yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,526
- 1,913
Habari,
Kumekuwa na propaganda zinaendeshwa kuhusu hayati John Pombe Magufuli, kuwa eti aliiba na kupora uchaguzi, propaganda hizi mpk na viongozi waandamimizi wa CCM, waliokuwa na jukumu la kuifanya ccm ishinde liwe jua iwe mvua.
Kama Abdulrahman Kinana, huyu kinana ndie alikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha huo uchaguzi, na yeye eti inafikia ana ahadi uchaguzi ujao utakuwa huru na haki, mambo ya ajabu sana.
Katibu mkuu ndie mkuu wa shughuli zoote za chama,ziwa halali au halamu, leo anaropoka maneno tena. Lkn tena hawa wapinzani sijui ni lini waliwahi kusema uchaguzi ni huru na haki?
Kumekuwa na propaganda zinaendeshwa kuhusu hayati John Pombe Magufuli, kuwa eti aliiba na kupora uchaguzi, propaganda hizi mpk na viongozi waandamimizi wa CCM, waliokuwa na jukumu la kuifanya ccm ishinde liwe jua iwe mvua.
Kama Abdulrahman Kinana, huyu kinana ndie alikuwa katibu mkuu wa CCM kipindi cha huo uchaguzi, na yeye eti inafikia ana ahadi uchaguzi ujao utakuwa huru na haki, mambo ya ajabu sana.
Katibu mkuu ndie mkuu wa shughuli zoote za chama,ziwa halali au halamu, leo anaropoka maneno tena. Lkn tena hawa wapinzani sijui ni lini waliwahi kusema uchaguzi ni huru na haki?