inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

Mkundu wa mama yako mzazi. ** la mama yako. ** la mama.yako ** la mama yako ** la mama yako **** la kundu la mama yako na baba yako mzazi, fukara mmoja wewe kumamayo...nakuombea kifo wewe na familia yako yote kuanzia Sasa nakuombea kifo. You will die miserably with no one near you ..you will die a lonely man in death bed, you will die poor man with no one caring for you...if you think that man that family man deserves what he is being treated then you shall die amicably..and this is my curse to you motherfucker. I curse you....I curse you...I curse you wherever you are...I curse you ...I curse you...if I am what I am inside me...the power to perform then I say I curse you from now I curse you and what that man is passing , you will pass million times until your dying day...you will suffer ...you will vomit blood, you will vomit blood...I curse you...I curse your mother, I curse your father, I curse your entire family...I curse you...ARUR ATAH....ARUR ATAH....ARUR ATAH..ARUR ATAH....ARUR ATAH....ARUR ATAH...ARUR ATAH ..
Achana naye huyo jamaa 😂
 
Punguza kiburi cha kijinga aisee, watu huwa mnajiona wajanja mkiwa mnatembea na kucheka, mkiugua mtaanza tena kumlilia Mungu. Upuuzi na ujinga wa Ki-Magharibi mbele ya watu wanaoamini Uwepo wa Mungu msiwe mnatuletea huo upuuzi wenu bora muwe mnanyamaza tu
Mungu alikuwa wapi wakati Lissu anakamatwa?

Mungu yuko wapi wakati Lissu analala kwenye vinyesi?

Hapo mlipo mnategemea huruma ya Samia!

Au Samia ndo mungu wenu?

Huyo Mungu yuko wapi kuwalinda watoto wa Gaza wanaouliwa na Israel kila siku?

Nyie watu ni wajinga, wapumbavu, majuha, mazuzu, na mazumbukuku msio na uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo kwa kutumia akili kwa sababu hamnazo!

You and your stupid ilk can FOH.
 
Hanyongwi mtu yeyote yule. Hiyo kitu ilfutwa zamani tu.
Hamna hiyo adhabu.
Atacheleweshwa tu asishiriki uchaguzi simpre
 
acha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.

na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.

lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo :NoGodNo:
Je, huyo mropokaji unayemchukia aliropoka? au alitenda kosa LA uhaini? No prosecution without justice. Hivi kwenye siasa za vyama vingi Kuna mipaka ya kuongea?
 
hıvı wakatı anarıpoka ropoka hajuagı kuwa hata mungu apendı kwa kutumıa kınywa alıchopewa vıbaya, hata mungu naye hapendı mtu asıyekuwa na hekıma. unaweza je kusema no reform no electıon haıfanyı kwa kumwomba mungu wakatı huyo mungu ndıo anakupa hıyo pumzı ya kuongea alafu unamkejelı tena
 
hıvı wakatı anarıpoka ropoka hajuagı kuwa hata mungu apendı kwa kutumıa kınywa alıchopewa vıbaya, hata mungu naye hapendı mtu asıyekuwa na hekıma. unaweza je kusema no reform no electıon haıfanyı kwa kumwomba mungu wakatı huyo mungu ndıo anakupa hıyo pumzı ya kuongea alafu unamkejelı tena
Pumbavu zako.
Kipi cha uongo alikisema?
Tume ya uchaguzi imejaa wanaCCM, uteuzi wao ni batili, wasimamizi wa uchaguzi ni wa uongo uongo.
Taifa linapata faida gani kwa kuwa na uchaguzi mbovu?.
Huyu mzalendo anayesema kuwe na tume huru amekosea wapi?.
 
