IFM alumni...!!!!

IFM alumni...!!!!

Nashukuru hakuwahi kutufundisha. Alisababisha rafiki yangu ahame chuo maana alimshika halafu akaleta zile zake zileeeeee. Rafiki yangu akaona upuuzi arudie mwaka halafu mwalimu yule yule bora ahame tu
duh kuna mmoja alishikwa,mwalimu akataka k amchomoe akampa na akamchukua na video ,mwalimu alivyozingua akaipeleka ile video kwa mjema, duh jamaa ndo basi tena akafukuzwa
 
duh kuna mmoja alishikwa,mwalimu akataka k amchomoe akampa na akamchukua na video ,mwalimu alivyozingua akaipeleka ile video kwa mjema, duh jamaa ndo basi tena akafukuzwa
IFM ndo nilijua kama mwanamke huna akili utaliwa hovyo na lecturers.
 
Chura zinamtesa sana yule baba . Alinipaga B ya field work kisa nilimkataa
yaani yule tumuache tu,mimi nlikuwa nkitoka nikienda mafian lounge au didis na kampani ya kina ngeleshi au Mgeni ,asubuhi chuo ananitolea macho kuna siku akanibananisha kwenye lift....yule baba yule yeye mwenyewe ana chura bado tena anataka chura Mungu anamzoom alitutesa sana jamani siku aliyonipa supp nlilia nlipiga magoti nlivyochoma eti kapoint jamani mweeee
 
Sana aisee. Kuna mmoja nilikua napiga nae story anasema eti unadhani nilikua mjinga kufundisha ifm eeh. Maana najilipa kabisa pension yangu kwa watoto wazuri na ndo maana sioi.
ha ha ha ha ha ha ha hii kauli inanichekesha sana
 
Labda mniwasa au andendekisye
Huyo ndendekisye si ndo yule mbabu ana sura ngumu kweli kweli na roho ngumu ila kaoa mwanamke mrembo sana jamani tulisoma nae mwaka mmoja.Nakumbuka kama hujamaliza ada utaisoma no kwake utakumbana na majibu mpaka akupe kibali cha mtihani nusu saa imeshaisha
 
Huyo ndendekisye si ndo yule mbabu ana sura ngumu kweli kweli na roho ngumu ila kaoa mwanamke mrembo sana jamani tulisoma nae mwaka mmoja.Nakumbuka kama hujamaliza ada utaisoma no kwake utakumbana na majibu mpaka akupe kibali cha mtihani nusu saa imeshaisha
Nasikia na mke wake alikuaga anapata supp eti ya somo lake
 
  • Thanks
Reactions: amu
Sana aisee. Kuna mmoja nilikua napiga nae story anasema eti unadhani nilikua mjinga kufundisha ifm eeh. Maana najilipa kabisa pension yangu kwa watoto wazuri na ndo maana sioi.
hahaha na miaka ya nyuma ifm ilikua na Watoto wakali balaa kila contena jipya linaloingia ni visu hatari,ata kama ndo mm nisingeoa aisee,hivi mzigua ulipiga social protection nini?
 
Sana aisee. Kuna mmoja nilikua napiga nae story anasema eti unadhani nilikua mjinga kufundisha ifm eeh. Maana najilipa kabisa pension yangu kwa watoto wazuri na ndo maana sioi.
hahaha na miaka ya nyuma ifm ilikua na Watoto wakali balaa kila contena jipya linaloingia ni visu hatari,ata kama ndo mm nisingeoa aisee,hivi mzigua ulipiga social protection nini?
 
hahaha na miaka ya nyuma ifm ilikua na Watoto wakali balaa kila contena jipya linaloingia ni visu hatari,ata kama ndo mm nisingeoa aisee,hivi mzigua ulipiga social protection nini?
Nah nilipiga taxation.
 
Huyo ndendekisye si ndo yule mbabu ana sura ngumu kweli kweli na roho ngumu ila kaoa mwanamke mrembo sana jamani tulisoma nae mwaka mmoja.Nakumbuka kama hujamaliza ada utaisoma no kwake utakumbana na majibu mpaka akupe kibali cha mtihani nusu saa imeshaisha
Aisee we acha nimemiss sana babu bishangazi mzee wa cost accounting
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom