inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

Soma mwenyewe

MUNGU ATAMPIGANIA
================
Mheshimiwa Jaji,


Lazima sasa nihitimishe maelezo yangu. Wewe umefanya kile ambacho sheria imekuamuru kufanya, yaani, kunipeleka kusikilizwa katika Mahakama Kuu. Waendesha mashtaka wa serikali pia wamefanya kile walichoona kuwa ni wajibu wao. Mimi pia nimetumia kile ninachoona kuwa ni haki yangu ya kisheria. Nimesema yote niliyotaka kusema, kwa namna na mtindo niliotaka kuyasema. Nikimnukuu Fidel Castro kwenye “Historia Itaniondolea Hatia”, natumai sitalazimika kujilaumu kwa kuacha kanuni yoyote bila kutetewa, au kwa kuacha ukweli wowote bila kusemwa kwa kuogopa kumkera mtu yeyote, au kwa kosa lolote lisilotajwa.


Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma pamoja na maafisa wake wa sheria sasa lazima wafanye kile ambacho sheria inaeleza kuwa ni wajibu wao, yaani, kunishtaki kwa kosa linalodaiwa la uhaini kwa kile wanachoona kuwa ni “masilahi ya umma.” Mimi najua wajibu wangu ni nini: kutetea ukweli bila woga na kwa ujasiri kadiri ninavyoujua, na katika kufanya hivyo, kutetea misingi ya haki, usawa na demokrasia ambavyo havipaswi kuachwa bila kutetewa, na kulaani kosa lolote ambalo lazima kulaaniwa.


Basi nitaweza kuishi kwa amani, au kufa – kwani kifo kwa njia ya kunyongwa ndicho ambacho hawa “marafiki wasomi” wa upande wa mashtaka na waungaji mkono wao watakuwa wakidai katika Mahakama Kuu dhidi yangu. Lakini, kama Marcus Aurelius, Kaizari wa Kirumi, anavyodaiwa kusema kwa umaarufu:


“Kifo kinatabasamu kwa sisi sote, jambo pekee ambalo mwanadamu anaweza kufanya ni kutabasamu nacho.”


View attachment 3446454
Dpp ana historia ya kesi za mchongo. Nashangaa Jaji Masaju anavyo sema watu wasi tungiwe kesi za mchongo.
Huyu Dpp alimuweka Mbowe ndani miezi nane kwa kesi ya kubumba, sasa yuko na Lissu kwa kesi za aina hiyo hiyo. Bado ni kodi zetu zina tumika kuliaibisha Taifa mbele ya Mataifa yanayo penda haki. Viongozi wakuu wame kuwa vipofu hawaoni huu upuuzi unao endelea. Sasa umuachie Mungu akatende.
 
acha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.

na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.

lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo :NoGodNo:
....kwa Kuwa Wewe na MAMA YAKO NDIO Mnaommiliki MUNGU....SISi Tunaomsupport TAL, HAki na Usawa HAna Habar na sisi
 
Wana wa Mungu wala msiwe na hofu kabisa ktk hili kwani imeandikwa "msiwe na hofu mtasema nini ktk "masinagogi" yao watakapowashtaki kwani saa ile nitawapa maneno ya kusema"
Tuzidi kumuombea Lissu kwa Mola wetu na hakuna uovu unaoshinda dhidi ya haki.
 
acha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.

na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.

lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo :NoGodNo:
Sawa.tunawasubili tu,hii ni dunis
 
Who is this monster NYANI NGABU who is always anti progressive ideas? What has he got against Tundu Lissu? I am curious!!!
nliliblock maana hakuna la kujifunza kwake...takataka kubwa sana
 
Soma mwenyewe

MUNGU ATAMPIGANIA
================
Mheshimiwa Jaji,


Lazima sasa nihitimishe maelezo yangu. Wewe umefanya kile ambacho sheria imekuamuru kufanya, yaani, kunipeleka kusikilizwa katika Mahakama Kuu. Waendesha mashtaka wa serikali pia wamefanya kile walichoona kuwa ni wajibu wao. Mimi pia nimetumia kile ninachoona kuwa ni haki yangu ya kisheria. Nimesema yote niliyotaka kusema, kwa namna na mtindo niliotaka kuyasema. Nikimnukuu Fidel Castro kwenye “Historia Itaniondolea Hatia”, natumai sitalazimika kujilaumu kwa kuacha kanuni yoyote bila kutetewa, au kwa kuacha ukweli wowote bila kusemwa kwa kuogopa kumkera mtu yeyote, au kwa kosa lolote lisilotajwa.


Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma pamoja na maafisa wake wa sheria sasa lazima wafanye kile ambacho sheria inaeleza kuwa ni wajibu wao, yaani, kunishtaki kwa kosa linalodaiwa la uhaini kwa kile wanachoona kuwa ni “masilahi ya umma.” Mimi najua wajibu wangu ni nini: kutetea ukweli bila woga na kwa ujasiri kadiri ninavyoujua, na katika kufanya hivyo, kutetea misingi ya haki, usawa na demokrasia ambavyo havipaswi kuachwa bila kutetewa, na kulaani kosa lolote ambalo lazima kulaaniwa.


Basi nitaweza kuishi kwa amani, au kufa – kwani kifo kwa njia ya kunyongwa ndicho ambacho hawa “marafiki wasomi” wa upande wa mashtaka na waungaji mkono wao watakuwa wakidai katika Mahakama Kuu dhidi yangu. Lakini, kama Marcus Aurelius, Kaizari wa Kirumi, anavyodaiwa kusema kwa umaarufu:


“Kifo kinatabasamu kwa sisi sote, jambo pekee ambalo mwanadamu anaweza kufanya ni kutabasamu nacho.”


View attachment 3446454
Mkuu una softy copy yake yote
 
Hata virusi kwenye kompyuta vilijua vimemaliza kompyuta ila mtaani subiri kuona mahakama sasa itaogopa sasa kila mtu anachukua sheria yake na sio hutani na hakuna wa kumpeleka ,mahakamani.

Hutani❌❌
 
hapana ni kipande hicho tu. Nikipata nitaileta hapa. Ngoja tuulize humu
Sawa mkuu maana ninazo zile mbili ya Mandela na fidel Castro nikiri tu tuna kizazi cha hovyo sana sasa hivi.
 
Soma mwenyewe

MUNGU ATAMPIGANIA
================
Mheshimiwa Jaji,


Lazima sasa nihitimishe maelezo yangu. Wewe umefanya kile ambacho sheria imekuamuru kufanya, yaani, kunipeleka kusikilizwa katika Mahakama Kuu. Waendesha mashtaka wa serikali pia wamefanya kile walichoona kuwa ni wajibu wao. Mimi pia nimetumia kile ninachoona kuwa ni haki yangu ya kisheria. Nimesema yote niliyotaka kusema, kwa namna na mtindo niliotaka kuyasema. Nikimnukuu Fidel Castro kwenye “Historia Itaniondolea Hatia”, natumai sitalazimika kujilaumu kwa kuacha kanuni yoyote bila kutetewa, au kwa kuacha ukweli wowote bila kusemwa kwa kuogopa kumkera mtu yeyote, au kwa kosa lolote lisilotajwa.


Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma pamoja na maafisa wake wa sheria sasa lazima wafanye kile ambacho sheria inaeleza kuwa ni wajibu wao, yaani, kunishtaki kwa kosa linalodaiwa la uhaini kwa kile wanachoona kuwa ni “masilahi ya umma.” Mimi najua wajibu wangu ni nini: kutetea ukweli bila woga na kwa ujasiri kadiri ninavyoujua, na katika kufanya hivyo, kutetea misingi ya haki, usawa na demokrasia ambavyo havipaswi kuachwa bila kutetewa, na kulaani kosa lolote ambalo lazima kulaaniwa.


Basi nitaweza kuishi kwa amani, au kufa – kwani kifo kwa njia ya kunyongwa ndicho ambacho hawa “marafiki wasomi” wa upande wa mashtaka na waungaji mkono wao watakuwa wakidai katika Mahakama Kuu dhidi yangu. Lakini, kama Marcus Aurelius, Kaizari wa Kirumi, anavyodaiwa kusema kwa umaarufu:


“Kifo kinatabasamu kwa sisi sote, jambo pekee ambalo mwanadamu anaweza kufanya ni kutabasamu nacho.”


View attachment 3446454
Ongea kila kitu lakini mwisho wa siku kitanzi ni LAZIMA!
 
Alishindwa kumuokoa akapigwa marisasi yaliyompa kilema cha maisha!

Kwa nini hakuzuia asipigwe risasi?

Hivi kweli huwa mnatumia akili kufikiria?
Ndio Tunatumia akili, alimuokoa ndio maana hakufa!
Alibaki na uhai
 
acha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.

na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.

lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo :NoGodNo:
Puppet mama yako boya we
 
Back
Top Bottom