Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Mimi ni Mkatoliki. Lakini marafiki zangu wengi ni Waislam. Tena wengine tumefikia hatua ya kuwa kama ndugu. Hao waislam wenye msimamo huu watakuwa wana matatizo bila shaka.
Wapo wengi, hao unaowasema wanaonekana na wenzao kama sio waislamu. Mm pia ninao Ila wanaonekana kama sio waislamu
 
YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR

YESU NI MUNGU
Chukua na picha kusindikizia comment yako..
IMG_20230301_123627.jpg
 
Unajifunga moja kwa moja wapi uislamu unaruhusu ubaguzi .

Mbona pale KCMC Tuliacha kulea shobo japo serikali inayoa ruzuku
Uislamu unaruhusu ubaguzi 100% kama wewe siyo muislamu ukachanganya nao basi utabaguliwa kwa kila kitu. Siyo kama watakufanyia matendo mema ili uvutiwe uslimu hapana. Watakutenga kama chakula, hawatataka ule nao, kulala hivyo hivyo, kupiga nao story hawataki na wanatengeneza umoja wao.
Muislam ndugu yao ni muislam.
 


Kama una muda msikilize huyu, anaelezea Jewish economy as a Jewish expert.

Ndege wanaofanana huruka kundi moja, very natural...
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Yeye ndiye amepanga hvyo alaf unasema alichunguze , huwa wanaelekezwa ni haramu kumruka muislamu mwenzako dhidi ya kafri
 
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Sasa wewe unataka kumpangia cha kufanya, yaani aache kusaidia Waislamu wenzake sio, hata wewe huwezi kuacha kusaidia ndugu zako.
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Tupia vyeti vyako tuvione
 
Upuuzi mtupu! Nani aliwaambia mbinguni kuna kuoa au kutolewa au kuna kula na kunywa? Hawa watu watafute namna ya kwenda mbinguni wakaone huo uongo waliodanganywa na huyo Kiongozi wao aliyekufa (Mohammed)
Hahahahha unapingana mpaka na yesu mlivyo hamjitambui

Hujui yesu nae anaitamani mbingu yenye msosi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Uislamu unaruhusu ubaguzi 100% kama wewe siyo muislamu ukachanganya nao basi utabaguliwa kwa kila kitu. Siyo kama watakufanyia matendo mema ili uvutiwe uslimu hapana. Watakutenga kama chakula, hawatataka ule nao, kulala hivyo hivyo, kupiga nao story hawataki na wanatengeneza umoja wao.
Muislam ndugu yao ni muislam.
Hahahahah umeulizwa swali umejibu utumbo ndivyo hivyo wakristo wanatembea uchi kwa sababu wameamrishwa na dini yao.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Shida ni ma HR na mameneja ukute ata bakhresa mwenyewe haelewi haya mambo
 
Back
Top Bottom