inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

Chama cha CCM mtandao ni mafia, wanajua Samia asipokuwa Rais mambo yao mengi yatapata vikwazo. Kwa hiyo CCM mtamdao kwa gharama yoyote ni lazima Lissu ahukumiwe kunywagwa na Samia awe Rais.

Je Watanganyika tunakubali haya mambo yatokee? Ni kweli Lissu ni mhaini? Je kuomba Reforms ni Uhaini? Kuwaambia wananchi wasusie uchaguzi ni Uhaini?
Ndo mda wapenda haki kuunganisha nguvu
 
Nachojua Lissu hawezi kunyongwa wala kufungwa tutarudi hapa baada ya kutiki
 
Soma mwenyewe

MUNGU ATAMPIGANIA
================
Mheshimiwa Jaji,


Lazima sasa nihitimishe maelezo yangu. Wewe umefanya kile ambacho sheria imekuamuru kufanya, yaani, kunipeleka kusikilizwa katika Mahakama Kuu. Waendesha mashtaka wa serikali pia wamefanya kile walichoona kuwa ni wajibu wao. Mimi pia nimetumia kile ninachoona kuwa ni haki yangu ya kisheria. Nimesema yote niliyotaka kusema, kwa namna na mtindo niliotaka kuyasema. Nikimnukuu Fidel Castro kwenye “Historia Itaniondolea Hatia”, natumai sitalazimika kujilaumu kwa kuacha kanuni yoyote bila kutetewa, au kwa kuacha ukweli wowote bila kusemwa kwa kuogopa kumkera mtu yeyote, au kwa kosa lolote lisilotajwa.


Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma pamoja na maafisa wake wa sheria sasa lazima wafanye kile ambacho sheria inaeleza kuwa ni wajibu wao, yaani, kunishtaki kwa kosa linalodaiwa la uhaini kwa kile wanachoona kuwa ni “masilahi ya umma.” Mimi najua wajibu wangu ni nini: kutetea ukweli bila woga na kwa ujasiri kadiri ninavyoujua, na katika kufanya hivyo, kutetea misingi ya haki, usawa na demokrasia ambavyo havipaswi kuachwa bila kutetewa, na kulaani kosa lolote ambalo lazima kulaaniwa.


Basi nitaweza kuishi kwa amani, au kufa – kwani kifo kwa njia ya kunyongwa ndicho ambacho hawa “marafiki wasomi” wa upande wa mashtaka na waungaji mkono wao watakuwa wakidai katika Mahakama Kuu dhidi yangu. Lakini, kama Marcus Aurelius, Kaizari wa Kirumi, anavyodaiwa kusema kwa umaarufu:


“Kifo kinatabasamu kwa sisi sote, jambo pekee ambalo mwanadamu anaweza kufanya ni kutabasamu nacho.”


View attachment 3446454
Lissu Shujaa wa Africa
 
acha akili imkae sawa kwanza huyo kibaraka,
aandike mabaruaaa weeeee,
ndipo baadae akili ikimkaa sawa ataelewa jinsi uropokaji ulivyo jambo la hovyo kwenye jamii ya kistaarabu :NoGodNo:
Waliouza rasirimali za Taifa letu Tanganyika ndiyo vibaraka namba moja na unajua, huyu jamaa hajauza nje ya nchi hata unyoya wa kuku.

Mnampa jina baya, kama mnavyotaka kumuua mbwa.
 
The man has lost his pleats MARINDA long time ago ,is looking someone for restoring back his pleats !!!😂🤣🤣
Who is this monster NYANI NGABU who is always anti progressive ideas? What has he got against Tundu Lissu? I am curious!!!
 
Wamethamiria kumnyonga hadi kufa
Sani Abacha alimnyonga Ken Saro-Wiwa na wenzake wanane. Leo hii hamna anaemkumbuka Abacha na Saro-Wiwa anatambulika kama shujaa sio tu wa watu wa Ogoni bali Nigeria na dunia nzima. Kitendo cha kumnyonga Saro-Wiwa kililaaniwa na dunia nzima.

Samia sio Abacha. Na anajua kuwa legacy yake itachafuliwa vibaya mno kama Lissu atafia gerezani hata kama sio kwa kunyongwa.

Uchaguzi ukiisha au hata kabla, Lissu ataachiwa huru na kuachiwa aendelee na shughuli zake za kisiasa.

Amandla...
 
Death smiles at us all, all a man can do is smile back
Remember “ Death comes to us all even to kings he comes “ Samia na genge lake wanamuogopa Lissu kiasi kwamba wakisha iba kura na kupata Urais watamuachia!!
Remember kuwa Lissu amewashitaki serikali kuhusika na kupigwa kwake risasi na kesi hiyo inasikilizwa na mahakama ya Uingereza!! Hii kesi inawatia Homa serikali ya Samia kiasi cha kutengeneza kesi ya uhaini dhidi ya Lissu!
 
acha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.

na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.

lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo :NoGodNo:
Mkundu wa mama yako mzazi. **** la mama yako. **** la mama.yako **** la mama yako **** la mama yako **** la kundu la mama yako na baba yako mzazi, fukara mmoja wewe kumamayo...nakuombea kifo wewe na familia yako yote kuanzia Sasa nakuombea kifo. You will die miserably with no one near you ..you will die a lonely man in death bed, you will die poor man with no one caring for you...if you think that man that family man deserves what he is being treated then you shall die amicably..and this is my curse to you motherfucker. I curse you....I curse you...I curse you wherever you are...I curse you ...I curse you...if I am what I am inside me...the power to perform then I say I curse you from now I curse you and what that man is passing , you will pass million times until your dying day...you will suffer ...you will vomit blood, you will vomit blood...I curse you...I curse your mother, I curse your father, I curse your entire family...I curse you...ARUR ATAH....ARUR ATAH....ARUR ATAH..ARUR ATAH....ARUR ATAH....ARUR ATAH...ARUR ATAH ..
 
Soma mwenyewe

MUNGU ATAMPIGANIA
================
Mheshimiwa Jaji,


Lazima sasa nihitimishe maelezo yangu. Wewe umefanya kile ambacho sheria imekuamuru kufanya, yaani, kunipeleka kusikilizwa katika Mahakama Kuu. Waendesha mashtaka wa serikali pia wamefanya kile walichoona kuwa ni wajibu wao. Mimi pia nimetumia kile ninachoona kuwa ni haki yangu ya kisheria. Nimesema yote niliyotaka kusema, kwa namna na mtindo niliotaka kuyasema. Nikimnukuu Fidel Castro kwenye “Historia Itaniondolea Hatia”, natumai sitalazimika kujilaumu kwa kuacha kanuni yoyote bila kutetewa, au kwa kuacha ukweli wowote bila kusemwa kwa kuogopa kumkera mtu yeyote, au kwa kosa lolote lisilotajwa.


Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma pamoja na maafisa wake wa sheria sasa lazima wafanye kile ambacho sheria inaeleza kuwa ni wajibu wao, yaani, kunishtaki kwa kosa linalodaiwa la uhaini kwa kile wanachoona kuwa ni “masilahi ya umma.” Mimi najua wajibu wangu ni nini: kutetea ukweli bila woga na kwa ujasiri kadiri ninavyoujua, na katika kufanya hivyo, kutetea misingi ya haki, usawa na demokrasia ambavyo havipaswi kuachwa bila kutetewa, na kulaani kosa lolote ambalo lazima kulaaniwa.


Basi nitaweza kuishi kwa amani, au kufa – kwani kifo kwa njia ya kunyongwa ndicho ambacho hawa “marafiki wasomi” wa upande wa mashtaka na waungaji mkono wao watakuwa wakidai katika Mahakama Kuu dhidi yangu. Lakini, kama Marcus Aurelius, Kaizari wa Kirumi, anavyodaiwa kusema kwa umaarufu:


“Kifo kinatabasamu kwa sisi sote, jambo pekee ambalo mwanadamu anaweza kufanya ni kutabasamu nacho.”


View attachment 3446454
Kifo kinatabasamu kwa sisi sote, jambo pekee ambalo mwanadamu anaweza kufanya ni kutabasamu nacho.”
 
Back
Top Bottom