IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

Uzi mzuri sana hongera kwa kutupa angalizo.

Wanaume walio makini, mara wanapoanza uhusiano na mwanamke huanza kukata/kupunguza mawasilano yake na wanaume wengine(wawe marafiki au wale ndugu wa kuunga unga) kwa kutumia ushawishi, ili kuwe na kichwa kimoja kinachotoa maamuzi au ushawishi.

Kazi huwa kupunguza marafiki wa kike wa bibie(mashoga), km mwanamke ni m2 wa kampani lazima kutakuwa na rafiki mkubwa(msiri) ambaye huyo kumtenganisha na bibie ni kazi kweli kweli. Na huyo ndo hasa anaweza akawa anashirikishwa katika uhusiano km m2 wa 3.

Sasa inawezekana mwanaume akawa huru na huyo "shemejie" na ndo hapo inaweza kutokea kuvutiana kwa maana mwanaume anaweza akaanza kujisikia comfortable akiwa nae, labda ni muongeaji kuzidi mpenzie, mcheshi nk. Sasa kitakacho fuata...!!

==Hali hiyo pia huweza kutokea kwa upande wa mwanaume, wengine wanaita rafiki wa "kushibana" hata jamaa akisafiri anamwambia nakuachia shemejio.!!==

Kuna rafiki mmoja wa kushibana alipoachiwa mji alinde C akaanza kutoa huduma zisizomhusu!!
 
Unajua niko curious kujua kilichowachekesha. EMT naona kauchuna.

Ni kwamba nimeongea pumba au?



I don't know kwa upande wa EMT.... Mimi kilichonifanya nicheke ni ile kwamba it was typical of Ngabu to have thot of both sides, yaani No upendeleo, na naona the way ulikua umeitumia kufunga the whole maelezo of your post! Ngabu I don't believe hua waongea pumba bana! lol
 
From your post yaonesha tupo pamoja kabisa in the initial decisions to make..... Analysis of my answer.... I am impressed! lol

Naangalia what I can neccessarily add hapo... BUT sioni.... Genuinely.... AND Aj... I am humbled from your whole acknowledgement.

... Great!! AND

That been said!!?

Nime note .. inaonekana kuchukua hatua kama hizo mapema ni kind of being over protective, luck of trust ...etc! Mimi siamini hivyo ... ! Kwa sababu ... They way watu wengi wanataka iachiwe un observed and not taken care ... Ni kwamba most of the time .. Inakuwa kwenye point of no return ..pale inapoonza kushughulikwa ... na wengi hata kama wanataka ..can not handle it in a right way ... to allow it to make them apart!! ... so ni bora kujilinda watu kuingia na kujikuta in that poor realtionship ... alafu kuanza processes ..ngumu ya kujirudi ..which always dot work out!!

Uwezo wa kuwa objective na ku overcome wrong emotions and feelings za mahusiano .... mhhh .. Bora partners wakasidiana not to let a parasite on their relation ..
 
Mwali..Mwali nimefuatia mtizamo wako!! hahh hh!

Kama nimekulewa vile..!? Lakini subiri...
... hebunieleze unaanzaje kuvunja mahusiano na shemeji yako ... ambye mlikuwa mmezoena ..lakini kama unavyosema ..sasa yameanza kubadilika ... Chukulia huyo shemji yako ndio Mimi ... Unaazaje kuvunja mahusiano na mimi, unaninunuia? ... Utaniita na kunieleza kwa sasa ...kunazia leo ...etc Utanikasirikia..kuonyesha kuwa unaweza kunipush away kwa hasira zako..etc.. Kumbuka wewe unaamini kuwa Hakuna alie kamilika ..Lol
Mwali hebu niweke mbali ...!!!
Hivi unadhani nitashindwa kukuweka mbali?
Kama mabadiliko yametokea kwangu,kwako au kwa rafiki yangu (mpenzi wako) siwezi kukwambia chochote, utaona tu nakua busy kuliko zamani, ukiniita kwa program fulani nakua siko tayari. hata kwa sim, ukinipigia nakwambia subiri, nakupigia sasa hivi alafu sipigi. Ila kama ni swala muhimu la kuhitaji msaada bado nakua avialable (siwezi kuweka hasira kabisa, hasira ya nini sasa wakati aiai marafiki?). Pia nakua mbali kidogo na rafiki yangu (mpenzi wako) hadi nitakapo hisi kua hali haina hatari tena.
 
