OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,778
My Take 1
Sirro anapenda sana kuita-ita neno gaidi. Naona anarahisisha sana mziki wa magaidi.
My Take 2
Sirro kama hawezi kuondoka mwenyewe aondolewe kwa nguvu. Kashfa ya askari wake kufanya ujambazi haisafishiki
======
Kamanda Sirro: Ni viongozi ambao tunawategemea kwenda kuwasaidia watanzania na hasa kwenye masuala mazima ya makosa haya ya kutumia silaha na hasa makosa haya ya kutumia nguvu.
Huwa nawaambia siku zote, sisi tunafanya mafunzo ya promotion lakini mafunzo mengine ya utayari. Ni aibu sana kuruhusu jambazi kutawala nchi yetu.
Wanasema ni aibu sana gaidi kutawala nchi yetu, kwahiyo mheshimiwa waziri kwa kifupi ni kwamba tuko vizuri sana na nipeleke kwa ambao ni wachache bado wana tabu ile, nishawaambia kwamba biashara ya unyang'anyi kwa kutumia silaha, nguvu ilishapitwa na wakati.