Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
- Thread starter
- #281
Mwandishi alifariki kifo kilichoitwa "cha kawaida tu" mkuu....Mkuu unaweza kujua kifo cha muandishi wa kitabu kilisababishwa na nini? Pia Mkuu wa kitengo au utengenezaji wa hiyo meli kilimpata nini baada ya meli yake kuzama?
Naomba ufafanuzi mkuu
Meli ilitengenezwa na kampuni na siyo mtu mmoja mkuu.....