Hivi unadhani nitashindwa kukuweka mbali?
Kama mabadiliko yametokea kwangu,kwako au kwa rafiki yangu (mpenzi wako) siwezi kukwambia chochote, utaona tu nakua busy kuliko zamani, ukiniita kwa program fulani nakua siko tayari. hata kwa sim, ukinipigia nakwambia subiri, nakupigia sasa hivi alafu sipigi. Ila kama ni swala muhimu la kuhitaji msaada bado nakua avialable (siwezi kuweka hasira kabisa, hasira ya nini sasa wakati aiai marafiki?). Pia nakua mbali kidogo na rafiki yangu (mpenzi wako) hadi nitakapo hisi kua hali haina hatari tena.

Inanifurahisha Kwa CONFIDENCE yako ya kuweza kuregulate distance na relations ... Baada ya Kusoma mabadiliko yasiyo healthy! ...Lakini kama unauwezo huu ... Mimi ningependekeza uutumie wakati wote ... na usianze kuutumia tu baada ya mambo kuanza kuharibika!

Kwa nini nashauri hivyo?

Nii kweli kuwa Kati ya watu kumi ... watakao weza ku distance baada ya signal kujitokeza ..ni kama 2 tu .. wengine hawatafanikiwa. kujirudi salama ...
 
Niliuliza tu kilichokuchekesha. Kutaka au kutotaka ukasirike ni irrelevant.

Ni the way ulivyoiweka hiyo sentensi tuu Mkuu. Kwamba it was short as a mini skirt but it covered the essential parts. Some writings are just interesting to read.
 
Ni the way ulivyoiweka hiyo sentensi tuu Mkuu. Kwamba it was short as a mini skirt but it covered the essential parts. Some writings are just interesting to read.

Nimekusoma kaka.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Pick your adjective...but bottom line is, it's stupid!

Mimi nina jamaa (acquaintance) ambaye hadi leo hii huwa ananisimulia akilala na mwanamke. Huwa hata siulizi. Anaanzaga mwenyewe tu. Na yuko kwenye mid-upper 30s. Huyo unaweza kweli ukasema yuko mature?

Maana kwangu hayo mambo ni ya shule ya msingi na labda sekondari hadi kwenye form 3 hivi. Akianzaga kunisimulia mimi huwa nasema 'ooh...'aisee'...'duuuh' n.k. Huwa namchora tu halafu kichwani najisemea huyu jamaa kweli bado hajakua! Wengine tulishakua tukayaacha hayo!

Labda anajua unapenda kusikiliza ndio maana anaendelea.
 
Nashukuru kwa ujumbee maana unaweza mwajiri chui kulinda zizini la mbuzi bila kujua mbuzi ni chakula cha chui
 
Labda anajua unapenda kusikiliza ndio maana anaendelea.

Kwa kweli sijali either way. Ni kwamba tu hajajishtukia kuwa anachofanya kinamchoresha yeye zaidi kuliko hata hao awaongeleao.

Mtu muelewa angekuwa keshanisoma zamani. Unapomuambia mtu kitu halafu aishie kusema 'ooh'..'aisee'....'daaah'...'hmmm'....ujue kuna walakini hapo.
 
Japo hayajanikuta mtu anaefikia hatua hiyo huwezi kumuita rafiki, wala huyo mwanamke/mwanaume wako anaeruhusu au hata kuinitiate hayo mazingira sio mpenzi wa maana.

Kuna mabinti wawili nawafahamu walikua wanapendana kweli, so they said. Mpaka mmoja alipoanza kumtumia mpenzi wa mwenzake msg za "fulani hata hakupendi, ana watu wengine sehemu fulani, aliyokua anakufanyia si kitu. Nipe mimi hiyo nafasi nikuonyeshe mapenzi" ndo wakagundua urafiki wao haukua urafiki after all. Watu kama hawa ukishawagundua ni kiasi cha kuwapotezea tu.
 
Kwa kweli sijali either way. Ni kwamba tu hajajishtukia kuwa anachofanya kinamchoresha yeye zaidi kuliko hata hao awaongeleao.

Mtu muelewa angekuwa keshanisoma zamani. Unapomuambia mtu kitu halafu aishie kusema 'ooh'..'aisee'....'daaah'...'hmmm'....ujue kuna walakini hapo.
Hehehe mwenyewe utakuta anajua ukifanya hivyo midadi inakupanda. Kama hupendi jaribu kubadili story mambo ya mke wake arudishe kwa mke wake.
 
thanks AD kwa kuleta hii sread ,sijui nimeshachelewa au bado nitakuwa ndani ya muda?naona karibi kila kitu kimezungumziwa ila mimi ningependa kuongezea hapo kuwa hii kitu ni km kuchekea nyani shambani mwishowe unavuna mabua ati....ila mm najua most of the time yule role model wa hao marafiki ndo huwa wenzake wanataka kuonja anapata nn....
 
AshaDii asante kwa uzi mzuri mambo ya mapenzi ni magumu sana wengine tulishaamua kunyoosha mikono juu maana yamezidi kichwa..................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom