Uchaguzi 2020 Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

Heshima uliokuwa nayo haipo tena mkuu umechuja sana, kwanini usiishauri tume ya uchaguzi ihesabu kura kwa njia ya wazi kama walivyofanya CCM kwenye kura za maoni kuwe na uwazi badala ya mawakala ambao hutishiwa na kufukuzwa? kwani wagombea wa CCM hawakuweza mawakala kwenye kura za maoni? tuache kukengeuka kwa sababu za maslahi badala ya kuliteteaTaifa letu.
Huu ndo ukweli, hatuna muda wa kumheshimu mnafiki.
 
dhan
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
dhana ya uchaguzi huru na haki ni pana sana mzee wangu
haiishi kwenye uhesabuji wa kura bali ni mfululizo wa matukio yote kuelekea uchaguzi
kwa mfano baba mwenye nyumba kumshawishi mtoto anaesemekana anampenda akamlipie pango mtoto wa kambo
huko ni baba kutafta huruma ya mtoto wa kambo
tume wakemee hilo na ikiwezekana asiruhusiwe kuwa sehemu ya uchaguzi
 
Kubwa jinga ww huna ushauri,ccm wote ni mashetani ukiwemo na wewe,inatakiwa kuchapwa watu kama wewe.
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Umewakata maini!
 
Kaka Paschal huyo aliyekupa uwakili wa kumtetea yeye mwenyewe aliwahi kuwatamkia wateule wake ( wakurungezi) na dunia tukasikia kuwa " Nimekuteua mimi na ninakulipa mshahara halafu nisikie mpinzani amepita kwenye eneo lako hiiiiiii"

Kila siku idadi ya wasema ukweli inapungua tu, tumebakia na Jenerali Ulimwengu tu.
 
Hebu tujifikirishe, hakuna nchi duniani ambayo wapigakura waliojiandikisha ikafika nusu ya idadi ya watu? Vinginevyo tume imeandaa kura za maruhani kwa aliyewateua.
Kama kura zinapigwa kituoni, kuhesabiwa kituoni, na matokeo yote hadi ya urais kubandikwa ubaoni hapo hapo kituoni, hizo kura za maruhani, wataziingizia wapi?, huku kila kituo kuna mawakala wa vyama?.
P
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Maelezo marefu irrelevant yanayotolewa na mtu kipofu wa siasa za tanzania.achana na upuuzi huu wa kujimwambafai
 
Vituo vya kupigia kura viko 88,000 . Maana yake wanahitajika wakala 88,000. Ni nani anawalipa mawakala hawa, NEC au Vyama...
Huhitaji mawakala wote hao 88,000, kwa kila kata unahitaji wakala mmoja tuu, kuna vituo hadi 6, viko eneo moja, kazi ya wakala ni kutumia tuu simu janja na kupiga picha matokeo ya vituo vyote, kisha kufanya independent tallying, na kusubiria matokeo ya NEC, numbers zisipo tally na matokeo ya NEC, kwa vile, they have solid, documentary evidence to prove, then, they have a strong case to argue.
P
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Kaka Paskali umeshasahau kwenye uchaguzi wa marudio wa wabunge jinsi mawakala jinsi wanavyonyimwa form siku moja kabla ya uchaguzi au kutolewa nje yachumba cha kura na kurejeshwa saa nne. Hiki ndiko kitafanyika chini ya polisi.
 
Huhitaji mawakala wote hao 88,000, kwa kila kata unahitaji wakala mmoja tuu, kuna vituo hadi 6, viko eneo moja, kazi ya wakala ni kutumia tuu simu janja na kupiga picha matokeo ya vituo vyote, kisha kufanya independent tallying, na kusubiria matokeo ya NEC, numbers zisipo tally na matokeo ya NEC, kwa vile, they have solid, documentary evidence to prove, then, they have a strong case to argue.
P
Asante Kaka .. lets hope simu janja zitatumika ipasavyo
 
Back
Top Bottom