Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
Nina kerwa na hata kuumizwa na vijana wajinga wa JF hata kama wana haki ya kusema maoni hapa . Ni ujinga na ujuha mtu kukaa na kuombea Chadema ife kwa sababu yeye ni mtoto wea Fisadi ana ndoa mafisadi . Laana nyie watoto na hamjui hukumu yenu mbele . Zitto na wapambe wake na Chadema na wapambe wake need to be more careful . Hapa hakuna cha Zitto kama ndugu yetu na Chadema kama Chama . Hapa ni Tanzania yangu kwanza .
Zitto na Chadema kwa ujumla mmeleta matumaini makubwa kwa watanzania na si siri ni Chadema na CCM na si chama chochote kile. Zitto popote ulipo mkuu wangu fikiria sana . Ulismama kidete kwa issue kibao kuanzia Chacha Wangwe hadi Uenyekiti huwezi kushindwa kukaa na Chama chako . Nasema Chama chako kwa kuwa wakati unaanza watu walikuita kichaa nk . Walikuita kila aina ya majina na akina Mtei na Bob Makani na wale wote walio jaribu upinzani . Zitto kumbuka mikutano yenu pale Mnazi mmoja walikuwa wanakuja watu wa aina na hata support haikuwepo kwa watanzania .watu wenye akili mbovu kama hizi zinazo kuchochea hapa ndiyo walikiuwa wanakuzomeeni siku zile .
Leo mmesimamisha Chama lazima wote ambao wanachochea migogoroi ama ndani ya Chadema ama nje walaaniwe na wasikufanye ukavunjika moyo na kuacha Chadema .
Nilitegemea watu wahoji kisa kwa Zitto na Chadema kwa undani kwa nia ua kuijenda Chadema kwa instituatuon yenye heshika kumbe ujinga unazidi kuhubiriwa hapa .Nasema ujinga ndiyo maana mods mnaachia wapumbavu wanatumia jukwaa hili vibaya .Kila leo ni ku twist story na kumtukana Zitto na kuleta uchonganishi . Ujingatumechoka . FMES anaimba kila siku Tanzania kwanza yeye pamoja na kuwa ni CCM damu anasema Chadema hapana si wakati huu lakini sijui wengine ni kula kulala wanaendeleza kuchochea upuuzi .
Mnisamehe kwa lugha hii lakini JF inatakuwa kutafuta suluhu ya matatizo ya Nchi ikiwa ni pamoja kuisaidia Chadema chama cha Vijana na tumaini jipya .Tunaweza kusema kwa kujenga na Chadema na Zitto wakasikia . Kukosana ni kawaida kama kuna mapungufu Slaa , Mbowe take Charge mwiteni Zitto muelezane tuache upuuzi hapa .
Kuna tabia ya names calling mara wakatoliki nk . Hii ni kukosea watu heshima na Mods nashangaa mnakaa kimya . Je nasi tuanze kuita majina ya ajabu hapa ?
Nimewakwaza wastaarabu wengine wa JF mnisamehe lakini pia naamini mnaelewa naongelea nini .
Zitto na Chadema kwa ujumla mmeleta matumaini makubwa kwa watanzania na si siri ni Chadema na CCM na si chama chochote kile. Zitto popote ulipo mkuu wangu fikiria sana . Ulismama kidete kwa issue kibao kuanzia Chacha Wangwe hadi Uenyekiti huwezi kushindwa kukaa na Chama chako . Nasema Chama chako kwa kuwa wakati unaanza watu walikuita kichaa nk . Walikuita kila aina ya majina na akina Mtei na Bob Makani na wale wote walio jaribu upinzani . Zitto kumbuka mikutano yenu pale Mnazi mmoja walikuwa wanakuja watu wa aina na hata support haikuwepo kwa watanzania .watu wenye akili mbovu kama hizi zinazo kuchochea hapa ndiyo walikiuwa wanakuzomeeni siku zile .
Leo mmesimamisha Chama lazima wote ambao wanachochea migogoroi ama ndani ya Chadema ama nje walaaniwe na wasikufanye ukavunjika moyo na kuacha Chadema .
Nilitegemea watu wahoji kisa kwa Zitto na Chadema kwa undani kwa nia ua kuijenda Chadema kwa instituatuon yenye heshika kumbe ujinga unazidi kuhubiriwa hapa .Nasema ujinga ndiyo maana mods mnaachia wapumbavu wanatumia jukwaa hili vibaya .Kila leo ni ku twist story na kumtukana Zitto na kuleta uchonganishi . Ujingatumechoka . FMES anaimba kila siku Tanzania kwanza yeye pamoja na kuwa ni CCM damu anasema Chadema hapana si wakati huu lakini sijui wengine ni kula kulala wanaendeleza kuchochea upuuzi .
Mnisamehe kwa lugha hii lakini JF inatakuwa kutafuta suluhu ya matatizo ya Nchi ikiwa ni pamoja kuisaidia Chadema chama cha Vijana na tumaini jipya .Tunaweza kusema kwa kujenga na Chadema na Zitto wakasikia . Kukosana ni kawaida kama kuna mapungufu Slaa , Mbowe take Charge mwiteni Zitto muelezane tuache upuuzi hapa .
Kuna tabia ya names calling mara wakatoliki nk . Hii ni kukosea watu heshima na Mods nashangaa mnakaa kimya . Je nasi tuanze kuita majina ya ajabu hapa ?
Nimewakwaza wastaarabu wengine wa JF mnisamehe lakini pia naamini mnaelewa naongelea nini .