Mkuu jmushi1, kuna kitu kinaitwa political social dynamics ambacho kinahitaji na political stategist wazuri kukipangia timing. Kila event ikitokea kwao ni political opportunity hivyo they plan how to capitalize on such opportunity!.
Kwenye huu msiba wa Regia, JK alishakwenda nyumbani kutoa pole!. That was enough. Then JK alikuwa na ziara Morogoro iliyokuwa inamalizika Jumanne.
Hivi mnazijua sababu za msiba wa uliotokea kati ya Dar na Moro na mazishi ni Moro to take 5 days arrangements?. Kwanini mambo yote ya Dar yasingemalizika ile ile Jumatatu?. Baada ya mwili kuagwa nyumbani na misa pale Tabata ulitakiwa uende Karimjee jioni ile uagwe na kusafirishwa ili Jumanne tuzike!. Ile extra day ilikuwa ni ya nini?!.
CCM wanajua walichomfanyia Regia kwenye uchaguzi uliopita. Taarifa za kiinteligencia zinajia political mood ya wana Kilombero hivyo maada kumetokea msiba maziko ni Moro, na rais anamaliza ziara Moro Jumanne, ma political stategists wakaona there is a political opportunity na waka capitalize kwa kuinfluence tarehe ya maziko na Mkuu akatia timu!.
Pamoja na huzuni na majonzi ya kuondokewa na Regia, JK amejitoa kiukweli to offer Olive brach kwa Chadema kutibu makovu ya uchaguzi uliopita na kuipunguza ile insult added to an injury ya kuusaini ile sheria ya katiba hivyo presence ya JK ni significant na strategic!.
Kwa vile nimeongea na Dr.Slaa na kuthibitisha no ill intention ya kukwepa kusalimiana na JK, then opportunity itatokea ya kuuthibitishia umma wa Watanzania kuwa political diferences sio political enemity!. Watakutana na watasalimiana!.