Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,559
- 121,443
Wanabodi,
Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.
Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.
Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, ndani ya Bunge la JMT. Yeye alisema idadi ya wabunge Waislamu ni asilimia 6%, hii maana yake wabunge Wakristo ni asilimia 94%!, nilimbishia nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.
Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga
Baada ya kumpinga with data estimates only kwa kutumia sampling ya wabunge wa Zanzibar tuu ndani ya Bunge la JMT ambao wote ni Waislamu, idadi hiyo ni over and above hiyo 6%! ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.
Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Mkuu Maalim Mohamed Said ametoa hoja ya msingi sana na ameuliza
1. ama Waislamu wajinga
2. ama akili yao haifanyi kazi,
3. ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu,
4. ama kuna kitu.
5. Kisha akamuomba Waziri anayehusika, ajitokeze na aseme kwa hali ilivyo kama Waislamu wameumbwa wajinga.''
6. Mwisho ndipo kwenye hoja za bandiko hili, Maalim Mohamed Said amesema "huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi"
Conclusion yake ni kuwa matokeo hayo kwa Waislamu ni wanafanyiwa dhulma, serikali wanajua kuhusu dhulma hiyo ila ni muhali kwa serikali kukiri kuhusu Waislamu kufanyiwa dhulma, hapa kwenye dhulma mimi ndipo nataka tuanze napo!.
Hatua ya kwanza ni authentication ya hizi data, kanuni ya kutoa data zozote ni lazima utaje source!, nauliza jee hizi data ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?.
Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje maana kwenye sensa ya watu na makazi, hakuna hojaji ya dini?!, sasa mtu utajuaje idadi ya Wakristo na Waislamu kwenye mtihani wa darasa la 7?!. Naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia kigezo cha majina ya Kiislamu na Kikristu!.
Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.
Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kulitatua tatizo hilo!. Watanzania ni watu wamoja, haiwezekani tujione wamoja kumbe kuna wenzetu wanafanyiwa dhulma kubwa ya kihivi, huku kuna watu ndani ya serikali yetu wanafanya dhulma hii!, huku kuna watu ndani ya serikali yetu wanajua kuhusu dhulma hii, wanaiona dhulma hii na wanainyamazia!. Nashauri kama ni kweli kuna dhulma hii, tuifanyie utafiti wa kina na tukiibaini kwa kuithibisha kwa tafiti, tusiinyamazie, tuikomeshe!.
Huko nyuma niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.
Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling
Na nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
Na nikauliza tena na tena Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?
Kote huko nilikokuwa nauliza, nilipata upinzani mkubwa kwa kunyooshewa vidole vya udini!.
Nashauri ili kukata mzizi wa fitna kuwa kuna jamii inadhulumiwa systematically kwasababu ya dini yao, tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo
1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara Wakristo na Waislamu
3. Idadi ya matajiri Wakristo na Waislamu
4. Auandikishaji wa darasa la kwanza, primary school dropout na Ufaulu wa darasa la Saba wa Wakristo na Waislamu
5. Kujinga na sekondari, dropouts na Ufaulu wa kidato cha 4 wa Wakristo na Waislamu
6. Udahili post secondary education na elimu ya juu kwa Wakristo na Waislamu
7. Asilimia wenye astashahada kati ya Wakristo na Waislamu
8. Asilimia ya wenye Stashahada kati ya Wakristo na Waislamu
9. Asilimia ya wenye Shahada kati ya Wakristo na Waislamu
10. Asilimia ya Shahada za uzamili kati ya Wakristo na Waislamu
11. Asilimia za Shahada za uzamivu kati ya Wakristo na Waislamu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu kwa Wakristo na Waislamu
13. Idadi ya joblessness kwa Wakristo na Waislamu
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu kati ya Wakristo na Waislamu
15. Idadi ya wife materials na husbands material kati ya Wakristo na Waislamu
16. Idadi ya kuoa na kuolewa, na waoaji na waolewaji kati ya Wakristo na Waislamu
17. Utulivu kwenye ndoa kati ya Wakristo na Waislamu
18. Idadi ya broken homes kati ya Wakristo na Waislamu
19. Idadi ya single mothers kati ya Wakristo na Waislamu
20. Wanaume wanaotekeza watoto kati ya Wakristo na Waislamu
Amini usiamini, matokeo ya tafiti hizi, kwanza yata surprise wengi, na hapa sasa ndipo nitafungua jicho la kuangazia tatizo, na japo matokeo hayo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo kwenye jamii yetu, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.
Paskali
Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.
Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.
Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, ndani ya Bunge la JMT. Yeye alisema idadi ya wabunge Waislamu ni asilimia 6%, hii maana yake wabunge Wakristo ni asilimia 94%!, nilimbishia nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.
Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga
Baada ya kumpinga with data estimates only kwa kutumia sampling ya wabunge wa Zanzibar tuu ndani ya Bunge la JMT ambao wote ni Waislamu, idadi hiyo ni over and above hiyo 6%! ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.
Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hiziUnasema shule za Wakristo zimetaifishwa ili Waislam wasome.
Inaelekea hujui yaliyokuwa ndani ya Wizara ya Elimu na NECTA.
Angalia mfano huu na haya yamekuwa yakitendeka bila hofu:
Ninayo ripoti ya mwaka huu.
Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu.
Asilimia 29 ni wengine. Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21.
Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe.
Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21.
Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu.
Sasa namwomba Waziri anayehusika, aseme kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga.''
Lakini huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi.
Mkuu Maalim Mohamed Said ametoa hoja ya msingi sana na ameuliza
1. ama Waislamu wajinga
2. ama akili yao haifanyi kazi,
3. ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu,
4. ama kuna kitu.
5. Kisha akamuomba Waziri anayehusika, ajitokeze na aseme kwa hali ilivyo kama Waislamu wameumbwa wajinga.''
6. Mwisho ndipo kwenye hoja za bandiko hili, Maalim Mohamed Said amesema "huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi"
Conclusion yake ni kuwa matokeo hayo kwa Waislamu ni wanafanyiwa dhulma, serikali wanajua kuhusu dhulma hiyo ila ni muhali kwa serikali kukiri kuhusu Waislamu kufanyiwa dhulma, hapa kwenye dhulma mimi ndipo nataka tuanze napo!.
Hatua ya kwanza ni authentication ya hizi data, kanuni ya kutoa data zozote ni lazima utaje source!, nauliza jee hizi data ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?.
Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje maana kwenye sensa ya watu na makazi, hakuna hojaji ya dini?!, sasa mtu utajuaje idadi ya Wakristo na Waislamu kwenye mtihani wa darasa la 7?!. Naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia kigezo cha majina ya Kiislamu na Kikristu!.
Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.
Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kulitatua tatizo hilo!. Watanzania ni watu wamoja, haiwezekani tujione wamoja kumbe kuna wenzetu wanafanyiwa dhulma kubwa ya kihivi, huku kuna watu ndani ya serikali yetu wanafanya dhulma hii!, huku kuna watu ndani ya serikali yetu wanajua kuhusu dhulma hii, wanaiona dhulma hii na wanainyamazia!. Nashauri kama ni kweli kuna dhulma hii, tuifanyie utafiti wa kina na tukiibaini kwa kuithibisha kwa tafiti, tusiinyamazie, tuikomeshe!.
Huko nyuma niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.
Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling
Na nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
Na nikauliza tena na tena Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?
Kote huko nilikokuwa nauliza, nilipata upinzani mkubwa kwa kunyooshewa vidole vya udini!.
Nashauri ili kukata mzizi wa fitna kuwa kuna jamii inadhulumiwa systematically kwasababu ya dini yao, tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo
1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara Wakristo na Waislamu
3. Idadi ya matajiri Wakristo na Waislamu
4. Auandikishaji wa darasa la kwanza, primary school dropout na Ufaulu wa darasa la Saba wa Wakristo na Waislamu
5. Kujinga na sekondari, dropouts na Ufaulu wa kidato cha 4 wa Wakristo na Waislamu
6. Udahili post secondary education na elimu ya juu kwa Wakristo na Waislamu
7. Asilimia wenye astashahada kati ya Wakristo na Waislamu
8. Asilimia ya wenye Stashahada kati ya Wakristo na Waislamu
9. Asilimia ya wenye Shahada kati ya Wakristo na Waislamu
10. Asilimia ya Shahada za uzamili kati ya Wakristo na Waislamu
11. Asilimia za Shahada za uzamivu kati ya Wakristo na Waislamu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu kwa Wakristo na Waislamu
13. Idadi ya joblessness kwa Wakristo na Waislamu
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu kati ya Wakristo na Waislamu
15. Idadi ya wife materials na husbands material kati ya Wakristo na Waislamu
16. Idadi ya kuoa na kuolewa, na waoaji na waolewaji kati ya Wakristo na Waislamu
17. Utulivu kwenye ndoa kati ya Wakristo na Waislamu
18. Idadi ya broken homes kati ya Wakristo na Waislamu
19. Idadi ya single mothers kati ya Wakristo na Waislamu
20. Wanaume wanaotekeza watoto kati ya Wakristo na Waislamu
Amini usiamini, matokeo ya tafiti hizi, kwanza yata surprise wengi, na hapa sasa ndipo nitafungua jicho la kuangazia tatizo, na japo matokeo hayo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo kwenye jamii yetu, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.
Paskali