Insane coincidence: Futility and Titanic

Insane coincidence: Futility and Titanic

Mbona kunasehemu nilisoma kwamba huyo jamaaa aliyesimamia hiyo meli Mpaka ikakamilika alipo hojiwa uimara wake ulitoa kufuru akasema kwa kwa jinsi ilivyo imara hata mungu hawezi kuizamisha matokeo yake ndo hayo alileta kufuru huyo majinga
Na mimi nshapata hadithi hii kuwa alithihaki kuhusu uimara wa meli yake

Akadai hata mungu hawezi kuizamisha Titanic
 
1864 kampuni inatengeneza meli huku afrika sijui tulikua tunafanya nin
Tusijilaume sana, yawezekana tungekuwa mbali kama tusingevurugwa kwenye mila, elimu, desturi, na maendeleo yetu na hawa wakoloni, who knows, ila walivyokuja na kuamrisha tufuate yao maisha yetu yote yalibadilika, siwalaumu wazee wetu, wakuwalaumu ni hawa wazungu wasiotosheka na vyao..
 
kuna mwezi moja wapo katika sayari za mfumo wa jua letu unaitwa titan, kunaweza kukawa na uhusiano wowote na majina ya meli hizi yakwenye kitabu na halisi iliozama?
 
kuna mwezi moja wapo katika sayari za mfumo wa jua letu unaitwa titan, kunaweza kukawa na uhusiano wowote na majina ya meli hizi yakwenye kitabu na halisi iliozama?
Mkuu,sina hakika kama nimekuelewa....
 
yaani kwenye sayari ya zohari kuna mwezi unao itwa titani, ndio nilikua nikiuliza kama kama kuna uhusiano wa majina haya kati ya mwezi huu na hizi meli, maana mwezi huu uligundulika kati ya 1600 nadhani.
 
yaani kwenye sayari ya zohari kuna mwezi unao itwa titani, ndio nilikua nikiuliza kama kama kuna uhusiano wa majina haya kati ya mwezi huu na hizi meli, maana mwezi huu uligundulika kati ya 1600 nadhani.
Sayari ya Zohari ni sayari ipi mkuu wangu....
 
_20170610_170203.JPG

Kama TITANIC ingezama miaka hii
 
Mkuu [HASHTAG]#Eiyer[/HASHTAG] tafadhali uwe unanikumbuka katika ufalme wako (please nitag)
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hawa washenzi huwa wanaandaa kwanza stori halafu baada ya muda wanakuja kutekeleza in real life hata lile shambulizi la WTC towers lilishaandaliwa kwenye mfumo wa computer games '94 wakaja kutekeleza 2001 kila kitu kinacho tokea kimepangwa kutokea it's a matter of time
 
Back
Top Bottom