Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Mimi nadhani waachwe tu as long as hakuna aliyewakopesha wala kuwapa mtaji acha wafanye wanachokitaka ukiweza wahame.

Nina binamu yangu mwaka 2019 aliajiriwa pale Buguruni kwenye kiwanda chao wale wapemba walimbagua vibaya jamaa aliondoka hata miezi sita hakumaliza,alikuwa akiingia chooni hawaingii wao mpaka wamuite mfanya usafi aje asafishe na wanamuita kabisa akiwa anaona,Waafrika kubaguana kwa vitu vya kijinga kwa sababu ya hizi dini kunaivuruga sana jamii.

Ukweli ni huo.
 
Hawa jamaa most of wafanyakazi wao ni wale wenye majina ya suruali fupi.

Most of guys wenye majina tofauti na hayo ni labda wenye special skills au reputation nzito ndio wako pale.

Angalia viwandani mwao wafanyakazi wa kike wengi na vitambaa kichwani.

Angalia tamthilia zao nyingi ni zile za ku-glorify itikadi yao.

Siku moja basi walete na tamthilia ya historia ya Yeshua kama walivyofanya kutuletea ya mtume. Too bad it cant happen.

Bias and unproffesional, sishangai kwa entity ya itikadi ile.
Pumbavu zako, kwani Azam ni ya Serikali, kampuni lake mwenyewe unataka umpangie wewe cha kufanya. Angalia Emanuel tv.
 
Hawa jamaa most of wafanyakazi wao ni wale wenye majina ya suruali fupi.

Most of guys wenye majina tofauti na hayo ni labda wenye special skills au reputation nzito ndio wako pale.

Angalia viwandani mwao wafanyakazi wa kike wengi na vitambaa kichwani.

Angalia tamthilia zao nyingi ni zile za ku-glorify itikadi yao.

Siku moja basi walete na tamthilia ya historia ya Yeshua kama walivyofanya kutuletea ya mtume. Too bad it cant happen.

Bias and unproffesional, sishangai kwa entity ya itikadi ile.
Hiyo ni ya Mzanzibari na wazanzibari karibu wote ni wabaguzi, angalia yanayoendelea awamu hii ya sita, uvaajinwa maushungi umeongezeka kwa kasi maofisini na kila mwanamke mteule wa rais anajitahidi kuvaa kama rais ili aonekane ni mwenzake na afikiriwe zaidi. Teuzi na nafasi nyingi za ajira wanapewa wazanzibari na waumin
 
Mimi nadhani waachwe tu as long as hakuna aliyewakopesha wala kuwapa mtaji acha wafanye wanachokitaka ukiweza wahame.

Nina binamu yangu mwaka 2019 aliajiriwa pale Buguruni kwenye kiwanda chao wale wapemba walimbagua vibaya jamaa aliondoka hata miezi sita hakumaliza,alikuwa akiingia chooni hawaingii wao mpaka wamuite mfanya usafi aje asafishe.
Too sad
 
Najua serikalini na bungeni wakristo ni wengi kuliko waislamu basi upelekwe muswada bungeni na ipitishwe sheria ya kuwataka wawekezaji waajiri 75% wakristo na hiyo iliyobaki ndiyo waajiriwe wengine.
Nafikiri huo ubaguzi mnaolalamika dhidi ya Bakhressa utakuwa umepata ufumbuzi.
 
Hiyo ni ya Mzanzibari na wazanzibari karibu wote ni wabaguzi, angalia yanayoendelea awamu hii ya sita, uvaajinwa maushungi umeongezeka kwa kasi maofisini na kila mwanamke mteule wa rais anajitahidi kuvaa kama rais ili aonekane ni mwenzake na afikiriwe zaidi. Teuzi na nafasi nyingi za ajira wanapewa wazanzibari na waumin
V
 
Mimi nadhani waachwe tu as long as hakuna aliyewakopesha wala kuwapa mtaji acha wafanye wanachokitaka ukiweza wahame.

Nina binamu yangu mwaka 2019 aliajiriwa pale Buguruni kwenye kiwanda chao wale wapemba walimbagua vibaya jamaa aliondoka hata miezi sita hakumaliza,alikuwa akiingia chooni hawaingii wao mpaka wamuite mfanya usafi aje asafishe.
Brother lazima ujue matumizi sahihi ya choo hususan haja ndogo sio unaenda unaposti tu umesimama mlangoni taratibu lazima zifuatwe ili kukwepa najisi.
 
Hawa jamaa most of wafanyakazi wao ni wale wenye majina ya suruali fupi.

Most of guys wenye majina tofauti na hayo ni labda wenye special skills au reputation nzito ndio wako pale.

Angalia viwandani mwao wafanyakazi wa kike wengi na vitambaa kichwani.

Angalia tamthilia zao nyingi ni zile za ku-glorify itikadi yao.

Siku moja basi walete na tamthilia ya historia ya Yeshua kama walivyofanya kutuletea ya mtume. Too bad it cant happen.

Bias and unproffesional, sishangai kwa entity ya itikadi ile.
Maa
 
Back
Top Bottom