MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,740
- 2,324
Kwa nn mkuu?Hayupo Mungu atayempigania Lissu.
Kwa nn mkuu?Hayupo Mungu atayempigania Lissu.
Wanamsumbua tu. Unaanza vipi kumnyonga mtu kwa kesi ya kupika? Si hata mawe yataamka kuipambania haki! Hata wananchi misukule na kondoo nao wataamka kutoka kwenye usingizi wa pono, ili kupambana dhidi ya udhalimu.Wamethamiria kumnyonga hadi kufa
Wewe Hauna akili Hata kidogo kummkoacha upotoshaji,
Mungu hampiganii mropokaji jeuri na mwenye kiburi, asie tii mamlaka za dunia zilizotoka kwa Mungu mwenyewe.
na hakuna cha roman empire wala Marcus Aurelius,
criminals especially puppets like you, must be persecuted and jailed in accordance to the law of the land.
lazima ushike adabu na ukome kuropokaropoka hovyohovyo![]()
jikite kwenye hoja bila mihemko wala matusi gentlemanWewe Hauna akili Hata kidogo kummko

Mungu ni wa kila mwanadamu gentleman,Kwahiyo Mungu anawapigania machawa na watekaji?

zingatia maelezo bila kuweweseka gentleman,Mkuu wakosea sana ukiendelea kuwa na fikra kama hizi.
Funguka mawazo nenda ndani pokea mawazo mbadala na uwe tiyari kusikiliza kauli kali za wapinzani wako. Yale chanya wachukua na yale hasi wapuuzia na maisha yaendelea usiwe mbangibangi.
Mbona watu kama Julius Malema au yule Bolsonaro wapiga kelele wee lakini hawaendi kokote?
Wadhani Julius Malema ataweza kuwa raisi wa Afrika Kusini?
Take it easy man, relax.
This guy has life changing injuries and in need of medical assistance at all times as well as his mental health because he is in staying in very confined space in a cell, just for well articulated and brushed fabricated case against him
So, why don't you be courageous as he is and show decency in your comments?.

hakuna haja ya mihemko na kuporomosha matusi gentleman, changia hoja kwa stahaRubbish!!
Kwa hiyo wewe hata kiongozi akimfi....mke wako ni POA kwa sababu ni mamlaka imetoka kwa mungu
Hongera sana Bosi,,

acha akili imkae sawa kwanza huyo kibaraka,Lete neno moja tu aliloropoka. Unalipwa kwa ajili ya kuuwa unajiona ni immortal in the Earth.

relax bas na usiweweseke sana gentlemanHakuna litakalo mtokea Lissu kati ya hayo yote uliyopendekeza.

Take it easy, life is too short.zingatia maelezo bila kuweweseka gentleman,
wahalifu ni muhimu wakashikishwa adabu kulingana na mamkosa yao kwa mujibu wa sheria.
hakuna haja ya kubabaika na story na porojo za pata potea![]()
hakuna haja ya ramli gentleman,Take it easy, life is too short.
You could be crossing the road tomorrow au uko kwenye V8 yako tukufu and mara paa umepaishwa na lori.
Baadae Matanga na mtondogoo maziko.
Relax.

I insist, relax.hakuna haja ya ramli gentleman,
zingatia maelezo yangu muhimu ya msingi,
hizo nonsense nyingine ni useless kwangu![]()
puppets and political bandits must be jailedI insist, relax.
Take a glass of wine and toss chears to Tundu Lissu.

Yupo Mungu anaempigania nani?Hayupo Mungu atayempigania Lissu.
Tundu Lissu neither puppet nor bandit, relax.puppets and political bandits must be jailed![]()
Mbwa kala mbwaChama cha CCM mtandao ni mafia, wanajua Samia asipokuwa Rais mambo yao mengi yatapata vikwazo. Kwa hiyo CCM mtamdao kwa gharama yoyote ni lazima Lissu ahukumiwe kunywagwa na Samia awe Rais.
Je Watanganyika tunakubali haya mambo yatokee? Ni kweli Lissu ni mhaini? Je kuomba Reforms ni Uhaini? Kuwaambia wananchi wasusie uchaguzi ni Uhaini?
Vitu vingine unaongea kama umekatwa kichwa huyo Mungu ni wa kwako kwa wengine hapana...Hayupo Mungu atayempigania Lissu.