Ni baraka kwa introvert kujifahamu kuwa ni introvert na kuamua kuutumia uintrovert wake kwa manufaa!

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
Introvert wa JF mpoo! Unafahamu thamani ya uintrovert wako?

Kuwa introvert si ugonjwa. Nibaraka, lakini ukijitambua na kujikubali. Vinginevyo, unaweza ukawa sawa na mtu anayetaka kubadilishana kilo kumi za dhahabu kwa kuku kumi wa mayai! Hasara iliyoje!

Jamii yetu, kwa kutokufahamu, wamekuwa wakiwalaumu introvert kwa kutokuwa extrovert. Kuna wanaofikiria wana viburi,, wengine wanafikiri ni waoga, wengine wanawaona kama ni watu wanaojisikia, n.k. Hawajui kuwa wao ndiyo "wajinga", kwa kushindwa kujua utofauti wa maintrovert an extrovert.

Mungu, kwa nia njema kabisa, kaona vyema watu wawe na "personality" tofauti. Wewe unafikiri ingekuwaje kama dunia nzima ingekuwa ni ya maextrovert pekee? Au unafikiri ingekuwaje kama watu wote wangekuwa ni maintrovert?

Kama ambavyo Mungu kaamua kututofautisha, tuzikubali hizo tofauti na tuzitumie kwa manufaa. Wazazi wenye watoto maintrovert waache kuwalazamisha kuwa extrovert, badala yake wawasaidie kuvuna manufaa ya kuwa introvert.

Kwa wasiofahamu, kuwa introvert si ugonjwa. Ni namna ubongo unavyochakata taarifa zinazotumwa kwake. Kwamba, kiwango cha "dopamine" na muundo wa "dopamine receptors" kwenye ubongo ndiyo humtofautisha Introvert na Extrovert.

Tafiti za Kisayansi zinaonesha kuwa mtu anaweza kubainika kama ni introvert au extrovert akiwa na umri wa kuanzia miezi minne.

Kwa wasiojua, hizi ni baadhi ya tabia za Introverts:

~ Wakiamya

~ Wanapenda mazingira ya kuwa peke yao - hawafurahii mazingira ya mchanganyikeni

~ Wanapenda mazingira ya ukimya

~ Hufikiri kabla ya kuongea

~ Wana kawaida ya kuwa na marafiki wachache

~ Ni wasiri sana, n.k. (wengine wataongezea).

Baadhi ya watu maarufu ambao ni Introverts:
1. Warren Buffett
2. Mark Zuckerberg
3. Bill Gates
4. Steve Wozniak
5. Larry Page
6. Michael Jordan
7. Elon Musk
8. Charles Darwin
9. Mahtma Gandhi
10. Al Gore
11. Sir Isaac Newton
12. Rosa Parks
13. Eleanor Roosevelt
14. Abraham Lincoln
15. Barack Obama
16. Marissa Mayer
17. Guy Kuwasaki
18. Hilary Clinton
19.Michael Jackson
20. Brenda Barnes, e.t.c.

Nafikiri, na hawa Watanzania nao ni introvert: Dr. Mohammed Gharib Bilal, Dr. Ally Mohammed Shein, Dr. Philip Mpango, n.k.

Introvert, umebarikiwa kuwa introvert! Usitamani kuwa extrovert!

Extrovert, hakuna hasara kuwa Extrovert! Usiigize kuwa introvert!

Kila mmoja akae kwenye nafasi yake!!!
 
Duuh kwaiyo matajiri wote ni Introvert!
Siyo wote!
Kuna matajiri maintrovert!

Kuna matajiri maextrovert!

Na ukija kwenye suala la kibiashara, introvert na extrovert wanahitajiana sana.

Wanashauri, kama wewe ni "mbunifu", mtafute extrovert akufanyie marketing ya bidhaa zako.

Wewe kazi yako itakuwa ni kufikiri, kuweka mikakati halafu yeye extrovert atazifikisha kwa wateja.
 
Duuh kwaiyo matajiri wote ni Introvert!
Siyo wote!
Kuna matajiri maintrovert!

Kuna matajiri maextrovert!

Na ukija kwenye suala la kibiashara, introvert na extrovert wanahitajiana sana.

Wanashauri, kama wewe ni "mbunifu", mtafute extrovert akufanyie marketing ya bidhaa zako.

Wewe kazi yako itakuwa ni kufikiri, kuweka mikakati halafu yeye extrovert atazifikisha kwa wateja.
 
Introvet raha sana. Unapiga zako gambe unatulia. Pia unapata muda wa kuwazua mambo, siku hizi nimejifunza kitu nikiwa na jambo gumu nalipa muda nakaa ata siku tatu silifikirii.

Kumbe akili inaliwazua bila mimi kujua mwisho wa siku nashangaa nakuja na solution ya ajabu sana kila mtu anabaki mdomo wazi.

Napenda usiri japo siku hizi nimeiba tabia za extrovet najichanganya na kusalimia kila mtu maeneo ya kazi but baada ya hapo napotea kujichimbia kwa computer. Kuna muda nahisi siko introvet 100%. Sababu pia naweza kudanganya sana ila kwa kutumia akili, natabia ya wasiwasi sipendi kuacha alama kwenye harakati zangu.

