KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,755
- 86,393
Sawa babu..Marhaba kijana,am not babu mm ni baba now
Sawa babu..Marhaba kijana,am not babu mm ni baba now
Ooh kumbeMimi ni introvert ila ukinizingua nageuka kuwa enxtrovert
Pia sipendi ku date na introvert
Seek respect, not attention. It lasts longer
Na kwa taarifa yako ,we dont care alot kwenye mahusiano,we can enjoy on our own life style.Uache au usiache utajua mwenyew,mfano mm huwa namwambia mke wangu asitegemee kufanya vituko eti akasepa kwao mm nitamfuata kumbembeleza,never na ukienda usitegemee utaomba msamaha utapokelewa haipo hiyo,likewise kwenye madem wa siku zote hatujui kuweka kambi kwa mwanamke hiyo haipoSasa kama huyu niliye nae mpaka outing sehemu gani twende anapanga mpaka cha kuvaa na kula mi nitatoa hela tu yaani mimi ni mpenzi mtazamaji na ananijua napenda nin na nikichukia anajua so ni anajiongeza sana coz kuna muda nakuwaga kimya sijisikii kuongea na mtu atakuja atakaa anakuangalia tu mpaka utakapoona kama unamtesa hivi ndo unamwongelesha kidogo na kumtania hapo ndo umefungulia maongezi😁😁
ila introverts kuachika ni nje nje coz mawasiliano ni hafifu waweza msalimia mpenzi afu ndo ukaishia hapo baada ya salama mpaka kesho so unaonekana ka hueleweki hivi au haujali au uko selfish sana
Inner core ya hizo outings ni kutaka kujionesha kwa mashost nk sasa sie hatunaga hiyo life style,nijionyeshe ili iwaje,tuna kawaida ya kuficha character zetu na hatupendi sifa labda appreciation tuuKivipi mimi ni kutoka kwa mtazamo wangu
Yaani unadate na mtu hapendi kusocialize, outing hataki ,
Itabidi umuelewe na kumchukulia hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unawezaje kumtambua huyu mtu ni introvert au ni Extrovert ??.
[/QUOTE
Mbona simple tu mkuu ngoja nikutajie sifa zangu mimi ni introvert na kinyume cha sifa ntakazozitaja uyo ni extrovert
1.wakimya, hawapendi kuongea sana wanaongea kidogo kwa kudonoa
2.hawapendi kuchangamana na watu sana, watu uwaita antisocial
3.they are greater thinkers for example bill gates, mark zuckerburg, bob marley, celline dion
4.wanasumbuliwa na perfectionism
5.muda mwingi upata nguvu wanapokuwa peke yao na uishiwa nguvu wanapokuwa kwenye kundi la watu
Sio kujionesha yaani kwa marafikiInner core ya hizo outings ni kutaka kujionesha kwa mashost nk sasa sie hatunaga hiyo life style,nijionyeshe ili iwaje,tuna kawaida ya kuficha character zetu na hatupendi sifa labda appreciation tuu
Kutifuana kivipi wakati hatutaki shida? si unapotezea ukiona huwezi vumilia? Binafsi naona wanaume ambao sio intro wanapata tabu sana kwa kuwa driven na wanawake na kulia lia kila mda na ndo hao wanajinyonga lakini sio sisi intros,yaani mwanamke anikosee afu nimbembeleze? haijawah tokea..hata tabia za kubembelezana na kudeka deka hatupendi kabisaUtafute introvert mwenzio bila hivyo itakuwa ni mtifuano tu huko kwenye relationship
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mbishi ila anawaeleza ukweli ulivyoAisee sijaona mtu mbishi kama wewe ahahahah
Hizo fanyeni wenyew tukitoka out haina uhusiano na kwenda eti kwa marafiki kwani ndio maana ya out? Tena siku hizi smartphone zimekuja yaani mtandao ndio rafiki yetu mkuu kama hivi yaani..Sio kujionesha yaani kwa marafiki
Inafaa mara moja mnatoka out
Pole mkuu but mm nachojua ndoa kwetu ni kuzaa watoto ,mabo ya kutiana yatategemea saana mwanamke kama hakukwazi maana kama kuna mizozo hiyo mood huwa haipo kabisaa,maana mda mwingi unaona kama anakosea sasa kuweza kuchukulia hali hiyo huwa ngumu maana sifa kubwa ya akina sisi ni kutafuta perfections kitu ambacho ni kigumuMimi ni extremly introvert, nilioa extrovert ndoa ya miaka 8 haikudumu.
