Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 449
- 1,009
Habari Jf , Tanzania inajengwa na itajengwa na watu wanao ipenda ingawa wengine wanaijenge kwa maslahi yao binafsi lakini maendeleo kama haya huja na maumivu makubwa kwa wengine.
Rais Samia na hayati Magufuli wote ni watu wenye upendo wa kweli na Nchi hii ukiachana na siasa na propaganda mbalimbali .
Hayati magufuli alitumia mfumo wa kulazimisha watu wawe wazalendo na kuipenda nchi yao - kutumia nguvu dhidi ya wasio ipenda nchi waipende ,kulazimisha watu wafuate sheria na n.k
Kwa sasa Rais Samia anatengeneza mfumo ambao watu wanao ipende nchi unakuwa rafiki kuiletea maendeleo nchi yao , Kiuhalisia kwa akili za wabongo na africa kwa ujumla ni ngumu sana .
Kwa kifupi kumpa uhuru Mtanzania na kuvumilia kwa kuangalia utu zaidi kuboa ni ngumu sana .
Si ajabu hata hiyo March umeme ukaendelea kukatika ,sukari na vitu vingine bei zikaendelea kupanda .
Mwisho kabisa Tuipende Nchi yetu nchi ipate maendeleo na maisha yawe vizuri maana sasa hivi hakuna atakae kuvamia ili utoe kodi , hakuna wa kutulazimisha kufuata sheria ,hakuna wa kukuattack ukiwa unapotosha umma .
Tanzania itajengwa na watu wanaoipenda .
Rais wangu punguza upole unatuumiza wananchi wa kawaida .
Rais Samia na hayati Magufuli wote ni watu wenye upendo wa kweli na Nchi hii ukiachana na siasa na propaganda mbalimbali .
Hayati magufuli alitumia mfumo wa kulazimisha watu wawe wazalendo na kuipenda nchi yao - kutumia nguvu dhidi ya wasio ipenda nchi waipende ,kulazimisha watu wafuate sheria na n.k
Kwa sasa Rais Samia anatengeneza mfumo ambao watu wanao ipende nchi unakuwa rafiki kuiletea maendeleo nchi yao , Kiuhalisia kwa akili za wabongo na africa kwa ujumla ni ngumu sana .
Kwa kifupi kumpa uhuru Mtanzania na kuvumilia kwa kuangalia utu zaidi kuboa ni ngumu sana .
Si ajabu hata hiyo March umeme ukaendelea kukatika ,sukari na vitu vingine bei zikaendelea kupanda .
Mwisho kabisa Tuipende Nchi yetu nchi ipate maendeleo na maisha yawe vizuri maana sasa hivi hakuna atakae kuvamia ili utoe kodi , hakuna wa kutulazimisha kufuata sheria ,hakuna wa kukuattack ukiwa unapotosha umma .
Tanzania itajengwa na watu wanaoipenda .
Rais wangu punguza upole unatuumiza wananchi wa kawaida .