Dhana hii naifahamu vizuri sana,lakini kuna maswali kadhaa ambayo yanakosa majibu.....Mkuu Eiyer kuna habari titanic ilizamishwa kwa sababu ya matajiri watatu waliokwemo ndani ya titanic,ambao ni Benjamin Guggeenhein, Isador Strauss pamoja na John Jacob Astor aliyeaminiwa kuwa tajiri namba moja duniani kwa wakati huo.
Mkuu Eiyer, nitajaribu kuelezea kwa kifupi tu ninavyoelewa, japo mimi sijazama sana kwenye mambo haya. Mara nyingi sana imetokea pale unapowaza kufanya jambo fulani, au unapolifanya, kisha ukaja kushangaa jambo hilo limefanyika sehemu nyingine katika namna ileile uliyoiwaza (au kuifanya) wewe, au ukafikira kitu halafu ukashangaa ulichokifikiria kinatokea baadaye katika namna ileile, na ukabaki kujiambia, “nilijua tu lazima kitokee!’Unaweza kufafanua zaidi mkuu?
Mkuu mm niliota mama yangu kafariki baada ya miaka mitatu tukio likarudia vile vile paka nikajua naota tena kumbe nipo kwenye uhalisia ni kama nilimuadithia kifo chake kitavyo kuwa kwasababu niliota nikamuambia mama nimeota umekufa nikamudithia ndoto yote na siku aliyokufa kweli akuna ata tukio moja lililoenda tofauti na nilicho kiotaAsante sana mkuu kwa kutujuza zaidi kuhusu meli ya Titanic
Kwa hiyo walimwua Morgan au?
kuna wakati unaweza kuwaza kitu halafu baada ya muda hata miaka 1 au 2 kinakuja kutokea unajiuliza ilikuwa ni ndoto
Mkuu nakuomba tu urudi kuandika nilikuwa napenda story zako unapangilia vizuri aichoshi kusomaMkuu eiyer Mimi niliacha kabisa kupost jamii intelligence, hawa jamaa wanachokifanya ni kero kubwa sana. Mtu unaweka thread inabidi usubiri siku 3 ili ije kuonekana. sijui hua wanaedit nini, yani bado sijaelewa, maana hata wakiachia unakuta thread iko vile vile kama ulivyoipost.
Uongozi wa JF watuletee moderator specific kwajili ya jamii intelligence, awe mtu mwenye akili timamu ambaye anaweza kusoma thread na kufanya editing (kama kutakuwa na umuhimu) na kuachia thread iwe public in less that half an hour.
Heshima Mkuu, Blaki.Asante sana mkuu kwa kutujuza zaidi kuhusu meli ya Titanic
Kwa hiyo walimwua Morgan au?
kuna wakati unaweza kuwaza kitu halafu baada ya muda hata miaka 1 au 2 kinakuja kutokea unajiuliza ilikuwa ni ndoto
Edward Smith alikuwa ndiye nahodha wa titanicDhana hii naifahamu vizuri sana,lakini kuna maswali kadhaa ambayo yanakosa majibu.....
1;Hii meli ilizamishwa namna gani kwa style hii?
2;Walioizamisha waliizamisha kwa kufuata matukio ya meli ya kwenye hadithi ili iweje?
Dhana hii naifahamu vizuri sana,lakini kuna maswali kadhaa ambayo yanakosa majibu.....
1;Hii meli ilizamishwa namna gani kwa style hii?
2;Walioizamisha waliizamisha kwa kufuata matukio ya meli ya kwenye hadithi ili iweje?
Hata ile ya kwenye hadithi ilikuwa na sifa hizo hizo.....Mbona kunasehemu nilisoma kwamba huyo jamaaa aliyesimamia hiyo meli Mpaka ikakamilika alipo hojiwa uimara wake ulitoa kufuru akasema kwa kwa jinsi ilivyo imara hata mungu hawezi kuizamisha matokeo yake ndo hayo alileta kufuru huyo majinga
Nafahamu kuhusu Cpt Smith....Edward Smith alikuwa ndiye nahodha wa titanic
Edward Smith amekuwa nahodha kwa miaka 26 akiwa na uzoefu wa kutosha na ruti za bahari ya Atlantiki. Amefanya kazi kwa miaka mingi akiwa ndani ya kampuni ya J.P. Morgan. sasa haiingii akilini kwa nahodha kama Edward Smith ashindwe kuelewa baharini kuna iceberg.
Nimesoma maelezo yako mkuu....Mkuu Eiyer, nitajaribu kuelezea kwa kifupi tu ninavyoelewa, japo mimi sijazama sana kwenye mambo haya. Mara nyingi sana imetokea pale unapowaza kufanya jambo fulani, au unapolifanya, kisha ukaja kushangaa jambo hilo limefanyika sehemu nyingine katika namna ileile uliyoiwaza (au kuifanya) wewe, au ukafikira kitu halafu ukashangaa ulichokifikiria kinatokea baadaye katika namna ileile, na ukabaki kujiambia, “nilijua tu lazima kitokee!’
Nimewaza hivyo pia, wenzetu maendeleo kwao yameanza kitambo sana!!
