Insane coincidence: Futility and Titanic

Insane coincidence: Futility and Titanic

Mi naona hadithi hii ilikuwepo kwa sababu hili tukio ni la kupangwa. Pengine hata kifo cha huyu bwana mwandishi hakikuwa cha kawaida. Sasa swali nnalojiuliza nani aliepanga ikiwa kweli ajali hiyo ilipangwa?? Na sababu za vifo vyote hivyo ni nini??
Ila akili yangu imegoma kuona kuwa hiyo imetokea tu nadhani kuna sababu ambazo hatuzijui
 
Uthubutu huo Mungu aninyime[emoji23][emoji23][emoji23]
titanic 2 au kwa jina lingine queenmary hii ina mpaka uwanja wa ndege na ukubwa wa ile ndege bombadier zetu zinasubiri huu uwanja na ndege yenyewe vipo chini ya meli
 
titanic 2 au kwa jina lingine queenmary hii ina mpaka uwanja wa ndege na ukubwa wa ile ndege bombadier zetu zinasubiri huu uwanja na ndege yenyewe vipo chini ya meli
sasa chini ya meli ndege inatuaje?
Kwahiyo wameweka kwamba ikianza kuzama wapande ndege
 
Mwaka huu niliota ndoto nipo katikati ya Kundi la Polisi wenye vyeo vya juu (CP, DCP SACP, ACP) katika Jeshi la Polisi wakiniskiliza tukiwa tunapiga stori (mimi sio Polisi) tukiwa maeneo ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, nilipoamka asubuhi nikajiuliza sana juu ya ndoto hii na sikupata majibu. Nikaamua kupuuzia, lakini wiki iliyofuata nikawa katika mazingira yaleyale Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (katika ulimwengu wa mwili na sio ndoto tena) nikiwa nimezungukwa na Polisi walewale niliowaona ndotoni tukipiga stori, hii ilikuwa wakati tukisubiri kuuaga mwili wa mpwa wangu Peter Kubezya (yule OCCID aliyeuawa Kibiti ambaye mwili wake uliagwa Muhimbili kabla hajasafirishwa kwenda kuzikwa Ushirombo). Wakati nikiongea na askari hao ikanijia picha ileile niliyoiona kwenye ndoto...
omba Mungu akupe uwezo wa kutafsiri ndoto...utaokoa wengi,ungeielewa hiyo ndoto huenda huyo asingekufa
 
Mi naona hadithi hii ilikuwepo kwa sababu hili tukio ni la kupangwa. Pengine hata kifo cha huyu bwana mwandishi hakikuwa cha kawaida. Sasa swali nnalojiuliza nani aliepanga ikiwa kweli ajali hiyo ilipangwa?? Na sababu za vifo vyote hivyo ni nini??
Ila akili yangu imegoma kuona kuwa hiyo imetokea tu nadhani kuna sababu ambazo hatuzijui
Moja kati ya maswali magumu ni hayo....

Mtunzi alitunga ili waje wakopi.au na yeye ni "miongini mwao"?
 
Mkuu unaweza kujua kifo cha muandishi wa kitabu kilisababishwa na nini? Pia Mkuu wa kitengo au utengenezaji wa hiyo meli kilimpata nini baada ya meli yake kuzama?
Naomba ufafanuzi mkuu
 
Back
Top Bottom