Tea Party
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 523
- 1,140
amesema domozege
😂😂😂Daaa itabidi tubadilike kwakweli.
amesema domozege
Sijui kwanini tupo hivyo, nyumbani nilihakikisha chumba changu kina kila kitu, meza ya PC, TV, DVD, PS3, sometimes even drinks and snacks, siku sina mishe naweza hata kibarazani nisifike. Watu wakija niulzia mwanzo walkuwa wanaambiwa sipo, walivyonzoea wakawa wanakuja niambia kama nina mgeni au la. Shule, watu wakitoka naweza kuwa was mwisho au naenda ila nawahi kurudi nakuwa class muda mrefu. Nna rafiki yangu mmojaalikuwa anantania usipende kukaa peke yako peke yako utajinyinga bure.
ila kuna muda tukijichanganya tunawazoea wachache na huwezi jua kama ni wakimya hivyo. Wacheshi pia, na tuko na ujinga mwingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
bahati mbaya sikuona hii quote mapema. Nadhani wengi humu wanachanganya shyness au lack of confidence na kua introvert. Ninavyofahamu mimi introverts hawapendi kusocialize iwe kwa maneno au kwa maandishi. Kama huwezi kuongea mbele ya watu ila unapenda kuchat, wewe sio introvert bali ni mtu mwenye aibu!Wewe unaelewaje mtu akisema introverts,unawatambuaje kwa sifa zao? Tuanzie hapo labda tutaenda sawa ila tambua tofauti ya introvert vs shyness
Kwa kweliDaaa itabidi tubadilike kwakweli.
He he! Ukizoea utaona hakuna uroboti wowote ni mbwembwe tu nasisi tuonekane tishio!😂😂😂😂Ila nyie mnazingua..mpo serious Kama marobot
Hivi unaweza kukosa confidence hadi kwa wanafamilia kweli?mi nadhani wengi wenu humu sio introverts. You guys are just not confident!
HAPANA sio kweli rudi kasome vizuri tenabahati mbaya sikuona hii quote mapema. Nadhani wengi humu wanachanganya shyness au lack of confidence na kua introvert. Ninavyofahamu mimi introverts hawapendi kusocialize iwe kwa maneno au kwa maandishi. Kama huwezi kuongea mbele ya watu ila unapenda kuchat, wewe sio introvert bali ni mtu mwenye aibu!
Nashindwa kuweka link mkuu ila uzi wenyewe Ni huo.Aisee nahitaji kusoma huo uzi... Kwa hisani yako mkuu kama una link
nieleze hapa huo ukweli nijifunze.HAPANA sio kweli rudi kasome vizuri tena
inawezekana kwa sababu fulani fulani. Mpaka umri huu, nimekutana na introvert mmoja tu. Pia nimekutana na watu kadhaa wenye aibu na low confidence hahaa!
Nashindwa kuweka link mkuu ila uzi wenyewe Ni huo.
Jaribu kuutafuta au fungua replies zangu nimeureply muda mfupi uliopitaView attachment 1425542
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Mimi ni mkimya sana lakini nina confidence ya ajabu na sijawahi kushindwa kuzungumza kwenye kadamnasi!
Na nikizungumza kila mtu anashika mdomo kwa mshangao maana hawakutarajia!
People say i look weird and intimidating! They say i behave and talk like a robot!
I might look stupid and dumb. BUT HELL NO, I AIN'T ONE!
I am not bragging, but surely i outsmart a quite big number of folks out there!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni introvert nikiwa kwenye kundi la watu lakin nikiwa na baby nakuwa waKivipi mimi ni kutoka kwa mtazamo wangu
Yaani unadate na mtu hapendi kusocialize, outing hataki ,
Itabidi umuelewe na kumchukulia hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
bahati mbaya sikuona hii quote mapema. Nadhani wengi humu wanachanganya shyness au lack of confidence na kua introvert. Ninavyofahamu mimi introverts hawapendi kusocialize iwe kwa maneno au kwa maandishi. Kama huwezi kuongea mbele ya watu ila unapenda kuchat, wewe sio introvert bali ni mtu mwenye aibu!

View attachment Quiet_ The Power of Introverts in a World That Can't Stop Talking ( PDFDrive.com ).pdfnieleze hapa huo ukweli nijifunze.
Sidhani mkuuinawezekana kwa sababu fulani fulani. Mpaka umri huu, nimekutana na introvert mmoja tu. Pia nimekutana na watu kadhaa wenye aibu na low confidence hahaa!
Hapana. Mimi ni mkimya sana lakini nina confidence ya ajabu na sijawahi kushindwa kuzungumza kwenye kadamnasi!
Na nikizungumza kila mtu anashika mdomo kwa mshangao maana hawakutarajia!
People say i look weird and intimidating! They say i behave and talk like a robot!
I might look stupid and dumb. BUT HELL NO, I AIN'T ONE!
I am not bragging, but surely i outsmart a quite big number of folks out there!
Sent using Jamii Forums mobile app


huyu ndio King Zilla. I like you....nadhani nilishakuambiaga hiliUnakuwa extrovert na baby wako ?Mimi ni introvert nikiwa kwenye kundi la watu lakin nikiwa na baby nakuwa wa
Seek respect, not attention. It lasts longer