Soma mwenyewe

MUNGU ATAMPIGANIA
================
Mheshimiwa Jaji,


Lazima sasa nihitimishe maelezo yangu. Wewe umefanya kile ambacho sheria imekuamuru kufanya, yaani, kunipeleka kusikilizwa katika Mahakama Kuu. Waendesha mashtaka wa serikali pia wamefanya kile walichoona kuwa ni wajibu wao. Mimi pia nimetumia kile ninachoona kuwa ni haki yangu ya kisheria. Nimesema yote niliyotaka kusema, kwa namna na mtindo niliotaka kuyasema. Nikimnukuu Fidel Castro kwenye “Historia Itaniondolea Hatia”, natumai sitalazimika kujilaumu kwa kuacha kanuni yoyote bila kutetewa, au kwa kuacha ukweli wowote bila kusemwa kwa kuogopa kumkera mtu yeyote, au kwa kosa lolote lisilotajwa.


Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma pamoja na maafisa wake wa sheria sasa lazima wafanye kile ambacho sheria inaeleza kuwa ni wajibu wao, yaani, kunishtaki kwa kosa linalodaiwa la uhaini kwa kile wanachoona kuwa ni “masilahi ya umma.” Mimi najua wajibu wangu ni nini: kutetea ukweli bila woga na kwa ujasiri kadiri ninavyoujua, na katika kufanya hivyo, kutetea misingi ya haki, usawa na demokrasia ambavyo havipaswi kuachwa bila kutetewa, na kulaani kosa lolote ambalo lazima kulaaniwa.


Basi nitaweza kuishi kwa amani, au kufa – kwani kifo kwa njia ya kunyongwa ndicho ambacho hawa “marafiki wasomi” wa upande wa mashtaka na waungaji mkono wao watakuwa wakidai katika Mahakama Kuu dhidi yangu. Lakini, kama Marcus Aurelius, Kaizari wa Kirumi, anavyodaiwa kusema kwa umaarufu:


“Kifo kinatabasamu kwa sisi sote, jambo pekee ambalo mwanadamu anaweza kufanya ni kutabasamu nacho.”


View attachment 3446454
Aache kulialia nani alimtuma kupayukapayuka jukwaani, ana siasa za hovyo, kushawishi uchochezi, kuchochea chuki na ubaguzi, hajali ye kila mtu ni kumtukana, kumtweza, ni nani yeye mtu asiyeheshimu chochote, si sheria, si mamlaka iliyoko madarakani. Amejifunza siasa za hovyo kabisa, tena ashukuru hayuko Rwanda au Uganda. Asitafute huruma ya wananchi apambane na ujinga wake, hakuna anayemtetea anatumiwa na vibaraka wa kutaka kutuharibia nchi yetu
 
Hivi hawa majaji na mahakimu wa sasa wataacha Legacy ipi?, wanaiua taasisi ya mahakama taratibu unajua tatizo letu sisi watanzania ni ubinafsi tu, leo hii tuna mashirika na taasisi nyingi zilikufa hapa Tanzania kwa sababu ya watendaji wake kujiangalia wao wenyewe na sio kuongozwa na maono, ni ajabu chombo kama cha mahakama kwa sasa kuonekana hakiko huru kiasi cha kutoa maamuzi yasiyo kuwa na tija tena, siku si nyingi watu watajichukulia sheria mkononi. Bunge mahakama, takukuru na polisi hizi ndo taasisi mbovu kiutendaji kwa sasa kuliko taasisi yoyote.
 
Hivi hawa majaji na mahakimu wa sasa wataacha Legacy ipi?, wanaiua taasisi ya mahakama taratibu unajua tatizo letu sisi watanzania ni ubinafsi tu, leo hii tuna mashirika na taasisi nyingi zilikufa hapa Tanzania kwa sababu ya watendaji wake kujiangalia wao wenyewe na sio kuongozwa na maono, ni ajabu chombo kama cha mahakama kwa sasa kuonekana hakiko huru kiasi cha kutoa maamuzi yasiyo kuwa na tija tena, siku si nyingi watu watajichukulia sheria mkononi. Bunge mahakama, takukuru na polisi hizi ndo taasisi mbovu kiutendaji kwa sasa kuliko taasisi yoyote.
We tuliza makalio mahakimu wanajua kazi yao
 
Back
Top Bottom