aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,226
the illuminati killed thos who opposed the start of federal banking system in the USA
LOST naifahamu sana mkuu,akina Jack Shepherd na Kate,Sayed Jarah,Shanon,Boon,Sowyer,Benjamin Linus,Sun na wengine weengi sana mkuu.....Everything is under watch hapa dunia,..ni masterplan ambazo huwez fikiria kama zna exist...kuna series moja ya LOST ukiiangalia vzur kwa umakin unaweza pata picha flan,af huyu grand master planner huwa anatoa clues flan sema kwasabab humans ni tomaso,so hua hatuoni.
Jamaa alikutwa kwenye chumba cha hoteli akiwa amekufa sasa sikuingia ndani sana kwenye kutafuta chanzo cha kifo chake lakini yote yanawezekana vile vile....Asante sana mkuu kwa kutujuza zaidi kuhusu meli ya Titanic
Kwa hiyo walimwua Morgan au?
kuna wakati unaweza kuwaza kitu halafu baada ya muda hata miaka 1 au 2 kinakuja kutokea unajiuliza ilikuwa ni ndoto
Mkuu eiyer Mimi niliacha kabisa kupost jamii intelligence, hawa jamaa wanachokifanya ni kero kubwa sana. Mtu unaweka thread inabidi usubiri siku 3 ili ije kuonekana. sijui hua wanaedit nini, yani bado sijaelewa, maana hata wakiachia unakuta thread iko vile vile kama ulivyoipost.
Uongozi wa JF watuletee moderator specific kwajili ya jamii intelligence, awe mtu mwenye akili timamu ambaye anaweza kusoma thread na kufanya editing (kama kutakuwa na umuhimu) na kuachia thread iwe public in less that half an hour.
Naamini wewe ni mtu wa kiroho. Wengi hawajui kuwa kila kinachofanyika au kuonekana kwenye ulimwengu wa mwili huwa kimekwisha tokea kwenye ulimwengu wa roho. Haya mambo yana connection za kiroho 100%...Unakopi hadi ajali mkuu?
Kwanza walikopi ili nini? Iweje?
Aise inawezekana walimjasusi asije akaandika hadithi nyingine halafu yakatokea ya kutokea.Jamaa alikutwa kwenye chumba cha hoteli akiwa amekufa sasa sikuingia ndani sana kwenye kutafuta chanzo cha kifo chake lakini yote yanawezekana vile vile....
Kwenye hili la huyu jamaa nasema sidhani kama inawezekana awe aliwaza tu kikawaida aisee....
Tunawinda1864 kampuni inatengeneza meli huku afrika sijui tulikua tunafanya nin