Ilikuwaje Jeshi la Polisi nchini likamvumulia "gaidi" Mbowe bila kumkamata tokea mwaka Jana walipogundua njama zake za ugaidi?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,483
30,155
Kwa taarifa tunayopewa na Jeshi la Polisi nchini, kuhusu tuhuma za ugaidi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni kuwa alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, Katika hoteli yake ya Aishi, iliyopo huko mkoani Kilimanjaro, Kati ya mwezi May na August mwaka Jana.

Swali la kwanza ninalowauliza hao Polisi wetu ni kwanini huku mkijua kuwa "gaidi" Mbowe, alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta nchini, tokea mwaka Jana, mkamuachia akawa anaendelea na shughuli zake, hadi majuzi wakati anaandaa kongamano la Katiba mpya ndiyo mkamkamata?

Kama jukumu lenu na 1 nchini ni kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, je kwa kumwachia "gaidi" Mbowe atanue anavyotaka, hivi hamjui hatari kubwa mno mliosababisha wa usalama wa raia n a mali zao wa nchi hii?

Swali la pili kwa hao Polisi wetu, iwapo ni kweli kuwa "gaidi" Mbowe alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, ni kwanini hamjakitaja angalau kituo kimoja, Kati ya hivyo vilivyopangwa kulipuliwa?

Swali la tatu ninalowauliza hao Polisi wetu, mmetueleza kuwa "gaidi" Mbowe alikuwa akifadhili vitendo hivyo vya kigaidi, lakini hamkutujulisha ni kwa kiwango gani cha pesa alichofadhili Katika kipindi hicho?

Kama kweli Jeshi la Polisi linao huo ushahidi, kama alivyojitapa IGP Sirro, tunaliomba Jeshi hilo lijitokeze hadharani na kunijibia maswali yangu hayo.

Ni dhahiri kama Jeshi la Polisi lisipojitokeza hadharani na kunijibia maswali yangu, basi wananchi tulio wengi tutaamini kuwa kesi hii ni ya kisiasa na ya kubambika.
 
Nakwambia mwisho wa hii kesi ni aibu kwa watawala, nadhani hadi sasa wanafikiria waitose vipi kwani, kinachoendelea sasa ni aibu, na imemuondolea sana mama points, kwa wananchi!!kwani IGP, akauaminisha umma kuwa ushahidi umekamilika, juzi mahakamani hao hao tena wanasema ushahidi bado!!hivi kweli mwendazake alivyokuwa na chuki na mbowe kwa tuhuma hizi angemuacha kweli?!!kwani hao anaohusishwa nao wako ndani muda mrefu tu!!mala kutaka kuwaua viongozi ila hilo kosa kwa sasa halipo!

Ni suala la muda tu na ndio maana unaona hata mabeberu yapo mahakamani, yanaifuatilia kwa karibu sana, usije shangaa kabla hata ya hukumu wakaona isiwe shida DPP, tumia mamlaka yako, ili ionekane serikali ni wasafi!!!kweli tatizo la nchi hii wala sio kiongozi bali ni li CHAMA LENYEWE!!hata umuweke maraika , wakati waliomzunguka ni kama mzee wa hamieni BURUNDI, atakuwa shetani tu!

Na MWENDAZAKE MASALIA, wanafurahia tu, kwani mama alianza kupendwa sana na wapinzani, na ccm wachache, sasa huku ameshaanza kuwatia mashaka, MWENDAZAKE MASALIA, wao wanazidi kuchochea kuni tu, ili azidi kuharibikiwa na maono yao yaonekane sahihi kuwa Mama hakuwa na uwezo wa kuongoza kama wanavyodai!

Ndio maana kila kitu kikitokea utawasikia angekuwepo meko hiki kisingepanda bei!!!Ila kwa hili la Mbowe wamejichanganya sana!!unasema kesi za kubambikiza zote ziishe , hapo hapo mnaanzisha nyingine mpya?!!
 
Tatizo kongamano la Katiba Mpya, Mbowe alipoondoka kwenye msiba wa ndugu yake Moshi kuelekea Mwanza baada ya kukamatwa kina Prof. Lwaitama na Askofu Mwamakula, akatangaza kufanya kongamano after two days kama polisi wakitaka wamkamate huo ndio mwanzo wa hii habari ya kutunga ya ugaidi.
 
Professor Kabudi alitamka wazi kuwa Azori Gwanda amepotea na amesha kufa. Tanzania bado iko kwenye amber scores juu ya Uhuru wa kujieleza, uhuru wa wanasiasa hasa wa upinzani kufanya mikutano ya hadhara, na kukamata na kuweka wakosoaji wa serikali gerezani hovyo.

Tukiwa bado kwenye amber Kiongozi wa Upinzani anawekwa ndani na mashataka yake bado yanaandaliwa.
 
Ninavyoona kelele nyingi za shinikizo la kumuachia Mwenyekiti wa kudumu zitasababisha aendelee kushikiliwa na kuimarisha ushahidi kwani akiachiwa tu wataleta Yale maneno ya wametuogopa nk.jambo ambalo litaleta mtindo wa mazoea ambao kesho yake hatakuwa salama.

