Yaaaaani leo pasingekucha bila kupandisha mori Mr Rocky how do you enjoy the ride in my absence!!!!!!
Mkuu OLESAIDIMU i feels like missing something somewhere !!!!!
Last edited by a moderator:
Yaaaaani leo pasingekucha bila kupandisha mori Mr Rocky how do you enjoy the ride in my absence!!!!!!
tuwir radhi mkuu baridi hili wengine linatuathiri ila ndani kwenye basi kulikuwa kumepwaya inawezekana ni sababu ya ukosekano wako tafadhali panda tushafika kituoni kwako tena panda na ng`ombe ikiwezekana hata usijali.Yaaaaani leo pasingekucha bila kupandisha mori Mr Rocky how do you enjoy the ride in my absence!!!!!!
natamani nikuzibe huo mdomo halafu tuongee kwa vitendo qudadeki!
Aise binamu zangu nimewamiss kuanzia Chocs, Paloma, Passion Lady, Blaki Womani, Madame B Zion Daughter, Zinduna, ladyfurahia, mwallu, Preta, Lady doctor, eveyn salt, Heaven on Earth, gfsonwin, sweetlady, yaani sijui mmepotelea wapi
karibu sana binamu ujiunge na #teamrafiki
teamrafiki ni branch ya teambazazi.... naona hawa ni wale sitaki nataka.. mwekundu kama nadanganya uje upuruvu hapa
Ha ........Naomba niwe mtunza shilingi wa kundi,naahidi kua muaminifu!
kwa kauli yako hii niishafahamu wewe ni team gani..
#teamRafiki kwa maadili mema..karibu,unaweza kubadilika
Miss u more kaka
Asante ila sijui utaratibu
Naomba mwongozo
hahahahahahaha. Oh my goodness, my ribs hurt!
mwallu nakuonya kwa mara nyingine....