Mindset Maven
Member
- Jan 3, 2019
- 69
- 190
SadMimi ni extremly introvert, nilioa extrovert ndoa ya miaka 8 haikudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
SadMimi ni extremly introvert, nilioa extrovert ndoa ya miaka 8 haikudumu.
This is nice, mm nlishindwa baba. Tunaingia mcty mwanzo mpaka mwisho wanamjua, mshasmama kila baada ya atua tatu. Ila ana roho nzuri na ni life of the party. Nilijua sehem sikuwahi zijua.
Sent using Jamii Forums mobile app










Hapana, nikuweza kukubali mazingira, mimi sasa nakaa na watu kwa kutaka sio kama nilivyokuwa nakua, na kila mtu anajua nimebadilika....Ni ngumu Sana boss.
Mfano mtu aliyezoea kukaa peke yake ukimpeleka ajichanganye na watu utakuwa unamtesa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseehapana, nikuweza kukubali mazingira, mimi sasa nakaa na watu kwa kutaka sio kama nilivyokuwa nakua, na kila mtu anajua nimebadilika....
nimekuwa nikikaa peke yangu sana na kuwa mkiya, waliokuwa wananijua hawa....
inawezekana
😁😁😁 wewe uliogopa tu afu unaweza kukuta ni mwaminifu kwako ila anajulikana kwa kuwa ni charming and kind...ungemchunguza kabla ya kumshindwa nadhani unamumic sana tu na kakuachia kumbukumbuThis is nice, mm nlishindwa baba. Tunaingia mcty mwanzo mpaka mwisho wanamjua, mshasmama kila baada ya atua tatu. Ila ana roho nzuri na ni life of the party. Nilijua sehem sikuwahi
Nilisema, tuko na ujinga mwingi.Waambie na wengine tufanyieni wepesi sisi upole wetu,ukimya sio kwamba ndo tunatakiwa kuwa mapadri hakuna na sisi tunataka![]()




We acha tu.



ww sasa huna chakufanya, unaanza shangaa ile mitungi ya mauwa na dustbins Haah! Mi nasubiri ikatike ni txt. Najiunga dk wiki kila ikiisha na recharge ila stumii sana, sijuhiz najitahid kidogo kupiga piga. Wife ndo kanizoeshaAisee
Mimi kunipeleka nijichanganye na watu Ni kama kunionea tu
Yaani Ni ngumu Sana,unakuta mtu anapiga simu yaani sio kwamba sipendi kupokea,Basi tu siwi comfortable kuongea
Sent using Jamii Forums mobile app


piga simu baba. Hahahaha😂
Kaka, najaribu sikuhizi. Tunapanga na wife tunaenda, nashukuru tunaelewana. Niliowa mapema sana. There was this once tulienda club tuli enjoy ndo nkaanza kupenda kwenda, sema sasa nimemzoea yy, nkienda mwenyewe. Hata nususaa haichukui, hata wakija washkaji naona nawa disappoint ila wao story zina noga naweza sepa zangu na kwenda sehem yenye music ila tulivu. Sema ts true hakuwa na ujinga ujinga sema basi nliona siwez tu kuwa nae. Kuna siku baada ya kuoa tulikutana akasema, alijua kabisa ningemuoa. Eti tuli feli wapiwewe uliogopa tu afu unaweza kukuta ni mwaminifu kwako ila anajulikana kwa kuwa ni charming and kind...ungemchunguza kabla ya kumshindwa nadhani unamumic sana tu na kakuachia kumbukumbu
Hata ukiwa introverts sana usijiwekee limit kwamba hiki hufanyi na huwezi kwenda sehemu fulani kama club au pub hapana cha msingi upate wa kwenda nae uta enjoy maisha



Mbavu zangu Mimi
Yale maneno huwa sijui yanabubujikia wapi!! Najikuta naandika mpaka nikisoma nasema dah! Hivi ni mimi au nimefanya korabo na mzimu wa kiswahili
Ndio maana alikuwa mpaka anaona haitoshi huyu mshairi ngoja nimpigie abwabwaje hayo mashairi yake
Hii iliniponza hata shuleni kwenye essay nilikuwa mkali ticha akajua hii njemba inajua kujieleza.. siku ya kwanza kwenye debate nipo first kabisa dah! Niliharibu nilikuwa natetemeka maneno yakapotea yote nikawa namuangalia time keeper muda uishe nisepe
Alikuwa mpaka baadhi ya wanafunzi anawaambia wanifuate niwafundishe kuandika essay!!
Ila la debate kidogo nilianza kuimprove kuna siku niliflow nikapata tusifa kedekede ili wangejua nilivyokuwa nambwera nilivyosimama mbele yao tena naangaliwa na macho ya watoto wazuri.. unahisi kuzimia zimia
Nilishawahi kuandika shairi la kutunga ilikuwa test ya kiswahili dah! Hawakuamini kama ni mimi wengine walikataa kabisa wakati tulikuwa wote kwenye test![]()









Basi inafaa introvert atoke na introvert mwenzie vinginevyo itakuwa shida tuHahahaha true, mm na yy wote intro. Ila tunajuana. Nikaa kimya sana, ananichokoza kwa kunisemesha au kunigusa. Najua anajaribu hakikisha kama sijakasirika, na mm akikaa kimya na mwangalia tu uso namjua. Ila kazi kama mtu hawezi tuelewa na kweli unaona kabisa unamtesa na kumpangia mtu. Mwenzio anataka akienda out awe na watu wake, unaenjoy tu kiwepo mahali pale pawe na watu au la. Club unaweza enda hata kama wako watu wachache, unaenjoy music na kuwa tipsy kidogo ila bila bugudha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe huwa nasubiri ikate.Haah! Mi nasubiri ikatike ni txt. Najiunga dk wiki kila ikiisha na recharge ila stumii sana, sijuhiz najitahid kidogo kupiga piga. Wife ndo kanizoeshapiga simu baba. Hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Introvert na introvert!!! No way.Introvert wanatakiwa wawapate introverts wenzao vinginevyo wataishia kuwaumiza wale ambao sio introverts.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha..Mbavu zangu Mimi
Mkuu embu acha kunichekesha
Mkuu umenikumbusha mbali,kuna somo fulani kipindi Niko olevel niliweka rekodi ya kuliongoza.nilikuwa nimenyooka nalo hilo tu..mwalimu akija class anaanza kupitisha karatasi yangu,anaifunua anasema wote mtazame
Kimbembe siku akaniinua niongee.. Mama yangu picha likaanzia hapo,Sasa huwa naongea neno mojamoja yaani naongea taratibu mno halafu Kama nataka kulia hivi.
Nilichekesha watu,
Sijawahi fanya michezo ya kwenda kwenye debate..heri waninyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa muandikaji ubaoni maarufuHaha..
Kwani nani alikuwa anapenda debate..?
Kuna siku nikaweka hudhuru ya makusudi ticha akaona isiwe tabu jina langu likawekwa mwishoni kabisa nikijua limetolewa halafu kwenye hudhuru sikwenda ila akili ilinicheza kwamba bado nipo kwenye listi ya waongeaji nikawa nimejiandaa kabisa
Nilivyoitwa tu watu waliangua vicheko
Ile ilikuwa ni adhabu sema kweli dah!
Nikienda mbele kutizama watu ni zoezi gumu ila nikae nyuma kelele nyingi kweli..
Itabidi watuzoee tu hakuna namna..

