Introverts Vs Relationship

Unajua kuna ile mwanamke akishakukubalia mahusiano Kuna jinsi inabidi umpange, unataka aweje, mambo gani hutaki kwake, mambo gani ayazingatie, mambo gani awe makini nayo (hasa ujanja wa wanaume ili wasije kumlaghai kizembe) Sasa mm hizo mambo nilikuwa siwez kwa kuongea..nilikuwa nachapa bonge la mbarua, nilikuwa naandika nondo kali sn aisee na madem walikuwa wanaelewa na wanazingatia kwa kiasi kikubwa.

Njoo kwenye kuongea Sasa...
Hahahaha
Umefikia wapi sasaivi kwenye mahusiano mkuu
 
Mahusiano ya introvert yanadumu endapo atakuwa na ambaye ni muelewa sio lazma awe introvert mwenzake but aelewe tu kwamba jamaa yake haishi by the society standards bali kwa maamuzi yake. Mara nyingi introvert ni watu wenye misimamo mikali na hawaishi kwa kuwaridhisha watu bali wanaishi katika namna ambayo wanayoona ni sahii, Pia introvert ni mtu ambaye kukatisha mahusiano ni swala la dakika hawapendi kubembeleza mtu(Kama ni mwanamke umempenda mkaka ni introvert Yale mambo ya kubembelezwa ni vyema ukasahau kwa muda).

Faida ya kuwa na mahusiano na introvert mara nyingi introvert ni watu waaminifu, wana akili sana, hawana drama, siyo wafujaji wa mali/hela, Ni watu wasio na kauli chafu,Siyo wanafiki.
 
Unajua kuna ile mwanamke akishakukubalia mahusiano Kuna jinsi inabidi umpange, unataka aweje, mambo gani hutaki kwake, mambo gani ayazingatie, mambo gani awe makini nayo (hasa ujanja wa wanaume ili wasije kumlaghai kizembe) Sasa mm hizo mambo nilikuwa siwez kwa kuongea..nilikuwa nachapa bonge la mbarua, nilikuwa naandika nondo kali sn aisee na madem walikuwa wanaelewa na wanazingatia kwa kiasi kikubwa.

Njoo kwenye kuongea Sasa...
Kwahiyo bado unaandikaga barua mpaka leo?
 
Mahusiano ya introvert yanadumu endapo atakuwa na ambaye ni muelewa sio lazma awe introvert mwenzake but aelewe tu kwamba jamaa yake haishi by the society standards bali kwa maamuzi yake. Mara nyingi introvert ni watu wenye misimamo mikali na hawaishi kwa kuwaridhisha watu bali wanaishi katika namna ambayo wanayoona ni sahii, Pia introvert ni mtu ambaye kukatisha mahusiano ni swala la dakika hawapendi kubembeleza mtu(Kama ni mwanamke umempenda mkaka ni introvert Yale mambo ya kubembelezwa ni vyema ukasahau kwa muda).

Faida ya kuwa na mahusiano na introvert mara nyingi introvert ni watu waaminifu, wana akili sana, hawana drama, siyo wafujaji wa mali/hela, Ni watu wasio na kauli chafu,Siyo wanafiki.
Haloo umemuongelea baby wangu mtupu sa itakuwaje mi napenda kubembelezwa?
 
Kizibo kama kizibo
Unajua kuna ile mwanamke akishakukubalia mahusiano Kuna jinsi inabidi umpange, unataka aweje, mambo gani hutaki kwake, mambo gani ayazingatie, mambo gani awe makini nayo (hasa ujanja wa wanaume ili wasije kumlaghai kizembe) Sasa mm hizo mambo nilikuwa siwez kwa kuongea..nilikuwa nachapa bonge la mbarua, nilikuwa naandika nondo kali sn aisee na madem walikuwa wanaelewa na wanazingatia kwa kiasi kikubwa.

Njoo kwenye kuongea Sasa...
 
Introvert anabidi ampate extrovert ili amsaidie kumuwakilisha ktk mikutano na kwa majirani n.k

BTW" mm sijijui Kama introvert au extrovert nafkiri mm mixer.
 
Introverts kundi la phlegmatic ni wakimya mno na huwezi kujua kama wamekasirika au wamefurahi . Wanaweza kuwa wananyanyasika bila kusema . Kwa kifupi they are too dull .

Introverts kundi la melancholics siyo waongeaji lakini unaweza kuwatazama usoni ukajua kiwango chake cha furaha au hasira . Mara nyingi ni kundi la watu wanaolenga kwenye ukamilifu ( perfectionists ) , sasa changamoto ni kwamba hakuna mtu asiyekuosea ; nd'o maana wakikosea wao hawawezi kujisamehe na akikosea mwenzie hawezi kusamehe , kwa hiyo ni watu complicated ingawa ukiwaelewa huwa ni wakarimu mno na ni waaminifu na wenye vipaji vikubwa vya akili , utunzi na uvumbuzi .

Naomba kuwasilisha .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Para umenigusa hapo eeeh! Humble Int
 
Hahah once nilikuwa introvert coz mazingira niliyolelewa we enjoyed to stay indoors ukitoka shule ni ndani hulazimishwi ila unajikuta tu utalala,utasoma vitabu,utachora mpaka unashangaa muda hautoshi.

Siku moja nipo school kuna mdada nilikaa nae jirani alikuwa ni charming sana na famous nilivutiwa nae sana coz alikuwa anaanzisha mazungumzo naenjoy kumsikiliza na kutikisa kichwa hahitaji nichangie mada na akienda out weekend au sherehe yoyote anakuja na picha na zawadi na story za visa kwa sherehe😁😁 hapo nikagundua i need an Extrovert ili nipate raha so nikawa najitahitadi kuwa smart muonekano and cool basi micharuko (extrovert) ndo wapenzi wangu na nafurahia sana japo wivu ni mwingi coz wanavyofahamiana na watu wengi sana mpaka nachoka kufatilia na mnaweza enda sehemu unakuta watu wanakujua wewe huwajui kumbe alikutambulisha zamani sana wewe hujui so napata surprise nyingi sana kwa hawa
🥂🥂🥂🥂🥂🍾🍾🍾
 
Sasa kama huyu niliye nae mpaka outing sehemu gani twende anapanga mpaka cha kuvaa na kula mi nitatoa hela tu yaani mimi ni mpenzi mtazamaji na ananijua napenda nin na nikichukia anajua so ni anajiongeza sana coz kuna muda nakuwaga kimya sijisikii kuongea na mtu atakuja atakaa anakuangalia tu mpaka utakapoona kama unamtesa hivi ndo unamwongelesha kidogo na kumtania hapo ndo umefungulia maongezi😁😁

ila introverts kuachika ni nje nje coz mawasiliano ni hafifu waweza msalimia mpenzi afu ndo ukaishia hapo baada ya salama mpaka kesho so unaonekana ka hueleweki hivi au haujali au uko selfish sana
Huhuuuuuuuuuu🥂🥂🥂🍾🍾🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Kuna uzi nimeona unaongelea tatizo la Autism(usonji), mbona kama baadhi ya tabia za hawa watu zimefanana na za introverts! Kipi ni kipi?
 
Back
Top Bottom