! I want like FaizaF and Russiin R language classes .. You open one for observation too ... Lol!

Since you told me to feel free with your thread.....!!! after all is a dying thread so i can drop here anything eh? So.. Back to important of this ...? Its really kuwa kweli kuna Right PROTECTIVENESS and the wrong one ...One is from brightness of consciousnesses ... the higher quality.. YOURs of-course! One is typically very emotional ... here you get jealousness..negative possessions ... This isn't Love but the opposite!!

Yaani call consciousness ufahamu ... THE TOTAL PASSION OF UFAHAMU TOKA MOYONI Kwa Mama kwenda kwa Mtoto ... I am telling its the medicine for lost of child... ..sasa ngoja Mama asitumie ufahamu ..awe na hisia (negative emotions) kama hasira, shaka etc ..alafu atumie kum manage mtoto .. A kid can even get sick...!!

Mfano ...

If Mom is in conflict with Dad ..the wrong emotions of the parents can affect ..Mtoto!! Using the same energy to protect ..Friends, family ...wouldn't call that Protection ... Wouldn't like my wife to approach me with that .

When in one post I saw ..that it looks like ..you over protect negatively etc ... I knew it was wrong observations ... Cause you do it with TRUE PASSION OF UFAHAMU QUALITY not ... With wrong emotions ... Ref: AShadii Signature!!

AND you know you have the strongest, energetic and lovely Sweet Passion which can run the world ... Lol!!

But this also should make you aware of how you take care around the community ... Your Passion is too sweet and good to be loved by every one!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom