IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

Karibu mpenzi..naona umerudi sasa rasmi...lakn naona una majonzi ya whitney..pole.


Asante Dearest.... ni kweli nimerudi na nashukuru am good. Kifo cha mwanadada/mama whateva... kimeniuma... Nilikua nampenda mno! Ngoja nikupigie simu nikuimbie walau wimbo mmoja.....
 
Asante Dearest.... ni kweli nimerudi na nashukuru am good. Kifo cha mwanadada/mama whateva... kimeniuma... Nilikua nampenda mno! Ngoja nikupigie simu nikuimbie walau wimbo mmoja.....

Halafu ni maji ndo yamemuua...yani kweli inasikitisha lakn ni mambo ya Mungu...am waiting for the song....
 
Halafu ni maji ndo yamemuua...yani kweli inasikitisha lakn ni mambo ya Mungu...am waiting for the song....


Kifo chake kimesikitisha... hata hivo maisha yake mie naona yalikua yanaelekea kubaya as time goes on.... Haya maisha only The Lord knows of our demise kwa kweli.... Wimbo nitakupa "where do broken hearts go?" a wonderful heart breaking song to give you hope in Love hata kama huna wa uhakika....
 
Kifo chake kimesikitisha... hata hivo maisha yake mie naona yalikua yanaelekea kubaya as time goes on.... Haya maisha only The Lord knows of our demise kwa kweli.... Wimbo nitakupa "where do broken hearts go?" a wonderful heart breaking song to give you hope in Love hata kama huna wa uhakika....
Lakni si walisema alibadilika(i mean aliaacha drugs???????)...
Asante kwa hilo songi lakn hapo kwenye red usije kuwa una-refer shemejio...
 
Lakni si walisema alibadilika(i mean aliaacha drugs???????)...
Asante kwa hilo songi lakn hapo kwenye red usije kuwa una-refer shemejio...


Hapana dear... alijaribu saana kuacha but it seems kila alipoacha ali lapse... Hapa juzi kati ali brag hadharani kua she has been liquor and drug free since 2013?? Imagine.... Yule shemeji yangu najua kua dawa yake ni ndogo tu... wewe uje tutete... saizi nasikia kakuletea second wife Kongosho....
 
duh hapo inatakiwa kuangalia ni aina gani ya rafiki unaweza kumtambulisha mpenzi wako mana watu wengi sio waaminifu, na pia hutakiwi kumsifia sna mpenzi wako mara kwa mara mbele ya marafiki zako hapo ndo unawapa hisia za kutmtamani kama ukizingatia ye hapati hayo kwa mpenzi wake
 
Hapana dear... alijaribu saana kuacha but it seems kila alipoacha ali lapse... Hapa juzi kati ali brag hadharani kua she has been liquor and drug free since 2013?? Imagine.... Yule shemeji yangu najua kua dawa yake ni ndogo tu... wewe uje tutete... saizi nasikia kakuletea second wife Kongosho....

Hee! makubwa tena.vipi tena na wajukuu???lakn niachie mwenyewe tu namuweza...nitarevenge atashangaa.
 
This is the best by Asha D,

thnx dada, umenigusa. You may not believe ila kupitia kwenye uzi huu nimepata nondo za kutosha za kufanyia kazi, kuna mambo yalikuwa yananitatiza but now I know what I'm supposed to do!
 
kwa ujumla mazoea na urafiki na mtu wa oposit sex wakati una mpenz wako ni balaa, utajastukia umechongewa mzinga unapakuliwa asali, na wewe huko tayar kuacha.
 
useful thread indeed

kiashiria kikubwa zaidi ni pretend.... mara sinywi, mara nakunywa, mara siendi pale, mara naenda, sijaongea nae mara nimneongea nae etc.

lack of consistency
 
nadhani wanawake kama kuna kaugonjwa hv.wasichana wengi sana wanapenda sana wapenzi wa marafiki zao.sijui ni wivu sijui ni labda unavomuhadithia mazuri ya mpenzi wako na yeye anatamani kufaidi kiukweli i dont know why?
Mi mi personaly siku moja nilikuwa na rafiki yangu wa kiume ni class mate since o level hadi college ni rafiki yangu sana sana yupo na mwenzake wa kiume pia huyo mmoja tumezoeana zaidi na huwa ananiita mpenzi kiutani lakini basi huyo rafiki yangu anakaa urusi alikuwa amekuja holiday siku moja wkend akaanza kumsumbua mkaka amtoe out basi yule akanipitia kama kawa akaniambia na rafiki yako amesema tumpitie basi alikuwa na noah mi nilikuwa nimechoka nipo nyuma alivokuja paleyule mdada akamshika yule mkaka akaanza denda sijui mnaita kijana anajitaidi kumtoa cause si nilikuwa nyuma pale nawatch movie.............................. Nakuja

sasa ndo nini hivyo hadithi njoo, uwongo njoo, utamu kolea ndo ushakolea..........rudi bhana
 
Back
Top Bottom