Endapo Polisi wataamua kujibu hoja au kuweka ushahidi kwenye kila mitandao ya kijamii wataharibu ushahidi na watakuwa wamekiuka Sheria ya ushahidi.

Ni vigumu sana kuamini hasa Katika mambo ambayo hatuna ujuzi nayo mfano kufadhili ugaidi ni aina ya makosa ambayo yanaweza kufanywa na watu ambao huwezi kuwadhania muhimu ni kusubiri ushahidi utakao tolewa mahakamani ili tuuchambue nje ya mahakama hata kama wataweka zile technicality zao za kisheria bado tunauwezo wa kutambua mbichi na mbivu
 
Ninavyoona kelele nyingi za shinikizo la kumuachia Mwenyekiti wa kudumu zitasababisha aendelee kushikiliwa na kuimarisha ushahidi kwani akiachiwa tu wataleta Yale maneno ya wametuogopa nk.jambo ambalo litaleta mtindo wa mazoea ambao kesho yake hatakuwa salama...
Iweje akamatwe wakati akiwa katika harakati za kudai katiba mpya?
 
Ninavyoona kelele nyingi za shinikizo la kumuachia Mwenyekiti wa kudumu zitasababisha aendelee kushikiliwa na kuimarisha ushahidi kwani akiachiwa tu wataleta Yale maneno ya wametuogopa nk.jambo ambalo litaleta mtindo wa mazoea ambao kesho yake hatakuwa salama...
Kama kuna kitu chochote unawaamini hawa watu,basi utakuwa na tatizo la msingi na utendaji wa ubongo ndugu.
 
Ninavyoona kelele nyingi za shinikizo la kumuachia Mwenyekiti wa kudumu zitasababisha aendelee kushikiliwa na kuimarisha ushahidi kwani akiachiwa tu wataleta Yale maneno ya wametuogopa nk.jambo ambalo litaleta mtindo wa mazoea ambao kesho yake hatakuwa salama...
Swali moja tu jepesi nikuulize, kwa namna Dunia nzima inavyolichukulia kwa uzito mkubwa Sana la ugaidi kuwa ni la hatari mno, ndiyo maana nimewauliza swali hao Polisi, kama wanadai Mbowe ni gaidi, ni kitu gani kiliwafanya wasimkamate siku zote hizo, hadi ilipofika siku ya kuandaa kongamano, tena wamemvamia hotelini kwake saa 8 za usiku??
 
Huyu Rais Samia Suluhu Hassan, "amebugi step" Sana Katika suala hili la Mbowe, wakati yeye mwenyewe tulimsikia akiwaonya hao Polisi wake, waache kuwabambikia kesi raia wasio na hatia, wakati huo huo yeye mwenyewe "anabariki" kubambikiwa kwa kesi ya ugaidi kwa Mbowe!
 

Kwa taarifa tunayopewa na Jeshi la Polisi nchini, kuhusu tuhuma za ugaidi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni kuwa alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, Katika hoteli yake ya Aishi, iliyopo huko mkoani Kilimanjaro, Kati ya mwezi May na August mwaka Jana


Swali la kwanza ninalowauliza hao Polisi wetu ni kwanini huku mkijua kuwa "gaidi" Mbowe, alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta nchini, tokea mwaka Jana, mkamuachia akawa anaendelea na shughuli zake, hadi majuzi wakati anaandaa kongamano la Katiba mpya ndiyo mkamkamata?

Kama jukumu lenu na 1 nchini ni kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, je kwa kumwachia "gaidi" Mbowe atanue anavyotaka, hivi hamjui hatari kubwa mno mliosababisha wa usalama wa raia n a mali zao wa nchi hii?

Swali la pili kwa hao Polisi wetu, iwapo ni kweli kuwa "gaidi" Mbowe alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, ni kwanini hamjakitaja angalau kituo kimoja, Kati ya hivyo vilivyopangwa kulipuliwa?

Swali la tatu ninalowauliza hao Polisi wetu, mmetueleza kuwa "gaidi" Mbowe alikuwa akifadhili vitendo hivyo vya kigaidi, lakini hamkutujulisha ni kwa kiwango gani cha pesa alichofadhili Katika kipindi hicho?

Kama kweli Jeshi la Polisi linao huo ushahidi, kama alivyojitapa IGP Sirro, tunaliomba Jeshi hilo lijitokeze hadharani na kunijibia maswali yangu hayo

Ni dhahiri kama Jeshi la Polisi lisipojitokeza hadharani na kunijibia maswali yangu, basi wananchi tulio wengi tutaamini kuwa kesi hii ni ya kisiasa na ya kubambika
 
CDM wanadhani Gaidi Mbowe ni malaika huyu ni Gaidi aliyecheleweshwa

Amejibu mdau






Unaweza hata ukaachiwa kuua ilituuu uchunguzi kuendelea kwako na wahisani Zaid kuendelea kujulikana
 
Iweje akamatwe wakati akiwa katika harakati za kudai katiba mpya?
Ulitaka akamatwe akiwa msalani, au? Maana hata angekuwa kanisani ungeuliza kwanini akamatwe akiwa kwenye ibada! Kwani ni mpaka wakati gani Gaidi anakamatwa?
 
