Ila Mkuu kama walicopy bado kuna maswali yanabaki, walijuaje after hizo 400 kama kwenye kitabu kinavyosema watakuta barafu yenye uwezo wa kutoboa meli? Vipi kuhusu Idadi watu waliokufa walifanyaje walau hesabu ishabihiane?Hahahahaaaa.....
Naona ni zaidi ya utabiri maana ni kama walikopi karibia kila kitu....
Mkuu unataka uone kama haitozama na wewe ukapande? This time lazima story yake itafanywa kinyume.Tudokezee kidogo kuhusu titanic 2
Nilipata kusoma kitabu flan sikumbuki title ila ni kama hiv: the secrete terrorist in usa. Nadhan hyo ndo title. Hii unayozungumzia imeelezwa kwa kina mno.Inaaminika mwaka 1910 wanaume Nelson Aldrich na Frank Vanderlip kutoka Rockefeller financial empire, Benjamin Strong, Henry Davison na Charles Norton kutoka makampuni ya J.P Morgan na Paul Warburg kutoka familia ya Rothschid walikutana kwenye kisiwa cha Jeckyll wakiwa na lengo la kuanzisha taasisi itakayoweza kutumika kutoa pesa ya kutosha kugharamia kazi zao za kuifanya dunia kuwa chini ya order moja, kugharamia vita visivyokoma kuwanyosha wote watakaopingana na ramani zao. Hapa ndipo inaaminika kwa Mara ya kwanza wazo la kuanzishwa fideral reserve bank liliibuliwa. Hizi familia tatu Rockefeller, Morgan na Rothschild walitaka watamalaki kwenye uchumi wa dunia. Kwa wakati US haikuawa na banki kuu toka 1830s.
Wachora ramani waligundua US ilikuwa na mabwanyenye pia ambao wangepinga na uanzishwaji wa federal reserve bank kama ingejulikana kuwa sio taasisi ya wamarekani bali mabwanyenye wa ulaya. Hawa walikuwa Benjamin Guggenheim, Isador Strauss na John Jacob. Kwa wakati huo wanakadiriwa kuwa labda ndo walikuwa watu matajiri zaidi duniani wakiwa na utajiri wa zaidi ya us $500mil. Sasa ili kuwaondoa hawa ndo wakaandalia kaburi lenye hadhi yao Titanic. J.P ndo walikuwa owner wa kampuni ya white star line na ndo alipewa order ya kutengeneza Titanic, a floating palace. Morgan hakuwa amewekeza kwenye mabenki tu walikuwa na kampuni nyingine za meli ujerumani ukiacha white star line .
Titanic ilipokamilika 1912 hao mabwanyenye wa US walialikwa kuifanya uzinduzi wa Titanic hawakujua tayari cap. Edward Smith alikuwa ameshapewa order ya kwenda kuwazika kwenye bahari ya Atlantic. Kufikia April 1912 wapinzani wote wa federal reserve bank hawakuwepo dunia. Dec 1913 fideral reserve bank ikaanzishwa, miezi 8 baadae 1914 walikuwa na pesa ya kutosha kuanzisha vita ya kwanza ya dunia.
Kama wewe ni mpe kufatilia mambo ya behind headlines. Tafta kitabu kinaitwa "in gods name"...ukikisoma chote....mahali popote utakapokuta na kanisa roma lazma utoe "shikamoo yenye unyenyekevu"kinachonisikitisha zaidi ni kanisa langu la kotoliki kuusihwa na kila mambo ya ajabu na kusitikisha haswa yenye ushetani ndani yake, kila habari ngumu ngumu zilizokosa majibu hautakosa kusikia uhusika wa kanisa katoliki. sijajua malengo yao yalikua ninini au ni kipi haswa walichokua wakitaka maana mambo ya kanisa Mungu mwenyewe ndie anaeratibu,kama nikweli nia yao ilikua ni kueneza neno la Mungu sifhani kama walikua wakiongozwa na Roho wa Mungu kama ambavyo Kristo alivyosema kua yote watakayofanya katika kuhubiri Roho Mtakatifu ndie atakae kua msaidizi . ngoja tuone itakavyo kua maadamu hauna siri itakayositirika daima.
Kama wewe ni mpe kufatilia mambo ya behind headlines. Tafta kitabu kinaitwa "in gods name"...ukikisoma chote....mahali popote utakapokuta na kanisa roma lazma utoe "shikamoo yenye unyenyekevu"kinachonisikitisha zaidi ni kanisa langu la kotoliki kuusihwa na kila mambo ya ajabu na kusitikisha haswa yenye ushetani ndani yake, kila habari ngumu ngumu zilizokosa majibu hautakosa kusikia uhusika wa kanisa katoliki. sijajua malengo yao yalikua ninini au ni kipi haswa walichokua wakitaka maana mambo ya kanisa Mungu mwenyewe ndie anaeratibu,kama nikweli nia yao ilikua ni kueneza neno la Mungu sifhani kama walikua wakiongozwa na Roho wa Mungu kama ambavyo Kristo alivyosema kua yote watakayofanya katika kuhubiri Roho Mtakatifu ndie atakae kua msaidizi . ngoja tuone itakavyo kua maadamu hauna siri itakayositirika daima.
Tulikua bado nyani wakati huo1864 kampuni inatengeneza meli huku afrika sijui tulikua tunafanya nin
Uthubutu huo Mungu aninyimeMkuu unataka uone kama haitozama na wewe ukapande? This time lazima story yake itafanywa kinyume.
Ha ha ha haaa.Uthubutu huo Mungu aninyime
Mkuu,hapa kuna mengi sana,ngoja niwaache wakuu waumize vichwa tu.....Ila Mkuu kama walicopy bado kuna maswali yanabaki, walijuaje after hizo 400 kama kwenye kitabu kinavyosema watakuta barafu yenye uwezo wa kutoboa meli? Vipi kuhusu Idadi watu waliokufa walifanyaje walau hesabu ishabihiane?
But behind the story wanasema huyu Captain alikua ameshastaafu walimlazimisha tu, ukiwaza sana unaweza kugundua shetani alitumia yaliyomo kwenye kitabu kutumiza Azma yake.
There you are mkuu....Hawa washenzi huwa wanaandaa kwanza stori halafu baada ya muda wanakuja kutekeleza in real life hata lile shambulizi la WTC towers lilishaandaliwa kwenye mfumo wa computer games '94 wakaja kutekeleza 2001 kila kitu kinacho tokea kimepangwa kutokea it's a matter of time
sawa mkuu, nitafanya hivyoRuksa mkuu lakini usishau kumtaja mwandishi ambaye ni mimi mkuu....
Hapa km kuna ukweli, maana baada ya ile series ya lost tukaanza kuona matukio ya ndege kupotea.Everything is under watch hapa dunia,..ni masterplan ambazo huwez fikiria kama zna exist...kuna series moja ya LOST ukiiangalia vzur kwa umakin unaweza pata picha flan,af huyu grand master planner huwa anatoa clues flan sema kwasabab humans ni tomaso,so hua hatuoni.