verses fountain
Senior Member
- Sep 30, 2018
- 155
- 191
Same to me huwa wanasema nipo serious sana na ni kweli sinaga stori sana na watu nsiowafahamu na swagga zangu ni salamu mwisho.marafiki wachache pia hata mtaani huwa sifagilii kuonekana sana sio kwamba najitenga ila ndvo nilivyo naweza kaa mtaa mwezi mzima mpaka siku naondoka ndo nakutana na masela wa mtaa wakidhani ndo nimerud mtaa kumbe ndo naondokaKutifuana kivipi wakati hatutaki shida? si unapotezea ukiona huwezi vumilia? Binafsi naona wanaume ambao sio intro wanapata tabu sana kwa kuwa driven na wanawake na kulia lia kila mda na ndo hao wanajinyonga lakini sio sisi intros,yaani mwanamke anikosee afu nimbembeleze? haijawah tokea..hata tabia za kubembelezana na kudeka deka hatupendi kabisa
Sehemu nayoishi mm huwa wananiogopa maana mm ni salamu miendo/ndani sina stor sijui na wanawake au washkaji wa hovyo hovyo hapana,tuko selective na marafiki mara nyingi wanakuwa very few
Aina hii ya maisha imeniepusha na ugomvi na mabalaa mengi wanayopata watu wanaopenda kuchangamana,kugombana kwao ni nje nje nk nk