Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,499
- 113,610
Wanabodi
Kuna huu msemo kuona ni kuamini na ni kujifunza!. Je, Tanzania sasa tuanze kuwa tunajifunza mambo mazuri ya wenzetu tunayoyaona kupitia exposure mbalimbali kwenye ziara za Mhe Rais wetu, nje ya nchi?. Je tuige mazuri ya wenzetu yatatusaidia au sisi ni sisi na wao ni wao?
Hoja hii ni kufuatia ziara ya Rais Samia nchini Indonesia ambapo JF imekuwa ndio media ya kwanza kutuletea live ya ziara hiyo kabla hata ya TV yoyote ya Tanzania, kabla hata ya Ikulu Mawasiliano
Mimi ni miongoni mwa waandishi wa habari tulioshiriki ziara nyingi za rais wetu nje ya nchi. Moja ya faida kubwa za kusafiri ni kupata kitu kinachoitwa exposure, mtu unakuwa exposed kwenye mazingira tofauti tofauti, na hii exposure inapatikaka kwa kutembelea eneo husika, na kuona, ambapo sio tuu kuona ni kuamini bali kuona ni kujifunza.
Kwenye ziara za wenzetu tunaona jinsi wenzetu wana ongoza misafara ya viongozi, hakuna mambo ya kufunga barabara saa nzima rais anapita au kuna msafara wa viongozi, Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!
Tukiwa nchini Sweden, Rais Mkapa na msafara wake wote tukiwemo sisi waandishi wa habari, tulipandishwa basi moja!, Hakuna ubaya wowote wala ajabu yoyote Marais kupanda pamoja! Tulipanda basi moja na Rais Mkapa nchini Sweden sisi ikifanyika event mahali, Waziri, KM, Wakurugenzi, kila mmoja anakuja na VX lake na dereva wake!
Marais wetu huwa wakuwa na walinzi na ADC na msafara wa watu kibao, leo nchi Indonesia, nimemshuhudia Rais Samia na mwenyeji wake tuu, wao peke yao, hakuna cha mlinzi wale ADC!.
Viongozi wetu wawapo kwenye security cleared area kama Ikulu, walinzi na ADC wanamzonga wa nini?!.
Hebu Shuhudia
Kiti kingine nimekinote Ikulu ya Indonesia ni wingi wa wanyama mwetu, zoo!. Nilimpongeza Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike hapo nililaumu wanyama ni wengi!, nilichoshuhudia Ikulu ya Indonesia, kiukweli Ikulu yetu ni kama haina mnyama!
Hitimisho
Je, Tanzania sasa tuanze kuwa tunajifunza mambo mazuri ya wenzetu tunayoyaona kupitia exposure mbalimbali kwenye ziara za Mhe Rais wetu, nje ya nchi? Je, tuige mazuri ya wenzetu yatatusaidia au sisi ni sisi na wao ni wao? Tuendelee kusafiri na kuyaona mazuri ya wenzetu, na kuacha huko huko, tukirudi tuendelee na yetu kwasababu wao ni wao na sisi ni sisi kila mtu kivyake vyake?
Hiki kitu kinachoitwa exposure faida yake ni kuona tu au ni kuona na kujifunza? Mbona tunasafiri sana, tunapata exposure kubwa, tunaona mazuri ya wenzetu na the way they do things, lakini mbona ni kama hatujifunzi? na kama tuna jifunza, mbona kama bado hatubadiliki the way we do some of our things?au sisi tumeridhika hivi ndivyo sisi tulivyo, wao ni wao na sisi ni sisi?
Paskali
Kuna huu msemo kuona ni kuamini na ni kujifunza!. Je, Tanzania sasa tuanze kuwa tunajifunza mambo mazuri ya wenzetu tunayoyaona kupitia exposure mbalimbali kwenye ziara za Mhe Rais wetu, nje ya nchi?. Je tuige mazuri ya wenzetu yatatusaidia au sisi ni sisi na wao ni wao?
Hoja hii ni kufuatia ziara ya Rais Samia nchini Indonesia ambapo JF imekuwa ndio media ya kwanza kutuletea live ya ziara hiyo kabla hata ya TV yoyote ya Tanzania, kabla hata ya Ikulu Mawasiliano
LIVE - Ziara ya Rais Samia katika Ikulu ya Indonesia, leo Januari 25, 2024
View: https://www.youtube.com/live/BTFeRepAxVg?si=yMERyI7b7J3TQWpn
View: https://www.youtube.com/live/BTFeRepAxVg?si=yMERyI7b7J3TQWpn
Mimi ni miongoni mwa waandishi wa habari tulioshiriki ziara nyingi za rais wetu nje ya nchi. Moja ya faida kubwa za kusafiri ni kupata kitu kinachoitwa exposure, mtu unakuwa exposed kwenye mazingira tofauti tofauti, na hii exposure inapatikaka kwa kutembelea eneo husika, na kuona, ambapo sio tuu kuona ni kuamini bali kuona ni kujifunza.
Kwenye ziara za wenzetu tunaona jinsi wenzetu wana ongoza misafara ya viongozi, hakuna mambo ya kufunga barabara saa nzima rais anapita au kuna msafara wa viongozi, Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!
Tukiwa nchini Sweden, Rais Mkapa na msafara wake wote tukiwemo sisi waandishi wa habari, tulipandishwa basi moja!, Hakuna ubaya wowote wala ajabu yoyote Marais kupanda pamoja! Tulipanda basi moja na Rais Mkapa nchini Sweden sisi ikifanyika event mahali, Waziri, KM, Wakurugenzi, kila mmoja anakuja na VX lake na dereva wake!
Marais wetu huwa wakuwa na walinzi na ADC na msafara wa watu kibao, leo nchi Indonesia, nimemshuhudia Rais Samia na mwenyeji wake tuu, wao peke yao, hakuna cha mlinzi wale ADC!.
Viongozi wetu wawapo kwenye security cleared area kama Ikulu, walinzi na ADC wanamzonga wa nini?!.
Hebu Shuhudia
Shuhudia Mgeni na mwenyeji tu, hakuna majeshi nyuma wala ADC!
Wawili peke yao!
Wawili pekee yao
Wawili pekee yao
Wawili pekee yao
Kiti kingine nimekinote Ikulu ya Indonesia ni wingi wa wanyama mwetu, zoo!. Nilimpongeza Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike hapo nililaumu wanyama ni wengi!, nilichoshuhudia Ikulu ya Indonesia, kiukweli Ikulu yetu ni kama haina mnyama!
Hitimisho
Je, Tanzania sasa tuanze kuwa tunajifunza mambo mazuri ya wenzetu tunayoyaona kupitia exposure mbalimbali kwenye ziara za Mhe Rais wetu, nje ya nchi? Je, tuige mazuri ya wenzetu yatatusaidia au sisi ni sisi na wao ni wao? Tuendelee kusafiri na kuyaona mazuri ya wenzetu, na kuacha huko huko, tukirudi tuendelee na yetu kwasababu wao ni wao na sisi ni sisi kila mtu kivyake vyake?
Hiki kitu kinachoitwa exposure faida yake ni kuona tu au ni kuona na kujifunza? Mbona tunasafiri sana, tunapata exposure kubwa, tunaona mazuri ya wenzetu na the way they do things, lakini mbona ni kama hatujifunzi? na kama tuna jifunza, mbona kama bado hatubadiliki the way we do some of our things?au sisi tumeridhika hivi ndivyo sisi tulivyo, wao ni wao na sisi ni sisi?
Paskali