Wewe ndio hujui,ku socialize kwa live ndo huwa tabu,mitandao ya kijamii ni mizuri sana kwa intros,hujasikia hapo kwenye kuandika watu wako vizuri lakini kwenye kusimama public ndio tatizo?Introverts wa JF mnachekesha sana. Wengi wenu hamjui hata maana ya introverts. In short, introverts find it hard to socialize. Sasa unakuta mtu yuko humu JF as an active member anaeanzisha threads na kuchangia kwenye mijadala mbali mbali alafu bado anajiita introvert. Mnachekesha!
Aisee may be hujanielewa yaaniHizo fanyeni wenyew tukitoka out haina uhusiano na kwenda eti kwa marafiki kwani ndio maana ya out? Tena siku hizi smartphone zimekuja yaani mtandao ndio rafiki yetu mkuu kama hivi yaani..
Hata mm nimemkatalia ishu ya kutongoza haina uhusiano sana,personally kila siku natokea mwanamkeila muendelezo wake ndo huwa mgumu kwa maana focus yetu kubwa inakuwa kusoma tabia za mtuHizo mbili za mwisho nakubaliana la mini za kwanza hapana. Mimi ni introvert lakini mpaka sasa nimeshachakata K 170+
God save us
Tatizo binamu yangu amekariri definition. Enzi hilo neno linatafsiriwa hakukuwa na mitandao kama jamiiforums, ingekuwepo wakati huo bila shaka wangefafanuawewe ndo huwajui introverts sasa!
introverts wanaongea sana via words, introverts wapo social sana kwenye hii mitandao na wana uwezo mzur wakuji defend au kupresent mada kwa maandishi...
wanashindwa kusocilize ukikutana nao in person, lakin kama hiv jf unaona maandishi tu alafu na fake id apa ndo sehemu za introverts kujiachia akijua akuna anaemjua na akuna anaemuona


Njoo binamu unichangamshe kama utawezaNgoja niwapishe ndugu zangu ma introvert. Nisiwaharibie uzi wenu. Binamu Khantwe, wewe ni domo zege. Nitakufundisha kuchangamka hahaa.

usisahau kinywajiMfano mm mambo ya sherehe sijui sikuu mara birthday yaani sipendi,ukiomba mchango nitachangia na naweza nisihudhurie, kuangalia movie,ila ijadala ya kuumiza kichwa ndo nataka..hivyo hivyo mambo ya outings naona ni cheap things na unnecessary na bahati mbaya sinywi pombe wala spirits na sio mlokole wala mtu wa dini .Yaani mm humu jf ndio sehemu yangu na simu ni rafiki yangu mkubwa,mara kadhaa nazinguana na wife kisa niko na simu mda wote sipigi nae story maana story za kusimulia siweziAisee may be hujanielewa yaani
Nilisema kutoka na introvert ni kazi maana muda mwingine hapendi outing hizi au social gathering
Itabidi introvert atoke na mwenzie introvert
Inahitaji uvumilivu pia sijaongelea kuhusu marafiki hapa.
Napenda outing za couple tu na sio kujichanganya na watu
We ndo hauelewi unaambiwa sio waongeaji ni wakimya sana ila uexpress vitu vyao kwa kuandika.Introverts wa JF mnachekesha sana. Wengi wenu hamjui hata maana ya introverts. In short, introverts find it hard to socialize. Sasa unakuta mtu yuko humu JF as an active member anaeanzisha threads na kuchangia kwenye mijadala mbali mbali alafu bado anajiita introvert. Mnachekesha!
Mfano mm mambo ya sherehe sijui sikuu mara birthday yaani sipendi,ukiomba mchango nitachangia na naweza nisihudhurie, kuangalia movie,ila ijadala ya kuumiza kichwa ndo nataka..hivyo hivyo mambo ya outings naona ni cheap things na unnecessary na bahati mbaya sinywi pombe wala spirits na sio mlokole wala mtu wa dini .Yaani mm humu jf ndio sehemu yangu na simu ni rafiki yangu mkubwa,mara kadhaa nazinguana na wife kisa niko na simu mda wote sipigi nae story maana story za kusimulia siwezi
Real intro ni waoga wa kuumia so they defend themselves sooo much hii inaleta shida nyingi kwenye uhusiano.
They calculate the future soo much mpaka wanasahau kuiishi leo.
Wenyewe wameshasema kuwa ni introvert. Na wengi wao ni wenye aibu na wengine hawana aibu.Sio mbishi ila anawaeleza ukweli ulivyo