MASHUKE ORIGINAL
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 328
- 607
Wewe ndo utulize ukilaza wako, mpumbavu mkubwa.We tuliza makalio mahakimu wanajua kazi yao
Wewe ndo utulize ukilaza wako, mpumbavu mkubwa.We tuliza makalio mahakimu wanajua kazi yao
Unafiki mtupuSTATEMENT HII MENITOA MACHOZI
Mahakama ndio imeamua tayari? Au wenzetu mna uhakika kama alivyo elezaga Rostam!Kilicho hasi hakithibitishiki.
Yaani hakuna kitu tulifurahi kama kifo cha shetani magu. Yaani ni kipi kipya, hata dhalimu magu alifanya haya haya. Yaani kwetu hakuna jipya useme eti tulipaswa kutofurahi kifo cha shetani magu.😂 😂 😂 Sipendi anavyotendewa Lisu ila pia nafurahi kuona mlioshangilia kifo cha Magu mkilia na kusaga meno!
Unaonaje mamako huyu mwema anavyoupiga mwingi baada ya dhalimu wako kufariki?
usihukumu ndugu maana nawe utahukumiwa!!acha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.
na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.
lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo![]()
Eti huyo ni mbunge mtarajiwa.Mkuu wakosea sana ukiendelea kuwa na fikra kama hizi.
Hii inapaswa kuwa sala ya taifa.Namuona karama katika nchi ya kusadikika akijitetea mbele ya mfalme!!
"Kwa mamlaka,nguvu na uwezo wa Roho mtakatifu nakuomba umuokoe mtumishi wako na kifo hiki,ikibidi usababishe kifo kikuu kwa mtesi mkuu wa mtumishi wako Ili jina lako liinuliwe ipasavyo"
KAZI na utu tunasongambele!
If not mistaken, he is a garbage collector in the USWho is this monster NYANI NGABU who is always anti progressive ideas? What has he got against Tundu Lissu? I am curious!!!
Bado una shida kubwa sana kwenye namna yako ya kujielezaKilicho hasi hakithibitishiki.
Huyu mwanamke atakufa kifo cha mateso makali sana.Samia and her enablers wataishia kubaya sana
Kuwa nchi moja na mtu kama huyu ni fedhehaacha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.
na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.
lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo![]()
Yupo aliyemuokoa na risasi ndo atampigania piaHayupo Mungu atayempigania Lissu.
Zamani nilijua nyanj Ngabu ana akili sana, kupitia huu ujumbe wake nmejifunza kituKwako wewe Mungu ni nini
kumkejeli mungu kuwa awez saidia kwenye madiliko kwa kusema mabadiliko hayawezi kutokana na kumwomba munguPumbavu zako.
Kipi cha uongo alikisema?
Tume ya uchaguzi imejaa wanaCCM, uteuzi wao ni batili, wasimamizi wa uchaguzi ni wa uongo uongo.
Taifa linapata faida gani kwa kuwa na uchaguzi mbovu?.
Huyu mzalendo anayesema kuwe na tume huru amekosea wapi?.
Huwa nakushangaa sana na hicho kiburi chako,hivi hujawahi kuugua au kufiwa na mtu wako wa karibu?inawezekana una pesa na kila kitu,je imekupa furaha? Acha roho mbaya,unajua waliofanya mpango Tundu Lissu wako wapi,hata hao wanaotaka anywongwe uhai wao umeshililiwa na Mwenyezi Munguacha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.
na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.
lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo![]()
acha kuweweseka gentleman, wacha mahakama ifanye kazi yake kwa uhuru na haki itendeke. Hofu ya nini?🐒Huwa nakushangaa sana na hicho kiburi chako,hivi hujawahi kuugua au kufiwa na mtu wako wa karibu?inawezekana una pesa na kila kitu,je imekupa furaha? Acha roho mbaya,unajua waliofanya mpango Tundu Lissu wako wapi,hata hao wanaotaka anywongwe uhai wao umeshililiwa na Mwenyezi Mungu
Duu hii "marafiki wasomi" imenilizaBasi nitaweza kuishi kwa amani, au kufa – kwani kifo kwa njia ya kunyongwa ndicho ambacho hawa “marafiki wasomi” wa upande wa mashtaka na waungaji mkono wao watakuwa wakidai katika Mahakama Kuu dhidi yangu. Lakini, kama Marcus Aurelius, Kaizari wa Kirumi, anavyodaiwa kusema kwa umaarufu:
Mbona Yesu alisulibiwaKusema ukweli si roho mbaya.
Kama kweli mungu yupo na anampigania Lissu, basi huyo mungu ni mzembe sana maana Lissu hastahili kukaa jela hata sekunde moja!
Unless huyo mungu ni Samia Suluhu….