Viongozi CCM na mawaziri wanasema 2020 uchaguzi ule haukuwa wa haki bunge na Mawaziri walitakiwa wajiuzulu kupisha uchaguzi mpya wa haki

Shotocan

JF-Expert Member
Nov 21, 2023
2,204
4,617
Tumekuwa tukisikia kauli mbalimbali za viongozi wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri kuwa uchaguzi ule wa 2020 chini ya Magufuli haukuwa wa kidemokrasia wala haki.

Tunashukuru kwa taarifa. Swala ina maana kuanzia viongozi wote waliochaguliwa uchaguzi ule hawakuingia kihalali kuanzia juu,wabunge hadi Serikali za Mitaa.

Kuzitendea haki nafsi zao na watanzania kwa nini viongozi wote wako madarakani toka hiyo 2020 hawajiuzulu wote kuanzia juu, bunge hadi serikali za mitaa ili uitishwe uchaguzi mpya huru na haki na wa kidemokrasia ili kuwatendea haki watanzania wasiendekee kuongozwa na viongozi waliopita kupitia mfumo usio wa haki na kidemokrasia mara tu baada ya kugundua kuwa wameingizwa kinyume xha haki na demokrasia?

Kwa nini bado wamekalia viti wanawakebehi watanzania kuwa ndiyo uchaguzi haukuwa huru na haki na haukuwa wa kidemokrasia lakini sisi tupo kwenye viti tunaendelea kula pizza na raha za vyeo vya kuingia bila haki wala Demokrasia.

Walitakiwa wajiuzulu wote .Sio lazima kuwa uchaguzi ungesubiriwa 2025.

Soma:
- Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao
 
Wanajidai wanautaka uchaguzi huru na WA haki, wengi wao hawatatoboa 2025.

Hiyo dhuluma ya 2020 ndiyo inawapa jeuri Leo hii.
 
Njaa mbaya sana,
Inawezekana ni njaa na uriho wa madaraka sababu wangekuwa wakweli kwenye nafsi zao kama wanavyosema uchaguzi ule wa 2020 haukuwa huru,haki na wa kidemokrasia wangejiuzulu na kuitisha uchaguzi mpya huru na haki wa kidemokrasia
 
Tumekuwa tukisikia kauli.mbalimbali za viongozi wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri kuwa uchaguzi ule wa 2020 chini ya Magufuli haukuwa wa kidemokrasia wala haki.

Tunashukuru kwa taarifa. Swala ina maana kuanzia viongozi wote waliochaguliwa uchaguzi ule hawakuingia kihalali kuanzia juu,wabunge hadi Serikali za Mitaa.

Kuzitendea haki nafsi zao na watanzania kwa nini viongozi wote wako madarakani toka hiyo 2020 hawajiuzulu wote kuanzia juu, bunge hadi serikali za mitaa ili uitishwe uchaguzi mpya huru na haki na wa kidemokrasia ili kuwatendea haki watanzania wasiendekee kuongozwa na viongozi waliopita kupitia mfumo usio wa haki na kidemokrasia mara tu baada ya kugundua kuwa wameingizwa kinyume xha haki na demokrasia?

Kwa nini bado wamekalia viti wanawakebehi watanzania kuwa ndiyo uchaguzi haukuwa huru na haki na haukuwa wa kidemokrasia lakini sisi tupo kwenye viti tunaendelea kula pizza na raha za vyeo vya kuingia bila haki wala Demokrasia

Walitakiwa wajiuzulu wote .Sio lazima kuwa uchaguzi ungesubiriwa 2025.

Soma:
- Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao
Uchaguzi wa Haki ni 2025,hakuna awamu ya 5 saizi Bali ni awamu ya 6
 
Tumekuwa tukisikia kauli.mbalimbali za viongozi wa CCM na serikali wakiwemo mawaziri kuwa uchaguzi ule wa 2020 chini ya Magufuli haukuwa wa kidemokrasia wala haki.

Tunashukuru kwa taarifa. Swala ina maana kuanzia viongozi wote waliochaguliwa uchaguzi ule hawakuingia kihalali kuanzia juu,wabunge hadi Serikali za Mitaa.

Kuzitendea haki nafsi zao na watanzania kwa nini viongozi wote wako madarakani toka hiyo 2020 hawajiuzulu wote kuanzia juu, bunge hadi serikali za mitaa ili uitishwe uchaguzi mpya huru na haki na wa kidemokrasia ili kuwatendea haki watanzania wasiendekee kuongozwa na viongozi waliopita kupitia mfumo usio wa haki na kidemokrasia mara tu baada ya kugundua kuwa wameingizwa kinyume xha haki na demokrasia?

Kwa nini bado wamekalia viti wanawakebehi watanzania kuwa ndiyo uchaguzi haukuwa huru na haki na haukuwa wa kidemokrasia lakini sisi tupo kwenye viti tunaendelea kula pizza na raha za vyeo vya kuingia bila haki wala Demokrasia

Walitakiwa wajiuzulu wote .Sio lazima kuwa uchaguzi ungesubiriwa 2025.

Soma:
- Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao
January makamba si msaliti tu inawezekana ni jasusi wa marekani ndani ya serikali ya ccm. Yaani anaitafuna ccm ndani kwa ndani na analitafuna taifa ndani kwa ndani.
Hivi kwa yale mapenzi na imani watanzania walionyesha kwa magufuli mtu haoni hata aibu kuzua uongo saizi ya mlima kilimanjaro. Eti uchaguzi 2020 ulikua sio sahihi. Kama mwenyenyewe ndio alihonga kuchaguliwa asiseme ndio kila mtu. Ndio maana wengine tunamuona january makamba kama mtu mjinga amebebwa tu na connection kwenye uongozi wa juu.
Hakika kwa sasa january makamba ni mama wa chawa wote. Yaani anajikorombeza kwa mama hadi kinyaa. Alaaniwe huyu kibaraka mkubwa wa wamarekani ndani ya ccm.😏😭😭 Na wewe unayezuia hii comment jf ulaaniwe.
 
Uchaguzi wa Haki ni 2025,hakuna awamu ya 5 saizi Bali ni awamu ya 6
Awamu ya sasa imetokana kupigiwa kura kwa uchaguzi ule ule wa 2020 ambao viongozi wa CCM na mawaziri wanasema haukuwa wa haki,demokrasia wala huru Ni zao la uchaguzi ule wa 2020.Sasa kwa nini hawakujiuzulu kupisha uchaguzi mpya huru wa haki na wa kidemokrasia kwa nini wasubiri hadi 2025 wakati wanajua huo ulipita haikuwa halali ukiowaweka madarakani hayo waliyonayo sasa?
Hao wa awamu ya tano walioko sasa walitakiwa wote wajiuzulu wItishe uchaguzi mpya huru,haki na wa kidemokrasia. Mara tu walipogundua kuwa ule wa 2020 haukuwa huru,wa haki na wa kidemokrasia. Kwa nini hadi sasa wameshikilia vyeo walivyoingizwa kinyume na haki na demokrasia?
 
Back
Top Bottom