smart introvert
Member
- Feb 15, 2013
- 64
- 109
Habari zenu wadau? Poleni na mihangaiko na vita vya Corona.
Ninakuja mbele zenu kuomba kujua kuna changamoto gani ambazo watu wa ndani ( introverts) wanazipata wakitaka kuanza mahusiano na jinsi gani wanaweza kuzishinda ukizingatia personality yao inawafanye wawe waoga kiunteract na watu wengine.
Nawasilisha !
Sent using Samsung Galaxy A7 (2018)
Ninakuja mbele zenu kuomba kujua kuna changamoto gani ambazo watu wa ndani ( introverts) wanazipata wakitaka kuanza mahusiano na jinsi gani wanaweza kuzishinda ukizingatia personality yao inawafanye wawe waoga kiunteract na watu wengine.
Nawasilisha !
Sent using Samsung Galaxy A7 (2018)