Mwaka huu niliota ndoto nipo katikati ya Kundi la Polisi wenye vyeo vya juu (CP, DCP SACP, ACP) katika Jeshi la Polisi wakiniskiliza tukiwa tunapiga stori (mimi sio Polisi) tukiwa maeneo ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, nilipoamka asubuhi nikajiuliza sana juu ya ndoto hii na sikupata majibu. Nikaamua kupuuzia, lakini wiki iliyofuata nikawa katika mazingira yaleyale Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (katika ulimwengu wa mwili na sio ndoto tena) nikiwa nimezungukwa na Polisi walewale niliowaona ndotoni tukipiga stori, hii ilikuwa wakati tukisubiri kuuaga mwili wa mpwa wangu Peter Kubezya (yule OCCID aliyeuawa Kibiti ambaye mwili wake uliagwa Muhimbili kabla hajasafirishwa kwenda kuzikwa Ushirombo). Wakati nikiongea na askari hao ikanijia picha ileile niliyoiona kwenye ndoto...Mkuu mm niliota mama yangu kafariki baada ya miaka mitatu tukio likarudia vile vile paka nikajua naota tena kumbe nipo kwenye uhalisia ni kama nilimuadithia kifo chake kitavyo kuwa kwasababu niliota nikamuambia mama nimeota umekufa nikamudithia ndoto yote na siku aliyokufa kweli akuna ata tukio moja lililoenda tofauti na nilicho kiota
Hii ni meli inayotengenezwa baada ya ile ya kwanza kuzama....Tudokezee kidogo kuhusu titanic 2
Kwangu mimi (sijui kwa wengine) huwa kinatokea kwa namna ileile, ni zaidi ya mara tatu au nne. Kwa mfano kuna wakati nimewahi kuota ndoto niko katika mji wa kigeni, nikawa napita kwenye mitaa kadhaa ambapo kulikuwa na mabango na baadaye nikaingia kwenye jengo fulani la ghorofa tatu, linalopakana na jengo lingine linalolindwa na wanajeshi, likiwa na bendera.Nimesoma maelezo yako mkuu....
Hiki unachokisema hapa huwa kinatokea kwa namna ile ile au kunakuwa na tofauti kadhaa?
Kwahiyo mkuu na jambo hili linaweza kuwa ni kama haya matukio ya ndoto unayoyasema?Mwaka huu niliota ndoto nipo katikati ya Kundi la Polisi wenye vyeo vya juu (CP, DCP SACP, ACP) katika Jeshi la Polisi wakiniskiliza tukiwa tunapiga stori (mimi sio Polisi) tukiwa maeneo ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, nilipoamka asubuhi nikajiuliza sana juu ya ndoto hii na sikupata majibu. Nikaamua kupuuzia, lakini wiki iliyofuata nikawa katika mazingira yaleyale Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (katika ulimwengu wa mwili na sio ndoto tena) nikiwa nimezungukwa na Polisi walewale niliowaona ndotoni tukipiga stori, hii ilikuwa wakati tukisubiri kuuaga mwili wa mpwa wangu Peter Kubezya (yule OCCID aliyeuawa Kibiti ambaye mwili wake uliagwa Muhimbili kabla hajasafirishwa kwenda kuzikwa Ushirombo). Wakati nikiongea na askari hao ikanijia picha ileile niliyoiona kwenye ndoto...
Inawezekana kabisa tukio hili lilipangwa...Hilo ni tukio la uhalifu wa kupangwa(Consipiracy). Matukio kama haya fatilia ni watu gani mashuhuri au maarufu waliokuwepo kwenye hiyo meli. Kuna maelezo kulikuwa na matajiri wakubwa duniani. Unaweza ukafatilia zaidi ukawasoma hao matajiri kuhusu wao unaweza ukang'amua kitu. Hiyo ilipangwa, ilipangwa vipi sijui. Tunaweza kuhadithiwa ni barafu limegonga kumbe ni shambulizi limefanyika makusudi kisha wakasema ni barafu limegonga. Kila kitu kinawezekana.
Kuhusu kufanana na kitabu, inawezekana wao ndio wamefanya makusudi ili ifanane, kuanzia vipimo na uwezo wa meli mpaka wapi tukio la kuzama litokee n.k Eiyer
Nimekusoma mkuu...Kwangu mimi (sijui kwa wengine) huwa kinatokea kwa namna ileile, ni zaidi ya mara tatu au nne. Kwa mfano kuna wakati nimewahi kuota ndoto niko katika mji wa kigeni, nikawa napita kwenye mitaa kadhaa ambapo kulikuwa na mabango na baadaye nikaingia kwenye jengo fulani la ghorofa tatu, linalopakana na jengo lingine linalolindwa na wanajeshi, likiwa na bendera.
Miaka minne baadaye nikasafiri kwenda Bujumbura, nikajikuta nikipita mitaa ileile na kuona mabango yaleyale niliyoyaona ndotoni, cha ajabu ni kwamba hata jengo nililoingia lilikuwa ni hoteli inayoitwa 'New Agena Hotel' ambayo ipo eneo linaloitwa Sororezo, ipo jirani na jumba analoishi rais mstaafu wa Burundi, Pierre Buyoya, ikiwa inalindwa na askari walewale niliowaona kwenye ndoto...