Introverts Vs Relationship

Wakitaka kuanza mahusiano inawawia vigumu sana kuchukua hatua ya kwanza hasa kwenye kutongoza ni midomo zege!,Ni watu wenye hofu kuichukua hatua yoyote ile bila kuona usahihi wa yeye kuichukua hatua husika! Ni logics people so kufikia maamuzi kitu kimepangwa kikapangika!.

Wanakuwa disappointed ama wao wenyewe au watu waliomzunguka kutokana na ugumu walionaokuichukua hatua hiyo wengine huwaona kama si binadamu aliekamilika so husemwa vibaya sometime na yakimfikia hujisikia hovyo na huenda akaacha jambo husika.

Tabia pia za mhusika huenda zikamkwaza asichukue hatua ya kuamua kuingia kwenye mahusiano!

Let's say yeye ni mpole ila anatokea kumpenda mtu mwenye gubu,kukurukakara aisee hawapendi hivi.. wao wanapenda utulivu na maelewano.

Kutokuwa karibu na watu huwaleteleza kuwa na aibu,kutokujiamini mbele ya watu hasa jinsia iliyotofauti nae so hayo yanaweza mpatia ugumu ktk kutongoza n.k

Mkuu moja ya usuruhishi wa tatizo ni kulitambua tatizo introvert husubiri mahusiano ila pindi yafikapo huruka mbali😅

Akiweza tambua kuwa ili kupata ushirikiano na watu na kujiongezea kujiamini ni lazima ashiriki na watu hili litamfanya awazoee watu,maana kwanza introvert wana akili nyepesi ya kutambua na pia inaweza mrahisishia kupata mwenza humohumo kutokana na mazoea n.k

Nadedaga Lolo😂😅
mbn kama unanisema mimi
 
Mimi mwenyewe huwa nasubiri ikate.
Tena huwa situmi sms muda huo huo maana nahofia itapigwa Tena...

Huwa naunga kifurushi naishia kutumia MBs tu,nikitumia dakika basi nimewapigia wazazi.
Kwa sasa Niko nyumbani dk zangu huwa zinaisha tu muda wake situmii hata sekunde.

Kuna messages hizi za kuchat chat tu huwa sijibu..labda mtu awe na shida..lakini story,sijui umbea a wapi.
Hadi Sasa simu yangu Ina normal text Kama Mia,za kuforwardiwa na nyingine za Mambo
Nikivuta pale juu nikaona ya kuforward hata sigangaiki kufungua.
Nina mwezi mzima sijazifungua labda nitajaribu kuzijibu weekend ijayo

Sent using Jamii Forums mobile app
hat mm kuna muda nazipa tym kuzisoma na kujibu nkishaona na kuelewa content

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am introvert and proud to be there...father and mother before me are introvert too (though am not sure law of inheritance apply here)....yaani hata tukiwa bar utaona meza zima wanaongea but not me...na hata nikilewa sio muongeaji ni muziki na kulala...dating extroverted one ni ngumu alwayz they think we fake ..they will wrong u and u reply normal like nothing happened (nice guy) we are th complication to them.. promise myself gonna marry fellow introvert but i know how hard it can be kuanzia kumpata hadi kumkeep

Sent using Jamii Forums mobile app
True, wanashangaa hau respond kama wanvyo expect, hard to cheat cc. Wazito kutongoza n ths mks them think we fake true. Na wengine huwa bored n ss kuwa nice guy, some women want mikiki hata km ukiowa extrovert anaweza expect makofi akikuznguwa ila anashangaa politeness

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuongozana na mtu wa kusimama simama njiani walahi atanikutia nyumbani.

Ndio maana huwa sipendi kutembea tembea,na nikiwa na shida sehemu basi niende mwenyewe chap nirudi.
Ni juzi tu hapa nyumbani wamenilazimisha niende nao sokoni maana tangu nije hata sokoni sikujui..niliwaacha njiani maana walikuwa na vituo vingivingi

Hata shule nilikuwa nikitoka lecture, Mimi ni mwendo,maswala ya kusubiriana sijui kufwatana nilishayashindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Used to go solo tu, raha. No explanations needed to anyone. Ts y I sometimes loved to go out alone. My blth music bx, some beers to the shore. Jst loved tht vibe, na sishuki kweny gari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me wakat nipo home walikuwa wananiwekea vikao, kuwa naishi kama nimepanga. Eti znapita ckutatu naweza nisionane na wanafamilia. Ni chumban full time wanagonga wanaita "mzee, salama huko? "

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi ikifika jioni mama huwa anakuja kunitoa chumbani ananiambia niende nikae japo sebuleni.
Halafu Mimi huwa nakuwa comfortable tu kukaa room siku nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahali niliwahi kuishi kwa miezi mitano, tunapishana na watu ndani ya nyumba lakini kamwe hawakuwahi kujua jina langu mpaka naondoka!