Napenda kutumia majina bandia sitaki mtu ajue jina langu halisi na hii ni tokea nikiwa sekondari mpaka sasa wanaojua jina langu halisi ni wachache. Miaka ya hivi karibuni ndio nimeanza tena kutumia jina langu halisi baada ya kuhama mazingira. Inshort kila mtaa niliokaa nilitumia jina tofauti.....NB: SIJAWAHI KUTAPELI WALA KUIBA CHA MTU ILIKUWA NASIKIA FURAHA TU KUWA MTU BANDIA

Nakipaji cha kuandika na kuchakata maneno, naweza kusoma matamshi ya sauti ya mtu na kujua hatua itakayofuata. Naweza kuonana na mtu kwa dakika chache nikaandika historia yake kwa usahihi 70% na kuweza kubashiri kesho yake kwa 60%.
 
Introvert wa JF mpoo! Unafahamu thamani ya uintrovert wako?

Kuwa introvert si ugonjwa. Nibaraka, lakini ukijitambua na kujikubali. Vinginevyo, unaweza ukawa sawa na mtu anayetaka kubadilishana kilo kumi za dhahabu kwa kuku kumi wa mayai! Hasara iliyoje!

Jamii yetu, kwa kutokufahamu, wamekuwa wakiwalaumu introvert kwa kutokuwa extrovert. Kuna wanaofikiria wana viburi,, wengine wanafikiri ni waoga, wengine wanawaona kama ni watu wanaojisikia, n.k. Hawajui kuwa wao ndiyo "wajinga", kwa kushindwa kujua utofauti wa maintrovert an extrovert.

Mungu, kwa nia njema kabisa, kaona vyema watu wawe na "personality" tofauti. Wewe unafikiri ingekuwaje kama dunia nzima ingekuwa ni ya maextrovert pekee? Au unafikiri ingekuwaje kama watu wote wangekuwa ni maintrovert?

Kama ambavyo Mungu kaamua kututofautisha, tuzikubali hizo tofauti na tuzitumie kwa manufaa. Wazazi wenye watoto maintrovert waache kuwalazamisha kuwa extrovert, badala yake wawasaidie kuvuna manufaa ya kuwa introvert.

Kwa wasiofahamu, kuwa introvert si ugonjwa. Ni namna ubongo unavyochakata taarifa zinazotumwa kwake. Kwamba, kiwango cha "dopamine" na muundo wa "dopamine receptors" kwenye ubongo ndiyo humtofautisha Introvert na Extrovert.

Tafiti za Kisayansi zinaonesha kuwa mtu anaweza kubainika kama ni introvert au extrovert akiwa na umri wa kuanzia miezi minne.

Kwa wasiojua, hizi ni baadhi ya tabia za Introverts:

~ Wakiamya

~ Wanapenda mazingira ya kuwa peke yao - hawafurahii mazingira ya mchanganyikeni

~ Wanapenda mazingira ya ukimya

~ Hufikiri kabla ya kuongea

~ Wana kawaida ya kuwa na marafiki wachache

~ Ni wasiri sana, n.k. (wengine wataongezea).

Baadhi ya watu maarufu ambao ni Introverts:
1. Warren Buffett
2. Mark Zuckerberg
3. Bill Gates
4. Steve Wozniak
5. Larry Page
6. Michael Jordan
7. Elon Musk
8. Charles Darwin
9. Mahtma Gandhi
10. Al Gore
11. Sir Isaac Newton
12. Rosa Parks
13. Eleanor Roosevelt
14. Abraham Lincoln
15. Barack Obama
16. Marissa Mayer
17. Guy Kuwasaki
18. Hilary Clinton
19.Michael Jackson
20. Brenda Barnes, e.t.c.

Nafikiri, na hawa Watanzania nao ni introvert: Dr. Mohammed Gharib Bilal, Dr. Ally Mohammed Shein, Dr. Philip Mpango, n.k.

Introvert, umebarikiwa kuwa introvert! Usitamani kuwa extrovert!

Extrovert, hakuna hasara kuwa Extrovert! Usiigize kuwa introvert!

Kila mmoja akae kwenye nafasi yake!!!
elon must sio introvert. hebu mwondoe.
 
Introvet raha sana. Unapiga zako gambe unatulia. Pia unapata muda wa kuwazua mambo, siku hizi nimejifunza kitu nikiwa na jambo gumu nalipa muda nakaa ata siku tatu silifikirii.

Kumbe akili inaliwazua bila mimi kujua mwisho wa siku nashangaa nakuja na solution ya ajabu sana kila mtu anabaki mdomo wazi.

Napenda usiri japo siku hizi nimeiba tabia za extrovet najichanganya na kusalimia kila mtu maeneo ya kazi but baada ya hapo napotea kujichimbia kwa computer. Kuna muda nahisi siko introvet 100%. Sababu pia naweza kudanganya sana ila kwa kutumia akili, natabia ya wasiwasi sipendi kuacha alama kwenye harakati zangu.

Napenda kutumia majina bandia sitaki mtu ajue jina langu halisi na hii ni tokea nikiwa sekondari mpaka sasa wanaojua jina langu halisi ni wachache. Miaka ya hivi karibuni ndio nimeanza tena kutumia jina langu halisi baada ya kuhama mazingira. Inshort kila mtaa niliokaa nilitumia jina tofauti.....NB: SIJAWAHI KUTAPELI WALA KUIBA CHA MTU ILIKUWA NASIKIA FURAHA TU KUWA MTU BANDIA

Nakipaji cha kuandika na kuchakata maneno, naweza kusoma matamshi ya sauti ya mtu na kujua hatua itakayofuata. Naweza kuonana na mtu kwa dakika chache nikaandika historia yake kwa usahihi 70% na kuweza kubashiri kesho yake kwa 60%.
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom