mweatu
Member
- Jul 13, 2015
- 16
- 47
Ndugu wanajamvi, habarini za majukumu. Kutokana na wimbi la uhaba wa ajira na hasa ajira za Serikali, baadhi ya vijana wameonekana kukata tamaa juu ya ajira hizi za serikali.
Wengi huwa tunaomba kazi za serikali pale zinapotangazwa na hatujawahi kubahatika kuajiriwa.
Najaribu kufikiria kutuma MAOMBI ya kazi serikalini hata bila kazi kutangazwa.
Mwenye uzoefu wa kupata kazi kwa njia hii tafadhari tujuzane
Wengi huwa tunaomba kazi za serikali pale zinapotangazwa na hatujawahi kubahatika kuajiriwa.
Najaribu kufikiria kutuma MAOMBI ya kazi serikalini hata bila kazi kutangazwa.
Mwenye uzoefu wa kupata kazi kwa njia hii tafadhari tujuzane