Walikuwa wananiita tu "we kaka". Baada ya hapo nayeyuka kama barafu! Kimyaaaa kama nimekufa!

Nilikuwa nanunua mavyakula ya kusindika na kukausha naweza kukaa ndani hata wiki mbili watu wasinione!

Nadhani nilivyoondoka walihisi mimi ni jini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahali niliwahi kuishi kwa miezi mitano, tunapishana na watu ndani ya nyumba lakini kamwe hawakuwahi kujua jina langu mpaka naondoka!

Walikuwa wananiita tu "we kaka". Baada ya hapo nayeyuka kama barafu! Kimyaaaa kama nimekufa!

Nilikuwa nanunua mavyakula ya kusindika na kukausha naweza kukaa ndani hata wiki mbili watu wasinione!

Nadhani nilivyoondoka walihisi mimi ni jini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ati walihisi wewe Ni jini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutifuana kivipi wakati hatutaki shida? si unapotezea ukiona huwezi vumilia? Binafsi naona wanaume ambao sio intro wanapata tabu sana kwa kuwa driven na wanawake na kulia lia kila mda na ndo hao wanajinyonga lakini sio sisi intros,yaani mwanamke anikosee afu nimbembeleze? haijawah tokea..hata tabia za kubembelezana na kudeka deka hatupendi kabisa
Sehemu nayoishi mm huwa wananiogopa maana mm ni salamu miendo/ndani sina stor sijui na wanawake au washkaji wa hovyo hovyo hapana,tuko selective na marafiki mara nyingi wanakuwa very few
Aina hii ya maisha imeniepusha na ugomvi na mabalaa mengi wanayopata watu wanaopenda kuchangamana,kugombana kwao ni nje nje nk nk
Kabisa, mm hata utoton walijua nisipo kwepo home. Wananikuta kwa nani, hadi siku mshuwa kafariki wanakuja nichkuwa kwa rafki yangu nierudi home when I was 12 walikuja straight na nlikuwa siagagi, house boy akasema yani mm najua wapi unakwepo hata usipoaga. Na hadi let ofsin niko close na wachache but story na weng nlowazoea, home alikuwa mmoja ila sahz na yy nmekata hadi kashazoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Introverts kundi la phlegmatic ni wakimya mno na huwezi kujua kama wamekasirika au wamefurahi . Wanaweza kuwa wananyanyasika bila kusema . Kwa kifupi they are too dull .

Introverts kundi la melancholics siyo waongeaji lakini unaweza kuwatazama usoni ukajua kiwango chake cha furaha au hasira . Mara nyingi ni kundi la watu wanaolenga kwenye ukamilifu ( perfectionists ) , sasa changamoto ni kwamba hakuna mtu asiyekuosea ; nd'o maana wakikosea wao hawawezi kujisamehe na akikosea mwenzie hawezi kusamehe , kwa hiyo ni watu complicated ingawa ukiwaelewa huwa ni wakarimu mno na ni waaminifu na wenye vipaji vikubwa vya akili , utunzi na uvumbuzi .

Naomba kuwasilisha .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ni Introvert Sanguine, unaweza kuimagine nafananaje. Vile ninavyoshindwa mkusanyo wa watu ndivyo ninavyoweza kuwa entertainer.
Kitu watu hawajui ni kuwa Siwezi himili physical mkusanyiko kabiiiiisa, digital hivi niko poa kabisa! Hata muwe 100 at per.
Nina marafiki lukuki kimtandao, kila ikitakiwa tuonane mimi nakwepa kabisa
Sijawahi enda disco
Siendi harusi, matamasha haya ya wanawake, sijui kongamano la kidini, kitchen[arty wala sherehe , siwezi tuu!
Naweza kuwa likizo siku 28, na zote nikazimaliza nikiwa ndani!
Ninaandika mno kuliko kuongea.
Napenda watu wakiwa mbali sio wanisogelee!

Nina kajina jina huko mtandaoni, watu huamini mi ni mtu wa watuuuuuuuu vile naaandika sana na kuinteract nao kimaandishi!
Najijua ni Rafiki ninayebore usiponizoea!
Sioni shida kabisa kukaa thearte peke yangu naangalia movie hata mbili mfululizo peke yangu!
na sioni upweke kabiiiisa!
Nyumbani kwangu tunakaa mimi, mume wangu, dada na watoto.
Vile huandika sana, naaminika ni muongeaji sana.
Kitu sicho kabisa, Inasumbua mno!
Shuleni huko nilikuwa nasingiziwa vitu mpk dah!
 
Back
Top Bottom