Kwa taarifa tunayopewa na Jeshi la Polisi nchini, kuhusu tuhuma za ugaidi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni kuwa alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, Katika hoteli yake ya Aishi, iliyopo huko mkoani Kilimanjaro, Kati ya mwezi May na August mwaka Jana

Swali la kwanza ninalowauliza hao Polisi wetu ni kwanini huku mkijua kuwa "gaidi" Mbowe, alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta nchini, tokea mwaka Jana, mkamuachia akawa anaendelea na shughuli zake, hadi majuzi wakati anaandaa kongamano la Katiba mpya ndiyo mkamkamata?

Kama jukumu lenu na 1 nchini ni kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, je kwa kumwachia "gaidi" Mbowe atanue anavyotaka, hivi hamjui hatari kubwa mno mliosababisha wa usalama wa raia n a mali zao wa nchi hii?

Swali la pili kwa hao Polisi wetu, iwapo ni kweli kuwa "gaidi" Mbowe alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, ni kwanini hamjakitaja angalau kituo kimoja, Kati ya hivyo vilivyopangwa kulipuliwa?

Swali la tatu ninalowauliza hao Polisi wetu, mmetueleza kuwa "gaidi" Mbowe alikuwa akifadhili vitendo hivyo vya kigaidi, lakini hamkutujulisha ni kwa kiwango gani cha pesa alichofadhili Katika kipindi hicho?

Kama kweli Jeshi la Polisi linao huo ushahidi, kama alivyojitapa IGP Sirro, tunaliomba Jeshi hilo lijitokeze hadharani na kunijibia maswali yangu hayo

Ni dhahiri kama Jeshi la Polisi lisipojitokeza hadharani na kunijibia maswali yangu, basi wananchi tulio wengi tutaamini kuwa kesi hii ni ya kisiasa na ya kubambika
Hili la Mh. Mbowe linazidi kuonesha wengi walioko gerezani kwa tuhuma za ugaidi wamo kwa sababu zipi. Zilipita kashfa na dhihaka nyingi humu kuhusu "magaidi" ila muda ni mwalimu.
 
Ccm ilishashindwa siku nyingi kuongoza nchi.
Sasa inatumia kivuli cha vyombo vya dora na vingine wasije kuonekana kama nchi inayoendeshwa kijeshi.

Sio leo hata kesho nchi itakuja kuingia kwenye historia ambayo ndio itakuwa mwisho wa ccm kufa na kupotea kabisa huku wakituacha mabovu kabisa
 
Kwa taarifa tunayopewa na Jeshi la Polisi nchini, kuhusu tuhuma za ugaidi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni kuwa alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, Katika hoteli yake ya Aishi, iliyopo huko mkoani Kilimanjaro, Kati ya mwezi May na August mwaka Jana

Swali la kwanza ninalowauliza hao Polisi wetu ni kwanini huku mkijua kuwa "gaidi" Mbowe, alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta nchini, tokea mwaka Jana, mkamuachia akawa anaendelea na shughuli zake, hadi majuzi wakati anaandaa kongamano la Katiba mpya ndiyo mkamkamata?

Kama jukumu lenu na 1 nchini ni kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, je kwa kumwachia "gaidi" Mbowe atanue anavyotaka, hivi hamjui hatari kubwa mno mliosababisha wa usalama wa raia n a mali zao wa nchi hii?

Swali la pili kwa hao Polisi wetu, iwapo ni kweli kuwa "gaidi" Mbowe alipanga njama za kulipua vituo vya mafuta, ni kwanini hamjakitaja angalau kituo kimoja, Kati ya hivyo vilivyopangwa kulipuliwa?

Swali la tatu ninalowauliza hao Polisi wetu, mmetueleza kuwa "gaidi" Mbowe alikuwa akifadhili vitendo hivyo vya kigaidi, lakini hamkutujulisha ni kwa kiwango gani cha pesa alichofadhili Katika kipindi hicho?

Kama kweli Jeshi la Polisi linao huo ushahidi, kama alivyojitapa IGP Sirro, tunaliomba Jeshi hilo lijitokeze hadharani na kunijibia maswali yangu hayo

Ni dhahiri kama Jeshi la Polisi lisipojitokeza hadharani na kunijibia maswali yangu, basi wananchi tulio wengi tutaamini kuwa kesi hii ni ya kisiasa na ya kubambika
Hawana lolote zaidi ya WATAWALA KUMNYAMAZISHA KISA KATIBA MPYA HAIINGII AKILI MBOWE AWE GAIDI ASIKAMATWE SIKU ZOTE HILO HALI WAHUSIKA WAMEKAMATWA
 
Back
Top Bottom